Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Acheni mikwara mbuzi.Watauana humu co kwa hz comment
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni mikwara mbuzi.Watauana humu co kwa hz comment
Usiogope mkuu,.mtoa mada ni " jinga letu" tukiwaga na stress huwa tazama nyuzi zake tunacheka.Unatafuta vita na aliye andika uzi,umejiandaaje na hiyo vita ya maneno mkuu
Unaweza usiingize timusema huyu jamaa ana mikwara aiseeh[emoji23]
Nibadilishie....!!!!Mtoa mada,
Ni Ahmed Arajiga, hilo jina umeandika kwenye 'heading' si sahihi..!!
Tulia ww inakuumaAcheni mikwara mbuzi.
Huyo Aragije ndo naniiiii?Hizo Simu ambazo kila mara unapokea pokea tu kuwa nazo makini na Kesho chezesha kwa Haki sasa haribu ukione. Wenye Akili na Mapenzi na Mkoa wa Tanga tunajua kuwa Coastal Union FC ya Kesho itakuwa si ile Watu waliyoizoea bali ya Kesho itakuwa kama FC Barcelona au PSG FC kwa itakavyoupiga mwingi na kuwa Mabingwa wapya wa ASFC.
Halafu kuna Maabeki wenu Wawili huyo Mmoja wa Kati na yule wa Pembeni nimeshawaambia kuwa Fiston Mayele na Djuma Shabaan wana 'Pancha' Magotini ( na Wote Magoti yao ya Kulia ) hivyo kwakuwa tayari Ligi Kuu imeshamalizika wasiogope Kuwapanda ili watoke nje kabisa ili Kuwadhoofisha.
Yule Mido ( Kiungo ) wenu Mganda ambaye namkubali sana na natamani hata Simba SC wamsajili kwani anacheza zaidi hata ya Mwanangu Mwenyewe Mkude pale Shimo la Chini nimeshatoa Maelekezo kuwa apunguze sana nare nare ( anao anao ) na awe anaachia moja moja 'fasta' na akipata muda ampige sana Visukusuku Fei.
Kwa Babu ( Mtaalam ) tumeshamaliza na Shukran nyingi kwa Tajiri Bin Slum kwa kutupa Ushirikiano wa Fedha za Kumtafuta Chatu mwenye Mimba na Fisi Mweusi bila Kusahau Jogoo mwenye Matege na tumeshafanya Kazi Maalum yote hivyo tafadhali Maelekezo ya Kuingia Uwanjani Kesho kwa Miiko msiisahau tafadhali. Mnashinda....!!!
Na nyie Watu wa Tanga Kazi mliyotutuma 'Mafia' tumeshaimaliza hivyo Waambieni Wachezaji wenu Wapambane sana.
Kwa hiyo ANABANDULIWA? Atakuwa kakalia BIG G.Aliye andika hapa ni choko kabisa, mtoto wa kiume una anzaje kumuita mwanaume mwenzako " kipenzi chako".
Kijana wacha ushoga
Usije ukakimbia uzi na kuleta sababu zisizokuwa na mashiko mkishagongeshwa ni angalizo tu nakupaHizo Simu ambazo kila mara unapokea pokea tu kuwa nazo makini na Kesho chezesha kwa Haki sasa haribu ukione. Wenye Akili na Mapenzi na Mkoa wa Tanga tunajua kuwa Coastal Union FC ya Kesho itakuwa si ile Watu waliyoizoea bali ya Kesho itakuwa kama FC Barcelona au PSG FC kwa itakavyoupiga mwingi na kuwa Mabingwa wapya wa ASFC.
Halafu kuna Maabeki wenu Wawili huyo Mmoja wa Kati na yule wa Pembeni nimeshawaambia kuwa Fiston Mayele na Djuma Shabaan wana 'Pancha' Magotini ( na Wote Magoti yao ya Kulia ) hivyo kwakuwa tayari Ligi Kuu imeshamalizika wasiogope Kuwapanda ili watoke nje kabisa ili Kuwadhoofisha.
Yule Mido ( Kiungo ) wenu Mganda ambaye namkubali sana na natamani hata Simba SC wamsajili kwani anacheza zaidi hata ya Mwanangu Mwenyewe Mkude pale Shimo la Chini nimeshatoa Maelekezo kuwa apunguze sana nare nare ( anao anao ) na awe anaachia moja moja 'fasta' na akipata muda ampige sana Visukusuku Fei.
Kwa Babu ( Mtaalam ) tumeshamaliza na Shukran nyingi kwa Tajiri Bin Slum kwa kutupa Ushirikiano wa Fedha za Kumtafuta Chatu mwenye Mimba na Fisi Mweusi bila Kusahau Jogoo mwenye Matege na tumeshafanya Kazi Maalum yote hivyo tafadhali Maelekezo ya Kuingia Uwanjani Kesho kwa Miiko msiisahau tafadhali. Mnashinda....!!!
Na nyie Watu wa Tanga Kazi mliyotutuma 'Mafia' tumeshaimaliza hivyo Waambieni Wachezaji wenu Wapambane sana.
Waambie Mods,Nibadilishie....!!!!
Hebu nitokee hapa Pimbi Wewe.Waambie Mods,
Makinika kuandika majina ya watu kwa usahihi next time..!
Duh!..wadau punguzeni uloziKwa Babu ( Mtaalam ) tumeshamaliza na Shukran nyingi kwa Tajiri Bin Slum kwa kutupa Ushirikiano wa Fedha za Kumtafuta Chatu mwenye Mimba na Fisi Mweusi bila Kusahau Jogoo mwenye Matege na tumeshafanya Kazi Maalum yote hivyo tafadhali Maelekezo ya Kuingia Uwanjani Kesho kwa Miiko msiisahau tafadhali. Mnashinda...
Mwenyewe,Hebu nitokee hapa Pimbi Wewe.
Aliye andika hapa ni choko kabisa, mtoto wa kiume una anzaje kumuita mwanaume mwenzako " kipenzi chako".
Kijana wacha ushoga
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Popoma kwenye ubora wakoHizo Simu ambazo kila mara unapokea pokea tu kuwa nazo makini na Kesho chezesha kwa Haki sasa haribu ukione. Wenye Akili na Mapenzi na Mkoa wa Tanga tunajua kuwa Coastal Union FC ya Kesho itakuwa si ile Watu waliyoizoea bali ya Kesho itakuwa kama FC Barcelona au PSG FC kwa itakavyoupiga mwingi na kuwa Mabingwa wapya wa ASFC.
Halafu kuna Maabeki wenu Wawili huyo Mmoja wa Kati na yule wa Pembeni nimeshawaambia kuwa Fiston Mayele na Djuma Shabaan wana 'Pancha' Magotini ( na Wote Magoti yao ya Kulia ) hivyo kwakuwa tayari Ligi Kuu imeshamalizika wasiogope Kuwapanda ili watoke nje kabisa ili Kuwadhoofisha.
Yule Mido ( Kiungo ) wenu Mganda ambaye namkubali sana na natamani hata Simba SC wamsajili kwani anacheza zaidi hata ya Mwanangu Mwenyewe Mkude pale Shimo la Chini nimeshatoa Maelekezo kuwa apunguze sana nare nare ( anao anao ) na awe anaachia moja moja 'fasta' na akipata muda ampige sana Visukusuku Fei.
Kwa Babu ( Mtaalam ) tumeshamaliza na Shukran nyingi kwa Tajiri Bin Slum kwa kutupa Ushirikiano wa Fedha za Kumtafuta Chatu mwenye Mimba na Fisi Mweusi bila Kusahau Jogoo mwenye Matege na tumeshafanya Kazi Maalum yote hivyo tafadhali Maelekezo ya Kuingia Uwanjani Kesho kwa Miiko msiisahau tafadhali. Mnashinda....!!!
Na nyie Watu wa Tanga Kazi mliyotutuma 'Mafia' tumeshaimaliza hivyo Waambieni Wachezaji wenu Wapambane sana.
Uliotukuka.🤣🤣🤣🤣🤣🤣Popoma kwenye ubora wako