nilitaka kuuliza asilimia 18 zimeenda wapi? Halafu Redet walituambia wamempa kura 71 JK na Synovate wakasema wametoa 61%. Sikucomment katika Redet kwakuwa watu walishasema vya kutosha kuhusiana sample selection ya hiyo kwanza nani amefanyiwa hiyo interview na watupe hapo 2000 walikuwa wanachama wangapi wa CCM, CUF na Chadema na NCCR Mageuzi etc. Pia kwanini wachukue march badala ya kuanzia ilipoanza kampeni mwezi August hadi Leo? Ukiangalia hiyo period waliochagua walikusudia kutengeneza matokeo fulani wakijua fika mgombea fulani ndie atakayepewa nafasi kubwa ya kushinda (No doubt alikuwa Kikwete kwani ndie aliyeeonekana anategemewa kugombea tena urais , akina slaa na wengine wamejitokeza kwenye mwezi saba na wasita kuwa wanagombea). Hivyo REDET waendelea na politics zao ila wakae wakijua ukimdanganya mtanzania mara ya kwanza atakubali ila akishagundua hata ukitoa utafiti wenye uhakika aina gani hakuna mtu anayeweza kuuamini tena.
Synovate nao wamekuja na kali, wanasema kuwa wamepata matokeo yenye kuonyesha Kikwete amepata 61% Dr Slaa amepata asilimia 16 na Lipumba asilimia 5 sasa naomba niwaulize wanaweza kutupatia sample selection yao? Period gani wametumia? Wakishatupatia hivyo nawaomba wasirudie usanii wa Redet watupe mchanganuo walichagua vipi hao watu wa kuwainterview? na kama kweli walichagua watu basi watu waende huko walikochukua hizo data watu warudie hayo matokeo tuone kama tutapata matokeo yale yale.
Nilikuwapo!!!!
Synovate nao wamekuja na kali, wanasema kuwa wamepata matokeo yenye kuonyesha Kikwete amepata 61% Dr Slaa amepata asilimia 16 na Lipumba asilimia 5 sasa naomba niwaulize wanaweza kutupatia sample selection yao? Period gani wametumia? Wakishatupatia hivyo nawaomba wasirudie usanii wa Redet watupe mchanganuo walichagua vipi hao watu wa kuwainterview? na kama kweli walichagua watu basi watu waende huko walikochukua hizo data watu warudie hayo matokeo tuone kama tutapata matokeo yale yale.
Nilikuwapo!!!!