Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa ni Abiola cup [emoji23][emoji23]
Mechi itakuwa ya upande mmoja, kama timu inaelemewa na timu ndogo kama ihefu huwezi sema eti tutegemee utakuwa mchezo mzuri"Yanga atampiga Al Ahly na atachukua alama sita kwa Medeama."-
Japo mechi itakuwa ngumu... lakini itakuwa ni ya kisasi
Mechi walizocheza
Hawa miamba wamekutana mara 4
Al ahly kashinda mechi 2
DRaw 1
Yanga kashinda mechi 1
NB: Kuna timu ilikandwa 5_0 [emoji23]View attachment 2774179
Ihefu tu shida ije iwe man cityHivi unaelewa mpira ulivyo........Yanga hii inaweza mpga man city
Hapohapo yanga akaja kandwa na simba 5-0😂Mpira hauko ivyo kijana
USM Alger alikandwa na Yanga
USM amemkanda Al ahly
Al ahly alimkanda Simba 5__0[emoji23]
Hahaha mamaerrrrrHapohapo yanga akaja kandwa na simba 5-0[emoji23]
Record kwa mfumo huo huo, umekutana Medeama mara 2, Ume draw nae Dar, Ghana kakupiga 3-1, kisha unaongea kirahisi tu utachukua point sita."Yanga atampiga Al Ahly na atachukua alama sita kwa Medeama."-
Japo mechi itakuwa ngumu... lakini itakuwa ni ya kisasi
Mechi walizocheza
Hawa miamba wamekutana mara 4
Al ahly kashinda mechi 2
DRaw 1
Yanga kashinda mechi 1
NB: Kuna timu ilikandwa 5_0 [emoji23]View attachment 2774179
Haya ukaenda fainali shirikisho, lakini ulivyokutana na Simba ukatolewa mwiko nyuma mara mbili🤣🤣🤣Mlibebwa na refa
Yanga Ina kikosi mzeeRecord kwa mfumo huo huo, umekutana Medeama mara 2, Ume draw nae Dar, Ghana kakupiga 3-1, kisha unaongea kirahisi tu utachukua point sita.
Michuano yenyewe una miaka 25 haujacheza,kiburi cha shirikisho kinakuongopea. Ihefu kaishakuonyesha mapema tu kuwa una mikwara tupu, kabla yake almanusura utoke draw na Namungo[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ktk hilo kundi wageni ni wewe na Medeama na mtaishia hapo hapo. Wakati huo jabali lenu litaenda robo fainali.