hiyo ni radio kichefuchefu iliyo jaa watu wasioenda shule, ndio maana haina faida yeyote hapa tz zaidi ya kupandikiza chuki na kufanya watu waache kuwaza mambo ya maana ya maendeleo ya maisha yao wanawaza dini na chuki dhidi ya wengine. mnakomaza watu sura, ndo maana ukikutana na wadau wa radio hii utakuwa wamekasirikaaa kama vile wanataka kukupiga kofi, wamechokaaaa wanatumikishwa na shetwan toka asubuhi hadi jioni hata kutafuta maisha hawajui, shule walikimbia umande, kuzaa na kuoa kazi yao, watoto kibao wanashindwa kuwasomesha, wanageuka ombaomba na wapiga debe. mwisho wanatoa lawama kuwa mfumo kristo unafanya kazi....acheni porojo kama za waimba taarabu, kazeni viuno vyenu msilegelege kulialia kama mademu...pelekeni shule watoto na nyie muende mkaondoe ujinga, au imarisheni hata kile chuo chenu cha morogoro ili pengine muwe na akili siku moja.