Redio imaan: Tunayo barua ya peter msigwa kwenda kwa maaskofu kuwadhibiti waislam wa iringa

Redio imaan: Tunayo barua ya peter msigwa kwenda kwa maaskofu kuwadhibiti waislam wa iringa

Status
Not open for further replies.
Kwa sababu inapunguza nguvu mfumo kristo? acheni hizo.

Mimi na wanafiki hatupikiki chungu kimoja.

Wewe unajiuliza leo? Hukuwahi kujiuliza maana ya mtu kumwagiwa chakula chake mwezi wa ramadhan kule Zanzibar eti kwa kuwa tu wengine wamefunga?

Mfumo Kristo = Mfumo Shule

Kama unataka kushindana na Wakristo SOMA. Mwenzenu MziziMkavu keshaanza kuvutiwa na namna Waatoliki wanavyofundisha watoto Sunday School japo ameleta na ujinga wake humo humo kupotosha mambo.

Nyie endeleeni uwacharaza watoto wenu bakora mkiwakaririsha maandishi ya kiarabu na kudhani namna hiyo mtashindana na Wakristo
 
Last edited by a moderator:
Juzi katika kipindi cha Mwangaza wa jamii wachambuzi wa kipindi hicho kilimtaja kwa jina Mh peter Msigwa kwamba aliandika barua kwa maaskofu wa Iringa kwa kuwashukuru kumpeleka bungeni na pia eti atahakikisha Imani ya dini yake inapewa kipaumbele kwa nguvu zote Iringa Mjini
Walisema kwamba barua hiyo wao wanayo na kudai inaweza kuleta machafuko ya kidini nchini hasa katika jimbo la iringa



MY TAKE
Kama hili ni kweli basi taifa letu siku yoyote tunaweza kuliangamiza
Kama uongo TUNANGOJEA KAULI ya Mh msigwa kwani haya ni MADAI MAZITO yalionasa kwa jamii ya kitanzania kwa sasa.

MATUSI , KEJELI KUHUS REDIO IMAAN HICHO NI KITU CHENGINE
Hoja hapa Ukweli na Uongo kuhusu BARUA YA MH PETER NSIGWA na kama Kweli tunajenga au tunabomoa taifa?

watu wanadhani amani inapotea au kulindwa kirahisi,siku zote amani hailindwi kirahisi pia haipote kirahisi,mtu anasema tu machafuko?hao wenye hiyo barua wanayo ya nini si wa peleke kwa vyombo vya dola.Tanzanians mbona tunakuwa hvi??/
 
watu wanadhani amani inapotea au kulindwa kirahisi,siku zote amani hailindwi kirahisi pia haipote kirahisi,mtu anasema tu machafuko?hao wenye hiyo barua wanayo ya nini si wa peleke kwa vyombo vya dola.Tanzanians mbona tunakuwa hvi??/
Vyombo vya dola umesikia imewahi kumkamata askofu kwa vitu kama hivi? acheni propagnda. wanfalikuwa waislam wamefanya hivi ungalisikia magazeti yetu. si unajua mfumo kristo ulivyokuwa na nguvu?
 
Hizo ni propaganda ambazo zinalenga kupunguza kura za waislamu kwa chadema. Ila wajue kuwa madhara ya maneno yao yatawathiri hata wagombea wa kiislamu kwani hizo kampeni zao hata wakristo pia wanaziskia. Nasubiri kuona wataongea nini ccm itakaposimamisha mgombea urais mkristo.
 
namuonea huruma zitto kabwe ndani ya Chadema. sio usaliti pengine hata imani yake ya dini ndio kikwazo ndani ya Chama
garaacid-shabab.jpg
 
nimeamin r.iman inasikilizwa na jamii ya wa tz wote hata wewe unaye ipinga.kiukwel wanajadil mambo kwa undani wake tena kwa ushahd kwa kuwa mmezoea kusikilza vyombo vya hbr ambavyo vinakurupuka kutoa hbr bila uchunguz ndoo maana unaidis.hii radio ime2fungua macho na itaendelea kudumu kwa uwezo wa ALLAH
 
Mods mnapoacha thread kama hii mnataka nini!?? mnavizia watu wa kuwapiga ban au!????
 
ndio maana nasikia Peter msigwa anapendwa sana Chadema? kumbe kwa sera hizi?
 
Juzi katika kipindi cha Mwangaza wa jamii wachambuzi wa kipindi hicho kilimtaja kwa jina Mh peter Msigwa kwamba aliandika barua kwa maaskofu wa Iringa kwa kuwashukuru kumpeleka bungeni na pia eti atahakikisha Imani ya dini yake inapewa kipaumbele kwa nguvu zote Iringa Mjini
Walisema kwamba barua hiyo wao wanayo na kudai inaweza kuleta machafuko ya kidini nchini hasa katika jimbo la iringa


MY TAKE
Kama hili ni kweli basi taifa letu siku yoyote tunaweza kuliangamiza
Kama uongo TUNANGOJEA KAULI ya Mh msigwa kwani haya ni MADAI MAZITO yalionasa kwa jamii ya kitanzania kwa sasa.

MATUSI , KEJELI KUHUS REDIO IMAAN HICHO NI KITU CHENGINE
Hoja hapa Ukweli na Uongo kuhusu BARUA YA MH PETER NSIGWA na kama Kweli tunajenga au tunabomoa taifa?

Wapi Msigwa kataja Uislamu!?? au ulitaka aseme atahakikisha imani ya nani ienee kama si yake!??
 
Mbona mnatoka mapovu kila upande? wakishikwa bana lazima watafute pakutokea

Na hii laana ya manung'uniko haitawaacha mpaka siku mtakayoamua kwenda shule. Kuwasema Wakristo kwenye mikutano ya hadhara hakuwaongezei credits za maisha. Hebu waangalie wasemaji wenyewe: M'ba, chawa, utangotango, fungus za mdomoni, miguu iliyokatika na videvu vichafuuu vilivyokaa zig zag bila shule kichwani.

Wakishabwabwaja wanaanza kudai sadaka, sikiliza maneno yao:

"Wewe muislam unayeona ubahili kuchangia swadaka, ujue kuwa laana ya ubahili humfuata mtu mpaka kaburini, sasa kama unaendelea kuficha elfu kumi badala yake unatoa 500, basi utajazikwa na mkeka bila sanda. allah subuhana wataala awabariki mashujaa wetu waliotoa kumi kumi inshala mnyaaz mungu awazidishie heri"

Wizi mtupu na meno yenu ya njano msiopiga mswaki (pole kwa wake zenu kwa harufu za midomo), nani aliwaambia sadaka zinatolewa kwa vitisho
 
sasa speed unashangaa m2 kuadhibiwa au unashangaa mavazi ya wanao adhibu? sija kusoma!
 
Na hii laana ya manung'uniko haitawaacha mpaka siku mtakayoamua kwenda shule. Kuwasema Wakristo kwenye mikutano ya hadhara hakuwaongezei credits za maisha. Hebu waangalie wasemaji wenyewe: M'ba, chawa, utangotango, fungus za mdomoni, miguu iliyokatika na videvu vichafuuu vilivyokaa zig zag bila shule kichwani.

Wakishabwabwaja wanaanza kudai sadaka, sikiliza maneno yao:

"Wewe muislam unayeona ubahili kuchangia swadaka, ujue kuwa laana ya ubahili humfuata mtu mpaka kaburini, sasa kama unaendelea kuficha elfu kumi badala yake unatoa 500, basi utajazikwa na mkeka bila sanda. allah subuhana wataala awabariki mashujaa wetu waliotoa kumi kumi inshala mnyaaz mungu awazidishie heri"

Wizi mtupu na meno yenu ya njano msiopiga mswaki (pole kwa wake zenu kwa harufu za midomo), nani aliwaambia sadaka zinatolewa kwa vitisho

waislam hawakenda shule wakiristo mumeenda. LKN MBONA UMASKINI NA RUSHWA INAKUWA KWA KASI? IPI FAIDA YA NYIE KUSOMA? AU KUUNGAMIZA UCHUMI WA TAIFA?
 
Sio CHENGINE , ni KINGINE ... Hahahaaaaa Pwaaahaahaaahaaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom