Redio imaan: Tunayo barua ya peter msigwa kwenda kwa maaskofu kuwadhibiti waislam wa iringa

Redio imaan: Tunayo barua ya peter msigwa kwenda kwa maaskofu kuwadhibiti waislam wa iringa

Status
Not open for further replies.
kwa hizi fikra kweli kazi ipo!yaani badala ya kuwaza mambo ya msingi mnawaza dini!..hivi unaelewa maana ya imani?tengeneza mahusiano kati yako ww na mungu wako,coz kila m2 atakufa peke yake!hakuna mambo ya kupigania dini/imani,badirikeni jamani
 
kwa hizi fikra kweli kazi ipo!yaani badala ya kuwaza mambo ya msingi mnawaza dini!..hivi unaelewa maana ya imani?tengeneza mahusiano kati yako ww na mungu wako,coz kila m2 atakufa peke yake!hakuna mambo ya kupigania dini/imani,badirikeni jamani
acha porojo wewe? Unasema nini? Jibu hoja za ulazima wa msigwa kuandika barua kwa maskofu
 
nimecheka sana hapo!! U have completed my afternoon! Halafu hawanaga spray's kwapa zinachajije na jua hili la bongo?? Kwi kwi kwi Mwana Mtoka Pabaya umeniua mbavu wallahi!

Well kama imekuchekesha lkn Mwana Mtoka Pabaya iz veri siriaz abaut it. Picha ya maisha kwenye kiwiliwili cha mhubiri chuki wa pale mwenge kituoni ni hopeless. Utangotango, fungus za mdomo, harufu kali ya jasho, kanzu nyeupe imebadilika na kuwa njano sbb ya kufubaa na jua, na bado anajiita mwalimu. Anawafundisha nini wanaomsikiliza?

Kwenda chooni na jiwe la kutawadhia ambalo umeliokota chini (na pengine mwenzio alilitumia jana kwa kupangusia haja kubwa) ni usafi? Kuniambia huingii ibadani na viatu ni usafi ilhal mwezi ule wa kula sana jioni midomo inanuka kuliko mzoga usafi upo wapi hapo?

Mimi naamini wana mambo mengi tu ya kujadili ila wanaonekana hawajui matatizo yao wanajadili mazuri ya wenzao in a negative way. Kaa karibu na mama aliyejifukiza udi asubuhi kwenye baibui lake na sasa ni jioni keshachomwa na jua mchana kutwa (na unavyoijua nguo nyeusi na jua), sasa pata 'mikscha' ya udi, jasho na ......loh!

And to you my dear cacico, kama still unaamini hiki ni kichekesho just think of yourself as a wife of the Mwenge Preacher....meno ya njano yana ukoko karibu na fizi, videvu zig-zag vyekundu, fungus za mdomo, kikwapa kikali (you are his wife...is it still funny?!) Tehe tehe tehe....! Kweli inachekesha, hata mimi nimecheka.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mv butiama kwanini huu ----- usiupeleke huko mkajadiliane na magaidi wenzako?
 
Last edited by a moderator:
Ni kumdhalilisha Msigwa kumwambia ajibu HISIA za watu. Kuna watu duniani ambao wamechanganyikiwa na maisha, wana hasira ambayo mwanadamu wa kawaida hawezi kuwa nayo.
*Ama tuhuma hizi ni za uongo
* Source ya information ni RAMLI walizopiga
*Wanategemea ramli kupanga program za kituo
*Wengi kama sio wote wanaoitwa kuchangia mijadala ama ni waganga, wachawi au wame appload majini
*99% hawajasoma, hawana ajira rasmi au they are just victims of abuse
*Wamejaa makovu ndani ya mioyo yao na ni makovu hayo ndiyo yanayoongea!
* Imani yao inawafundisha kuwa wanapaswa kuwa wakatili sana ili watambulike/waogopwe
*Hawawezi au wana uwezo duni wa kufikiri. Wanakariri!
*Sababu ya mazoea ya kukariri ni vigumu kujadili jambo lolote na wao (sababu ya kukariri mambo huwa wanakuwa inferior to any logical thinking .
 
waislam hawakenda shule wakiristo mumeenda. LKN MBONA UMASKINI NA RUSHWA INAKUWA KWA KASI? IPI FAIDA YA NYIE KUSOMA? AU KUUNGAMIZA UCHUMI WA TAIFA?
Toka nchi yetu imepata uhuru imekuwa chini ya chama changu cha CCM ambacho ndisho kuliasisi na kuelea mfumo ''Mfumo Kristo''.

Njia pekee ya kuondoa ''Mfumo Kristo'' hapa Tanzania ni kuhakikisha CCM inatoka madarakani.
 
mkuu mv butiama kwanini huu ----- usiupeleke huko mkajadiliane na magaidi wenzako?
waislam wengi wamekimbilia facebook na kukuacheni nyinyi humu mkipiga propaganda. Maana facebook free and fair na kwa kuwa waislam wameanza kusoma na kutoka kwenye minyonyoro. Mengi mnatesema. Mara magaidi. Mara siasa kali. Maana mliozea kuona comment za bwana asifiwe tu humu, na udumu mfumo kristo
 
Toka nchi yetu imepata uhuru imekuwa chini ya chama changu cha CCM ambacho ndisho kuliasisi na kuelea mfumo ''Mfumo Kristo''.

Njia pekee ya kuondoa ''Mfumo Kristo'' hapa Tanzania ni kuhakikisha CCM inatoka madarakani.
Unaweza ukaruka maji ukakanyanga mkojo. kama sera za Msigwa ndio hizi huku wafuasi wake JF wakimetetea? unadhani slama kwa waislam kuipa nchi chadema? au kupunguza mfumo kristo ambao kwa sasa unaonekana unaanza kufa kidogo kidogo?
 
hawa magara unadhan ni wengi wenye elimu ba2! ni wachache2 pengine 2po ngoma dro kielimu sema wana2mia hii propaganda kuwa wao ndoo wamesoma ili wawadhulumu waislam ukitaka kulijua hil nenda vijijini ambapo wanadai ndoo kuna wakristo weng yaan utacheka
 
uislam donda dugu. MFUMO KRISTO HAPA UMEWAFANYA WATZ KUWA MASIKINI NA HAWAJUI WASHIKE NINI

Kuwajengea shule ndio kuwatia umaskini? Sudan, Somalia, Mauritania, Maldives, Afghanstan n.k nao wameathiriwa na mfumo Kristo?

Heri kuwa maskini kuliko kuwa LOFA. Ulofa ni zao la ukosefu wa elimu. Endeleeni kucheza bao
 
hiyo ni radio kichefuchefu iliyo jaa watu wasioenda shule, ndio maana haina faida yeyote hapa tz zaidi ya kupandikiza chuki na kufanya watu waache kuwaza mambo ya maana ya maendeleo ya maisha yao wanawaza dini na chuki dhidi ya wengine. mnakomaza watu sura, ndo maana ukikutana na wadau wa radio hii utakuwa wamekasirikaaa kama vile wanataka kukupiga kofi, wamechokaaaa wanatumikishwa na shetwan toka asubuhi hadi jioni hata kutafuta maisha hawajui, shule walikimbia umande, kuzaa na kuoa kazi yao, watoto kibao wanashindwa kuwasomesha, wanageuka ombaomba na wapiga debe. mwisho wanatoa lawama kuwa mfumo kristo unafanya kazi....acheni porojo kama za waimba taarabu, kazeni viuno vyenu msilegelege kulialia kama mademu...pelekeni shule watoto na nyie muende mkaondoe ujinga, au imarisheni hata kile chuo chenu cha morogoro ili pengine muwe na akili siku moja.

Nasikia kuzaana kwa speed ni sera yao ili siku moja sensa isome wao wapo wengi zaidi, bila kujali ubora wa watoto wanao wazaa. Yaani huwa siwaelewi hawa watu nashangaa sana hivi kwa mfano sensa ikionyesha Waislam wapo 80% ya Watanzania wote inawasaidia nini ilihali wengi wao ni failures
 
waislam wengi wamekimbilia facebook na kukuacheni nyinyi humu mkipiga propaganda. Maana facebook free and fair na kwa kuwa waislam wameanza kusoma na kutoka kwenye minyonyoro. Mengi mnatesema. Mara magaidi. Mara siasa kali. Maana mliozea kuona comment za bwana asifiwe tu humu, na udumu mfumo kristo
Kwenye blue nadhani umethibitisha Waislamu hawana shule ni Zero brain, kwenye red nadhani wewe si miongoni mwa hao waliopo kwenye blue. maana kwa style hii hata Mwalimu atachoka.
 
Kuwajengea shule ndio kuwatia umaskini? Sudan, Somalia, Mauritania, Maldives, Afghanstan n.k nao wameathiriwa na mfumo Kristo?

Heri kuwa maskini kuliko kuwa LOFA. Ulofa ni zao la ukosefu wa elimu. Endeleeni kucheza bao
bora Ulofa kuliko ufisadi huku ukjiita kiongozi wa dini. MOU NI UFISADI MKUBWA
 
Kwenye blue nadhani umethibitisha Waislamu hawana shule ni Zero brain, kwenye red nadhani wewe si miongoni mwa hao waliopo kwenye blue. maana kwa style hii hata Mwalimu atachoka.
KWELI WAISLAM ZERO BRAIN. NDIO MAANA WAMESOMA LAKNI TANZANIA NI MASKINI. MADINI YANAIBIWA OVYO, UFISADI UNAKUWA KWA KASI.
Mfumo kristo oyeeeee. huo unaanza kufa kufa
 
waislam wengi wamekimbilia facebook na kukuacheni nyinyi humu mkipiga propaganda. Maana facebook free and fair na kwa kuwa waislam wameanza kusoma na kutoka kwenye minyonyoro. Mengi mnatesema. Mara magaidi. Mara siasa kali. Maana mliozea kuona comment za bwana asifiwe tu humu, na udumu mfumo kristo
Sasa hao wenzangu ndio wamefanya nini sasa?
Facebook ndio kumejaa huo ''Mfumo Kristo'' ile mbaya, huko hadi Papa yupo anaperuzi profile za waamini, bora warudi tu hapa tujadiliane kwa uwazi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom