Redio zetu zimetawaliwa na vipindi vya michezo

Unapata wapi muda wa kusikiliza redio masaa matatu achilia mbali kipindi cha michezo? sikiliza dakika kumi au nusu saa endelea na mambo mengine achia wengine nao wasikilize ndio maana ya kipindi kuwa muda mrefu au mara kadhaa kwa siku.
 
Mpira ni pesa Dogo, mpira. Ni biashara kubwa saana, Mpira unaweza kua. Na nguvu zaidi ta dini. Acha wachambue, ndio kitu tunapenda, unataka wachambue bongo Fleva au maigizo? [emoji23]
 
Na wachambuzi wa mpira ndo wanaongoza kwa kuwa na mishahara mikubwa
 
Baba yake Konso kashona virakaaaa...
'Matacone' mwake vinaulizanaaaaa...
Umekuja liniiiii...
Nimekuja janaaaa...
Kushinda leooo....oooo...
Titiiitiiii, tititiiiiiiii, tiiiiiiiiiiiii...

Hapo umetulia tuli ukisubiri sauti za kina Abdallah Majura, Nazir Mayoka, Sekioni Kitojo na wengine wengi...
 
Umenena kiongozi wachambuz kibao na a.k.a za kimagumashi wanatia kiingereza za kudownload kupamba wanajiona wamemaliza
 
Achana na hiyo, unamsikiliza mchambuzi anatoa maneno mepesi ambayo hata mtu wa kawaida ambaye kwake soccer ni jambo la mara moja anajibu. Unachambua kona ya Mesuit Ozil dakika 40 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Reasoning za ki Magufuli
 
Achana na hiyo, unamsikiliza mchambuzi anatoa maneno mepesi ambayo hata mtu wa kawaida ambaye kwake soccer ni jambo la mara moja anajibu. Unachambua kona ya Mesuit Ozil dakika 40 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wanachambua hadi demu wa Pogba kavaa nini, anaishi wapi, anafanta nini na marafiki zake ni akina nani,
 
mmm shida tu.yaani niliacha kusikiliza mimi,Nikisikiliza redio basi ni BBC , DOCHEVELE au sauti ya AMERICA.redio zetu hazina mvuto michezo muda wote.yaani redio mbongo kwisha kabisa
 
Wachambuzi/ wachambaji wa simba na yanga. Wao timu nyingine haziwahusu.
Wanachambua hata mchezaji kufuta picha kwenye mtandao??? Pumbavu. Mechi inachambuliwa usiku, asubuhi na usiku tena.
Inakera kwelikweli
 
si afadhali na hizo,
kuna wale wa mchongo pesa..yaani kuanzia asbh hadi jioni vipindi vyote wanachezesha bahati nasibu.
 
si afadhali na hizo,
kuna wale wa mchongo pesa..yaani kuanzia asbh hadi jioni vipindi vyote wanachezesha bahati nasibu.
🀣🀣🀣🀣
 
Raia wengi wanapenda mambo mepesi yasiyo na faida kwao, kuchwa kutwa wanazungumza mpira!
 
Hata ukiangalia BBC news unaweza kukuta habari ni zile zile kwa masaa mengi sana mpaka ije breaking news, logic ni kuwa watu mbali mbali wanaangalia news kwa muda tofauti.
BBC wanafanya hivyo kwa sababu wanatangaza katika mabara na nchi tofauti zenye time zones tofauti. Hapa hata karedio cha wilaya kanatangaza mambo yalayale ya mpira asubuhi mchana na jioni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…