Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Kwa hiyo wasingeingiza kura feki pamoja na kuzuia baadhi ya mawakala kuingia vituoni, na figisu nyingine nyiing, matokeo yangekuwa hayo hayo??!!!
Kwani Lissu kashindwa ?Anamzidi shehe Ponda aliyewaambia Lissu kashinda uchaguzi anasubiri kuapishwa tuu.
Manyumbu yakashangilia Sasa hayaulizi mbona haapishwi?
Kama wewe hukushuhudia, ni wewe, usinisemeeMimi na wewe hatujashuhudia yote yaliyojiri. Election observers wana firsthand knowledge ya yaliyojiri.
Ha ha ha.. ubongo wake upo tumboni na utumbo kichwani!Eti ndio Profesa huyo... View attachment 1619802
Kama wewe hukushuhudia, ni wewe, usinisemee
Eti ndio Profesa huyo... View attachment 1619802
Alaaniwe kwa kusema ukweli?Alaaniwe yeye na kizazi chake chote
Kafeli!Kwani Lissu kashindwa ?
Pamoja na weweAlaaniwe kwa kusema ukweli?
Kafeli!
Nyie mnamwamini ustaadh Ponda!Pamoja na wewe
Bora Ponda kuliko hayo majiziNyie mnamwamini ustaadh Ponda!
Watu wa Redet upewa teuzi mfano ubalozi, kweli watasema haukuwa huru na haki? Halafu, yawezekana ndio timu ile ile. Halafu, hizo hitilafu kweli hazikuathiri matokeo wakati ukute kulikuwa na concertina effect?Mtafiti Mkuu Tanzania kupitia taasisi ya Redet Prof Mukandara amesema uangalizi wa taasisi yake umegundua uchaguzi ulikuwa huru na wa haki.
Prof Mukandara amesema 44% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na haki na haukuwa na hitilafu yoyote ile. Na 40% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki lakini uligubikwa na hitilafu chache ambazo haziathiri matokeo kwa vyovyote vile.
Chanzo: Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!
Halafu badala ya kutoa taarifa- ujumbe wa pamoja kama yeye, anawanukuu waangalizi kwa kutumia percetages!🤣🤣🤣. Shida hii. Sijui hao waandishi wamemuuliza ni hitilafu gani hizo na hao watafiti walitafiti nini kujua kwamba hitilafu haziathiri matokeo?
Hitilafu yoyote inaathiri matokeo somehow. Prof should not be this stupid.
Upo sahihi sna kbs ila sio kwangu sio Lipumba sio Zitto sio Lissu sio Magufuli sio Mbowe kwangu wote wachumia Tumbo.We know your predisposition guys. Professor wa maana kwenu ni yule anayekubaliana nanyi! Hata Prof. Lipumba ameshawahi kuwa wa maana sana kwenu.
chadema wote ni wachumia tumbo tuMchumia Tumbo wa tangu enzi huyu
Mtafiti Mkuu Tanzania kupitia taasisi ya Redet Prof Mukandara amesema uangalizi wa taasisi yake umegundua uchaguzi ulikuwa huru na wa haki.
Prof Mukandara amesema 44% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na haki na haukuwa na hitilafu yoyote ile. Na 40% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki lakini uligubikwa na hitilafu chache ambazo haziathiri matokeo kwa vyovyote vile.
Chanzo: Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!