Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mbaya kabisa hayajitambui sijui ni kwanini?Hao ndio maprofesa takataka, ambao huwa wanaibuliwa na Magufuli kwenda kupeleka uchafu Serikalini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbaya kabisa hayajitambui sijui ni kwanini?Hao ndio maprofesa takataka, ambao huwa wanaibuliwa na Magufuli kwenda kupeleka uchafu Serikalini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alaaniwe yeye na kizazi chake choteMchumia Tumbo wa tangu enzi huyu
Huyo Mkuu hovyo wa Taasisi hovyo anatumia nafasi ya Uchaguzi hovyo kupata uteuzi hovyo akaongeze namba ya PhD hovyo za jalalani kwenye Serikali hovyo ijayo. Homeboys hovyo wanatumia kila mbinu hovyo kunufaika na hali hovyo tuliyofikishwa!Mtafiti mkuu Tanzania kupitia taasisi ya Redet Prof Mukandara amesema uangalizi wa taasisi yake umegundua uchaguzi ulikuwa huru na wa haki.
Prof Mukandara amesema 44% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na haki na haukuwa na hitilafu yoyote ile. Na 40% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki lakini uligubikwa na hitilafu chache ambazo haziathiri matokeo kwa vyovyote vile.
Chanzo: Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!
Na yule mzungu aliyesem CCM inaongoza baadhibya miji mikubwa kwa 75 hadi 90 nae mlimdharau?Rubbish. Hili jitu tulisharidharau. Likapumzike tu. Eti propesa
Umechukia sana Kiongozi...Miprofesa mingine Inafikiria Kwa Kutumia MitumboRubbish. Hili jitu tulisharidharau. Likapumzike tu. Eti propesa
Mkuu, wanaolalamikia uovu uliofanywa kwenye uchaguzi siyo wapinzani pekee, ni wananchi wa itikadi zote, hata wasio na vyamaWapinzani, eleweni vizuri hapa.
Kwa hiyo wasingeingiza kura feki pamoja na kuzuia baadhi ya mawakala kuingia vituoni, na figisu nyingine nyiing, matokeo yangekuwa hayo hayo??!!!Election expert anaposema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki hamaanishi uchaguzi ulikuwa perfect. Anachoomanisha ni kwamba winner angebakia yule yule endapo kasoro zilizobainika zisingekuwepo! Hii ndiyo standard inayotumika hata mahakamani.
Kama huyu ndo MTAFITI MKUU nchini Tanzania, afu anajaza propaganda za chama kwny utafiti wake, ni lzm tujitathmini upyaMtafiti Mkuu Tanzania kupitia taasisi ya Redet Prof Mukandara
Lissu ana apishwa lini?Tulimstukia mapema sana alipokutana na Bashiru Ally ili kutoa utafiti wa uongo na tukamlipulia mbali .
Mnafiki mkubwa sana huyu mzee !
Aliyeandika hii mada hakumalizia takwimu.44% wamesema uchaguzi ulikua huru na wa haki, hao 56% walobaki wamesemaje?[emoji23][emoji23][emoji23]
Anamzidi shehe Ponda aliyewaambia Lissu kashinda uchaguzi anasubiri kuapishwa tuu.Tulimstukia mapema sana alipokutana na Bashiru Ally ili kutoa utafiti wa uongo na tukamlipulia mbali .
Mnafiki mkubwa sana huyu mzee !