Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hivyo dk slaa akiwa muislam na chadema nayo kinatoweka?
sasa si waitoe kama kweli wanayo hiyo barua? sio kubwabwaja kipompopompo.. dini ya kishetani utaifahamu kwa matendo ya waumini wake!
i feel what you say,lakini ni vyema kuruhusu mkondo wa sheria kufuata mahali pake atleaset.fikiria hili MWENYEZI MUNGU ni muislamu?je ni mkristo?mhindu? au dini yoyote?yeye hayuko huko?yeyotee anayedhani anapigania dini fulani kwamba anampigania MUNGU huyo mtu ni muongo MUNGU hana dini?yeye anachohitaji upendo ,hurumaVyombo vya dola umesikia imewahi kumkamata askofu kwa vitu kama hivi? acheni propagnda. wanfalikuwa waislam wamefanya hivi ungalisikia magazeti yetu. si unajua mfumo kristo ulivyokuwa na nguvu?
aje au atumie vyombo vya habari kujibu hoja. maana hawezi kukankanya redio imaan. maana wale jamaa kwa maswali unaweza ukachukia
CCM yenyewe imeanza kusita sita kusimamia mfumo kristo . yaani ishaanza kuchoka. mana maaskofu juzi wamejichanganya kuhusu TAMKO LAO. arfi, zitto na Safari wamewekwa pale kama SANAMU. ndio maana hata katika mazungumzo ya siri kati ya CDU na chadema hawaalikwiKitatoweka mda si mrefu maana Prof Safari, Zitto na Said Arf ni waislam......na CCM itakufa kikisimamisha mkristo
nimecheka sana hapo!! U have completed my afternoon! Halafu hawanaga spray's kwapa zinachajije na jua hili la bongo?? Kwi kwi kwi Mwana Mtoka Pabaya umeniua mbavu wallahi!na hii laana ya manung'uniko haitawaacha mpaka siku mtakayoamua kwenda shule. Kuwasema wakristo kwenye mikutano ya hadhara hakuwaongezei credits za maisha. Hebu waangalie wasemaji wenyewe: M'ba, chawa, utangotango, fungus za mdomoni, miguu iliyokatika na videvu vichafuuu vilivyokaa zig zag bila shule kichwani.
Wakishabwabwaja wanaanza kudai sadaka, sikiliza maneno yao:
"wewe muislam unayeona ubahili kuchangia swadaka, ujue kuwa laana ya ubahili humfuata mtu mpaka kaburini, sasa kama unaendelea kuficha elfu kumi badala yake unatoa 500, basi utajazikwa na mkeka bila sanda. Allah subuhana wataala awabariki mashujaa wetu waliotoa kumi kumi inshala mnyaaz mungu awazidishie heri"
wizi mtupu na meno yenu ya njano msiopiga mswaki (pole kwa wake zenu kwa harufu za midomo), nani aliwaambia sadaka zinatolewa kwa vitisho
Ndio maana zitto asiku aliovaa kanzu na Kofia kaanza kuchukiwa Chadema?akifuga ndevu si atapotea kabisa?chadema oyee
wwwwoooooorrrrrrrrdddddddddddd!!!i feel what you say,lakini ni vyema kuruhusu mkondo wa sheria kufuata mahali pake atleaset.fikiria hili mwenyezi mungu ni muislamu?je ni mkristo?mhindu? Au dini yoyote?yeye hayuko huko?yeyotee anayedhani anapigania dini fulani kwamba anampigania mungu huyo mtu ni muongo mungu hana dini?yeye anachohitaji upendo ,huruma
kwetu binadamu na kake,sisi hatuwez kuwachukia makafiri au kuwachukia waislamu tukadhani tuko dini ya mwenyezi mungu,kumchukia binadaamu ni dini ya shetwain.
Inanetegema unajilipua vipi? na sijui leo Tanzania tukiambiwa tukapigane MSUMBIJI. wakiristo wao watakaa pembeni kwa kuogopa kifo. acha proagandaSitaki ku-generalize kwamba waislam wote wanauwezo kama huu katika kufikiri ni watu wachache sana wanaoichafua hii dini, ambao mara nyingi wamekuwa wakidanganywa kwamba wakijilipua wanaenda moja kwa moja peponi, japo hakuna feedback ya waliojiripua, kungekuwa na feedback dunia ingekuwa na amani sana
kama unataka uchukiwe tanzania . Gusa mfumo kristo. zungumzia NECTA. yatakukuta kama ya Ponda.Kama kila wakati unafikiria dini yako inahujumiwa upeo wako wa kufikiri utakuwa finyu mno. Kama unataka kwenda mbinguni imarisha uhusian o wako na Mungu na siyo kuleta hoja pumbavu hapa.
Mbona unang'ang'ania vitu vya ajabu ajabu hapa, topic uanzishe mwenyewe kisha uichakachue mwenyewe.namuonea huruma zitto kabwe ndani ya Chadema. sio usaliti pengine hata imani yake ya dini ndio kikwazo ndani ya Chama
Mungu samehe bure hii Kilaza bin Mbulula, Uislamu ni donda ndugu.Kupiga propaganda redio za kiislam zifungiwe ili kuimarisha mfumo kristo zimeanza kutoweka. Hoja hapa ni kujibu hoja. kama msigwa katajwa kuandika barua ni wazi na yeye anatakiwa ajibu.jee ingaliandikwa na gazeti la MSEMAKWELI mngalipiga proapganda kutaka gazeti hilo lifungiwe? tauche TANZANIA NI YETU SOTE. MFUMO KRISTO SIO SULUHU YA UMOJA NA MSHIKAMANO WA NCHI YETU