BIBLIA inasema:Sijui kushuhudia uongo kwa mambo ambayo yalikuwa wazi kiasi cha kutia aibu ya kitaifa yanalenga nini katika mustakbali wa taifa hili.
Morali ya wananchi kupiga kura itaendelea kushuka sana sana km kasoro zilizojitokeza katika uchaguzi wa mwaka huu zitaendelna kupakwa rangi na kuonekana ni za kawaida. Madhara yake ni makubwa sana kwa chaguzi zijazo. i
Profesa uchwara huyu,Hamna lolote hapo
Kalale na hiyo ripoti huko hukoba kabla hawajakutafuna alive kwenu hukoba professor uchwara...idiot times 2Mtafiti mkuu Tanzania kupitia taasisi ya Redet Prof Mukandara amesema uangalizi wa taasisi yake umegundua uchaguzi ulikuwa huru na wa haki.
Prof Mukandara amesema 44% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na haki na haukuwa na hitilafu yoyote ile. Na 40% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki lakini uligubikwa na hitilafu chache ambazo haziathiri matokeo kwa vyovyote vile.
Chanzo: Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!
Hii takataka inaongozwa na nani?Mtafiti mkuu Tanzania kupitia taasisi ya Redet Prof Mukandara amesema uangalizi wa taasisi yake umegundua uchaguzi ulikuwa huru na wa haki.
Prof Mukandara amesema 44% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na haki na haukuwa na hitilafu yoyote ile. Na 40% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki lakini uligubikwa na hitilafu chache ambazo haziathiri matokeo kwa vyovyote vile.
Chanzo: Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!