ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Vipi ile penalty ya Kapombe alivyo daka miguu ya Mudathir ?Kumpa kadi mchezaji kimakosa,hiyo kudhoifisha mchezaji kiakili au timu yake kwamba wana kadi wakati hajafanya kosa,na pia inapunguza morali kwa huyo mchezaji