CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Kilimo cha Red worm kwa huku kwetu bado tuko nyuma ila kwa wenzetu Red worm ni biashara na red worm ina kaz nyingi sana na faida kubwa mno.
1. Kulishia kuku- Ina kiwango kibwa sana cha protein hivyo kuku wako wakitumia red worm watakuwa na ukuaji mzuri sana.
2. Kulishia samaki
3. Inaweza zalisha ORGANIC COMPOST na FOLIAR
Inatengeneza organic fertlizer ambayo itatumika kwenye organic farming hasa kama unataka kulima organicaly
Inatengeneza organic foliar kwa ajili ya organic farming na vile vile kwa ajili ya kuzalishia hydroponic
Kwa sasa niko kwenye michakato ya kuzna kuzalisha sana kwa ajili ya kulishia kuku na kwa ajili ya kutengeneza ORGANIC FOLIAR mabyo nitakuwa nitumia kwenye Hydroponic yangu.
1. Kulishia kuku- Ina kiwango kibwa sana cha protein hivyo kuku wako wakitumia red worm watakuwa na ukuaji mzuri sana.
2. Kulishia samaki
3. Inaweza zalisha ORGANIC COMPOST na FOLIAR
Inatengeneza organic fertlizer ambayo itatumika kwenye organic farming hasa kama unataka kulima organicaly
Inatengeneza organic foliar kwa ajili ya organic farming na vile vile kwa ajili ya kuzalishia hydroponic
Kwa sasa niko kwenye michakato ya kuzna kuzalisha sana kwa ajili ya kulishia kuku na kwa ajili ya kutengeneza ORGANIC FOLIAR mabyo nitakuwa nitumia kwenye Hydroponic yangu.