Kafungiwa mwamuzi wenu wakati ninyi mmeshafaidika na mechi.Ndio zenu tunawajuaDuh aiseee uonevu kwa Yanga
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafungiwa mwamuzi wenu wakati ninyi mmeshafaidika na mechi.Ndio zenu tunawajuaDuh aiseee uonevu kwa Yanga
Tano [emoji2936][emoji2772] ni nyingi lazima akili zirukeNilivyoona siku hiyo huyu mwamuzi aliikamia sana coastal hadi akatawaliwa na hisia kiasi cha kujaribu kuwatisha wachezaji wa coastal kwa kadi.Na kama coastal wangetangulia kufunga goli,wangepigwa kadi nyekundu hata mbili ili yanga wasawazishe
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Taja matukio yaliyoinufaisha YangaKafungiwa mwamuzi wenu wakati ninyi mmeshafaidika na mechi.Ndio zenu tunawajua
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Huu ni mfululizo wa maamuzi yenye dosari ya kuipendelea Yanga unaofanywa na marefa katika ligi yetu,
Kamati ya ligi naona umeamua kutokucheka na kima, ili kuokoa ligi yetu kumezwa na rushwa kutoka kwa wawekezaji wahuni wanaotumia njaa za marefa na wachezaji wa timu ndogo
View attachment 2818490
Kafungiwa mwamuzi wenu wakati ninyi mmeshafaidika na mechi.Ndio zenu tunawajua
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Maagizo ya makolo asifungiwe tatu maligo alieipa ushindi feki simba dhidi ya singida tanga na singida akafungiwe mwandembwaHii mbona ni mechi ambayo Simba hahusiki?
Kumpa kadi mchezaji kimakosa,hiyo kudhoifisha mchezaji kiakili au timu yake kwamba wana kadi wakati hajafanya kosa,na pia inapunguza morali kwa huyo mchezajiMaamuzi yapi yataje
Wapi wamesema kafungiwa kwa kosa la kuipendelea Yanga?,hizo 5 zinawapa kichaa safari ijayo mnakula 10 kabisaHuu ni mfululizo wa maamuzi yenye dosari ya kuipendelea Yanga unaofanywa na marefa katika ligi yetu,
Kamati ya ligi naona umeamua kutokucheka na kima, ili kuokoa ligi yetu kumezwa na rushwa kutoka kwa wawekezaji wahuni wanaotumia njaa za marefa na wachezaji wa timu ndogo
View attachment 2818490
Hii Yanga itatusumbua sana mana kwa Tanzania kwa sasa hakuna timu saizi ya Yanga, mm Simba lkn kwenye ukweli usemwe, Yanga ni timu bora ambayo hatujawahi kuiona hapa EA tangu uhuru wa nchi za Afrika mashariki, hii Yanga itachukua ubingwa wa nchi hii kwa zaidi ya miaka 10 ijayo kama sisi Simba hatutostuka na kujipanga vyema kukabiliana na hawa washenzi.Huu ni mfululizo wa maamuzi yenye dosari ya kuipendelea Yanga unaofanywa na marefa katika ligi yetu,
Kamati ya ligi naona umeamua kutokucheka na kima, ili kuokoa ligi yetu kumezwa na rushwa kutoka kwa wawekezaji wahuni wanaotumia njaa za marefa na wachezaji wa timu ndogo
View attachment 2818490
Tukisema mnatuchagulia timu za kushabikia. Lakini haya uliyoandika hapa ni taarabu. Kwa walioangalia Ile Mechi timu iliyopendelewa zaidi ni Coast na walimudu kumgeuza refa kama babu yao.Huu ni mfululizo wa maamuzi yenye dosari ya kuipendelea Yanga unaofanywa na marefa katika ligi yetu,
Kamati ya ligi naona umeamua kutokucheka na kima, ili kuokoa ligi yetu kumezwa na rushwa kutoka kwa wawekezaji wahuni wanaotumia njaa za marefa na wachezaji wa timu ndogo
View attachment 2818490
Tatu Malogo mara nyingi anapangwa kuchezesha mechi za Makolo tu! Na kila mechi atakayochezesha lazima awabebe hao Makolo kwa namna yoyote ile! Na hutaona akichukuliwa hatua yoyote ile.Huu ni mfululizo wa maamuzi yenye dosari ya kuipendelea Yanga unaofanywa na marefa katika ligi yetu,
Kamati ya ligi naona umeamua kutokucheka na kima, ili kuokoa ligi yetu kumezwa na rushwa kutoka kwa wawekezaji wahuni wanaotumia njaa za marefa na wachezaji wa timu ndogo
View attachment 2818490
Wewe sio Simba ni utopolo ,kama unaujua vzr Mpira wa bongo huwez sema et yanga itachukua Mara 10 mfululizo .Hii Yanga itatusumbua sana mana kwa Tanzania kwa sasa hakuna timu saizi ya Yanga, mm Simba lkn kwenye ukweli usemwe, Yanga ni timu bora ambayo hatujawahi kuiona hapa EA tangu uhuru wa nchi za Afrika mashariki, hii Yanga itachukua ubingwa wa nchi hii kwa zaidi ya miaka 10 ijayo kama sisi Simba hatutostuka na kujipanga vyema kukabiliana na hawa washenzi.View attachment 2818682
Wewe hujasoma au hujui kusoma? Hujaona alimpa kadi ya njano isiyo ya halali mchezaji wa Coastal?Wapi wamesema kafungiwa kwa kosa la kuipendelea Yanga?,hizo 5 zinawapa kichaa safari ijayo mnakula 10 kabisa
Hujaona alimpa kadi ya njano isiyo ya halali mchezaji wa Coastal?Tukisema mnatuchagulia timu za kushabikia. Lakini haya uliyoandika hapa ni taarabu. Kwa walioangalia Ile Mechi timu iliyopendelewa zaidi ni Coast na walimudu kumgeuza refa kama babu yao.
Hii n habari ya Yanga na Coastal ndugu, Simba anahusikaje?Hii Yanga itatusumbua sana mana kwa Tanzania kwa sasa hakuna timu saizi ya Yanga, mm Simba lkn kwenye ukweli usemwe, Yanga ni timu bora ambayo hatujawahi kuiona hapa EA tangu uhuru wa nchi za Afrika mashariki, hii Yanga itachukua ubingwa wa nchi hii kwa zaidi ya miaka 10 ijayo kama sisi Simba hatutostuka na kujipanga vyema kukabiliana na hawa washenzi.View attachment 2818682
Hujaona alimpa kadi ya njano isiyo ya halali mchezaji wa Coastal?Wapi wamesema kafungiwa kwa kosa la kuipendelea Yanga?,hizo 5 zinawapa kichaa safari ijayo mnakula 10 kabisa
Hujaona alimpa kadi ya njano isiyo ya halali mchezaji wa Coastal?Maamuzi yapi yataje