Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nomekuwekea hapoWeka clip tuone mkuu😂😂
Yanga hii unaifungaje..????
Kha!,hii ni balaa walaiRefa wa uto...joking ni midadi tu ya mpenda mpira yeyote yule.
Jitawaze utapaka mavi kwenye chupi!Naangalia magoli ya Yanga dhidi ya KMC jana imenishangaza kuna goli Yanga walifunga refa akashangilia.
Umeanza kushabikia mpira lini? Kaangalie Man u vs Liver game iliisha 1-1 goli la liver akifunga Patrick Berger refa alifanya niniNaangalia magoli ya Yanga dhidi ya KMC jana imenishangaza kuna goli Yanga walifunga refa akashangilia.
kwa hiyo ni sahihi kwa vile huyo wa Ulaya alifanya pia?Umeanza kushabikia mpira lini? Kaangalie Man u vs Liver game iliisha 1-1 goli la liver akifunga Patrick Berger refa alifanya nini
Kama sio sahihi basi tutegemee kuona refa kwenye hiyo mechi ya Man U vs Liverpool kuchukuliwa hatua. Je una uthibitisho wowote kuwa alichukuliwa hatua yeyote au hata kuonywa?kwa hiyo ni sahihi kwa vile huyo wa Ulaya alifanya pia?
Haiku editiwa ni tukio la ukweli refa alikuwa na midadi jambo ambalo ni kawaida sana kwenye mpira wa miguu kama ni mtu mpenzi wa mpira lazima utapandwa na midadi kwenye moments fulani za kipekeeWatu mnajua ku edit asiseee