Redio imaan: Tunayo barua ya peter msigwa kwenda kwa maaskofu kuwadhibiti waislam wa iringa

Redio imaan: Tunayo barua ya peter msigwa kwenda kwa maaskofu kuwadhibiti waislam wa iringa

Status
Not open for further replies.

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2009
Posts
2,653
Reaction score
266
Juzi katika kipindi cha Mwangaza wa jamii wachambuzi wa kipindi hicho kilimtaja kwa jina Mh peter Msigwa kwamba aliandika barua kwa maaskofu wa Iringa kwa kuwashukuru kumpeleka bungeni na pia eti atahakikisha Imani ya dini yake inapewa kipaumbele kwa nguvu zote Iringa Mjini
Walisema kwamba barua hiyo wao wanayo na kudai inaweza kuleta machafuko ya kidini nchini hasa katika jimbo la iringa


MY TAKE
Kama hili ni kweli basi taifa letu siku yoyote tunaweza kuliangamiza
Kama uongo TUNANGOJEA KAULI ya Mh msigwa kwani haya ni MADAI MAZITO yalionasa kwa jamii ya kitanzania kwa sasa.

MATUSI , KEJELI KUHUS REDIO IMAAN HICHO NI KITU CHENGINE
Hoja hapa Ukweli na Uongo kuhusu BARUA YA MH PETER NSIGWA na kama Kweli tunajenga au tunabomoa taifa?
 
Yani Peter Msigwa aache kuwatumikia wapiga kura wake asumbuke na hawa wavaa vipedo magaidi na wachoma makanisa? you can't be serious.
 
hiyo ni radio kichefuchefu iliyo jaa watu wasioenda shule, ndio maana haina faida yeyote hapa tz zaidi ya kupandikiza chuki na kufanya watu waache kuwaza mambo ya maana ya maendeleo ya maisha yao wanawaza dini na chuki dhidi ya wengine. mnakomaza watu sura, ndo maana ukikutana na wadau wa radio hii utakuwa wamekasirikaaa kama vile wanataka kukupiga kofi, wamechokaaaa wanatumikishwa na shetwan toka asubuhi hadi jioni hata kutafuta maisha hawajui, shule walikimbia umande, kuzaa na kuoa kazi yao, watoto kibao wanashindwa kuwasomesha, wanageuka ombaomba na wapiga debe. mwisho wanatoa lawama kuwa mfumo kristo unafanya kazi....acheni porojo kama za waimba taarabu, kazeni viuno vyenu msilegelege kulialia kama mademu...pelekeni shule watoto na nyie muende mkaondoe ujinga, au imarisheni hata kile chuo chenu cha morogoro ili pengine muwe na akili siku moja.
 
hiyo ni radio kichefuchefu iliyo jaa watu wasioenda shule, ndio maana haina faida yeyote hapa tz zaidi ya kupandikiza chuki na kufanya watu waache kuwaza mambo ya maana ya maendeleo ya maisha yao wanawaza dini na chuki dhidi ya wengine. mnakomaza watu sura, ndo maana ukikutana na wadau wa radio hii utakuwa wamekasirikaaa kama vile wanataka kukupiga kofi, wamechokaaaa wanatumikishwa na shetwan toka asubuhi hadi jioni hata kutafuta maisha hawajui, shule walikimbia umande, kuzaa na kuoa kazi yao, watoto kibao wanashindwa kuwasomesha, wanageuka ombaomba na wapiga debe. mwisho wanatoa lawama kuwa mfumo kristo unafanya kazi....acheni porojo kama za waimba taarabu, kazeni viuno vyenu msilegelege kulialia kama mademu...pelekeni shule watoto na nyie muende mkaondoe ujinga, au imarisheni hata kile chuo chenu cha morogoro ili pengine muwe na akili siku moja.

kwenda shule umekosea. ni wahitimu wa UDOM NA UDSM.
 
Kwa akili zako unaweza kuwaamini wale Mafedhuri wa Radio Imaan?Mkuu badilika ile sio Redio ni Msikiti.
 
ndio maana zitto anapigwa vita?havai +
shabab.jpg
 
Kwa akili zako unaweza kuwaamini wale Mafedhuri wa Radio Imaan?Mkuu badilika ile sio Redio ni Msikiti.
Kwa sababu inapunguza nguvu mfumo kristo? acheni hizo.
 
hiyo ni radio kichefuchefu iliyo jaa watu wasioenda shule, ndio maana haina faida yeyote hapa tz zaidi ya kupandikiza chuki na kufanya watu waache kuwaza mambo ya maana ya maendeleo ya maisha yao wanawaza dini na chuki dhidi ya wengine. mnakomaza watu sura, ndo maana ukikutana na wadau wa radio hii utakuwa wamekasirikaaa kama vile wanataka kukupiga kofi, wamechokaaaa wanatumikishwa na shetwan toka asubuhi hadi jioni hata kutafuta maisha hawajui, shule walikimbia umande, kuzaa na kuoa kazi yao, watoto kibao wanashindwa kuwasomesha, wanageuka ombaomba na wapiga debe. mwisho wanatoa lawama kuwa mfumo kristo unafanya kazi....acheni porojo kama za waimba taarabu, kazeni viuno vyenu msilegelege kulialia kama mademu...pelekeni shule watoto na nyie muende mkaondoe ujinga, au imarisheni hata kile chuo chenu cha morogoro ili pengine muwe na akili siku moja.

Hivi kweli tumefika hapa leo? Mungu tusaidie na utuongoze.
 
tunasubiria kauli ya msigwa; au redio imani waweke wazi hiyo barua watu waione ikiwa wanasema kweli.watu wakishathibitisha hapo sasa watasema jambo.
 
namuonea huruma zitto kabwe ndani ya Chadema. sio usaliti pengine hata imani yake ya dini ndio kikwazo ndani ya Chama
 
kama ni kwel tutajua ila radio hii inaongozwa na wenye mapepo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom