Rege Jean Paige: Mwanaume handsome duniani

Yaani siku hizi sijui wanatumia vigezo gani? Hivi mimi wa kunifananisha na huyu,Huyo Rangi tu inamlinda angekuwa mweusi huyo angekuwa km Baba ubaya.
 
Hajamfikia Brian Decon

Uyu jamaa analiza wamama wote Dunia nzima,

Wengine wanamuita bwana wao hata kuwajua hawajui
Wee rafiki acha uongo, sasa yule ana uzuri gani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani siku hizi sijui wanatumia vigezo gani? Hivi mimi wa kunifananisha na huyu,Huyo Rangi tu inamlinda angekuwa mweusi huyo angekuwa km Baba ubaya.
Acha uongo wako mmmmh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona kama kocha wetu wa The Gunners,Arteta 🤣
 
Wee kiboko ni Somalia na Ethiopia. Kule kuna dudes watu wana squirt kwa kuwa tazama tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao Somalia na Ethiopia wengi sura nzuri ila afya mgogoro.

Hawana miili ya kiume
 

sema unamtaka tu na umepost kuonesha hisia zako
 
Vigezo vilivyotumika ni nin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…