kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Hata mimi ningekua na hela ningekua handsome tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah.Most of these handsome called guys wanakuwaga wanafukunyuliwa mitaro maana so walizoea kusifiwa wazuri Kama mademu anazoea kusifiwa ungese wake mwisho wa siku anageuka kuwa cocksucker.
Ukiona dume linafurahi kuitwa mzuri basi shida inaanzia hapo, ukichunguza zaidi hata likiwa limeoa lazima linakuwa na msukumia nyama wake ili lipate busta.
Wazungu wajanja mnooo, usipokuwa na upeo wa kuchanganua mambo kwaa upana wake, unaingia mkenge faster tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]I have decided that you know too much!
Sio kiboksi manyoya kweli huyu?Anaitwa Rege Jean Page ni raia wa Uingereza. Amezaliwa 1988 ana miaka 34. Ni muigizaji. Ameigiza muvi na tamthilia nyingi ila tamthilia iliyompa umaarufu ni bridgerton, aligiza kama Duke of Hastings (Simon basset).
Inasemekana kuwa Rege ndiyo James bond anaefuata. Huyu ndo mwanaume handsome na mwenye mvuto kuliko wote duniani.
Unapimwa kwa muonekano wa kiume mfano cr7 huwez fananisha na hao wanawake wa korea minyanyaUhensam unapimwa kwenye Nn mzee
Sas huyu n shwqzneger nan HB saaasa?Unapimwa kwa muonekano wa kiume mfano cr7 huwez fananisha na hao wanawake wa korea minyanya
Yupo hapo sinza kwa RemyNi kweli la Kirusi, je goma la Remmy lipo hai? Mwenye updates zake na vipicha kidogo vitatusaidia kuanza misele
Nimuone?? Dada nitake radhi[emoji35][emoji35][emoji35]Ko hata hujawaahi kumuona? Unamsikia mitandaoni tyuuh?
Hamshindi Kevi wanguAnaitwa Rege Jean Page ni raia wa Uingereza. Amezaliwa 1988 ana miaka 34. Ni muigizaji. Ameigiza muvi na tamthilia nyingi ila tamthilia iliyompa umaarufu ni bridgerton, aligiza kama Duke of Hastings (Simon basset).
Inasemekana kuwa Rege ndiyo James bond anaefuata. Huyu ndo mwanaume handsome na mwenye mvuto kuliko wote duniani.
We ulishawahi kuniona mimi?? Hebu kwendeni huko!! hata mimi ni bonge la handsome man!!Anaitwa Rege Jean Page ni raia wa Uingereza. Amezaliwa 1988 ana miaka 34. Ni muigizaji. Ameigiza muvi na tamthilia nyingi ila tamthilia iliyompa umaarufu ni bridgerton, aligiza kama Duke of Hastings (Simon basset).
Inasemekana kuwa Rege ndiyo James bond anaefuata. Huyu ndo mwanaume handsome na mwenye mvuto kuliko wote duniani.
Mwanaume fulani mwenye sura ya kiume lakin ni handsome huwez fananisha na mwanamkeUnapimwa kwa muonekano wa kiume mfano cr7 huwez fananisha na hao wanawake wa korea minyanya
Muongezee Kiokotee na Ushimen [emoji28]Huyu hapa pichani ndio mwanaume Handsome kuliko wote duniani..no filters just a natural
Cc Maghayo
View attachment 2167340
Justin was very fine kipind hicho asa hiv sijui ndio anazeeka naona havutii tena.Hajamfikia Justin Timberlake
Umri umemtupa mkono, Ila alikua very smart.Justin was very fine kipind hicho asa hiv sijui ndio anazeeka naona havutii tena.
Nnachoona,Justin was very fine kipind hicho asa hiv sijui ndio anazeeka naona havutii tena.
Kipindi anamdate Britney alikua hatariUmri umemtupa mkono, Ila alikua very smart.
He wa my role model kwenye uvaaji na mwonekano[emoji4]
Si yule alocheza filamu kama Yesu?Hajamfikia Brian Decon
Uyu jamaa analiza wamama wote Dunia nzima,
Wengine wanamuita bwana wao hata kuwajua hawajui