Refa ashangilia goli la Yanga

Refa ashangilia goli la Yanga

kwa hiyo ni sahihi kwa vile huyo wa Ulaya alifanya pia?
Ameona ametoa utetezi wa maana mwenzio! Zaidi anakuuliza umeanza kuangalia mpira lini, nikajua anataka ku-refer mechi za akina Pele labda😄

Mi niliyeacha kushabikia mpira siku za hivi karibuni, hata huyo Mbappe nilimshuhudua kweny WC tu, simuoni kama ni mcheza mpira...sasa sijui huyo aliyemtaja wa Liverpool ndo nani!😀
 
Naangalia magoli ya Yanga dhidi ya KMC jana imenishangaza kuna goli Yanga walifunga refa akashangilia.
Hakushangilia usipotoshe, refa aliingiwa na midadi yaani alijiona kama Azizi Ki ndiyo yeye hivyo akafanya kwa ishara ni kipi angefanya kama angekuwa ndiyo yeye kwa eneo lile. Ni mambo ya mzuka wa mpira tu hayo
 
Hakushangilia usipotoshe, refa aliingiwa na midadi yaani alijiona kama Azizi Ki ndiyo yeye hivyo akafanya kwa ishara ni kipi angefanya kama angekuwa ndiyo yeye kwa eneo lile. Ni mambo ya mzuka wa mpira tu hayo
Mzuka hauji kwenye timu usiyoipenda.Wewe huwa unapanda mzuka na kufuatilia move timu yako ikishambuliwa?
Kama refa unatakiwa usiwe na upande.Wacha kushabikia upuuzi.
 
Mzuka hauji kwenye timu usiyoipenda.Wewe huwa unapanda mzuka na kufuatilia move timu yako ikishambuliwa?
Kama refa unatakiwa usiwe na upande.Wacha kushabikia upuuzi.
Refa kazi yake ni kufata sheria na kanuni za mpira, hakuna refarii asiyekuwa na timu anayoipenda, kosa la mwamuzi ni kufanya maamuzi ya upendeleo ama kutofuata kanuni. Hakuna popote pale mwamuzi atachukuliwa hatua kisa mzuka fulani. Mpira ni mchezo wa hisia
 
Refa kazi yake ni kufata sheria na kanuni za mpira, hakuna refarii asiyekuwa na timu anayoipenda, kosa la mwamuzi ni kufanya maamuzi ya upendeleo ama kutofuata kanuni. Hakuna popote pale mwamuzi atachukuliwa hatua kisa mzuka fulani. Mpira ni mchezo wa hisia
EPL ukionesha mapenzi kwa timu unayoishabikia huchezeshi hiyo timu.Hisia zinafanya uwe biased hiyo ndio nature ya kibinadamu. Yaani ushangilie goli udai ni hisia??
 
EPL ukionesha mapenzi kwa timu unayoishabikia huchezeshi hiyo timu.Hisia zinafanya uwe biased hiyo ndio nature ya kibinadamu. Yaani ushangilie goli udai ni hisia??
Unazungumzia kuhusu 'kushangilia'
Nini maana ya kushangilia?
Je kwenye hiyo mechi umeona refa akipiga makofi baada ya goli? Uliona refa akinyoosha mikono ishara ya kufurahi?

Kilichotokea kwake ni kitu cha kawaida kwa binadamu aliyecheza mpira na ndio maana huko juu kuna mdau ame refer mechi ya Man U vs Liverpool, refarii aliingiwa na midadi ila hakuna hatua alikuja kuchukuliwa. Kikubwa fuata sheria na kanuni pasipo kupendelea.
 
Tatizo hapa ni timu nyingine kuona kuwa wao tu ndio wanatakiwa kufungwa goli nyingi na Yanga
 
Sasa Magoli ya Yanga utaachaje kuyashangilia?
 
Back
Top Bottom