DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Hatar sana,Kipindi anamdate Britney alikua hatari
Bado kipind kie Cha movie ya friends with benefits.
Very romantic man[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatar sana,Kipindi anamdate Britney alikua hatari
Uyo uyo[emoji4]Si yule alocheza filamu kama Yesu?
Khaa! Sasa ana uhandsome gani yule [emoji2]Uyo uyo[emoji4]
Ahsante kwa kura yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msieeeeeew.Nimuone?? Dada nitake radhi[emoji35][emoji35][emoji35]
Hebu heshima ichukue mkondo wake, nimuone wanini??
Wee rafiki acha uongo, sasa yule ana uzuri gani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hajamfikia Brian Decon
Uyu jamaa analiza wamama wote Dunia nzima,
Wengine wanamuita bwana wao hata kuwajua hawajui
Wee kiboko ni Somalia na Ethiopia. Kule kuna dudes watu wana squirt kwa kuwa tazama tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nnachoona,
Kule Nigeria na Ghana Kuna handsome men wengi sana kuliko hata uko ulaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nashangaa na mie.Khaa! Sasa ana uhandsome gani yule [emoji2]
Acha uongo wako mmmmh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani siku hizi sijui wanatumia vigezo gani? Hivi mimi wa kunifananisha na huyu,Huyo Rangi tu inamlinda angekuwa mweusi huyo angekuwa km Baba ubaya.
Mbona kama kocha wetu wa The Gunners,Arteta 🤣Anaitwa Rege Jean Page ni raia wa Uingereza. Amezaliwa 1988 ana miaka 34. Ni muigizaji. Ameigiza muvi na tamthilia nyingi ila tamthilia iliyompa umaarufu ni bridgerton, aligiza kama Duke of Hastings (Simon basset).
Inasemekana kuwa Rege ndiyo James bond anaefuata. Huyu ndo mwanaume handsome na mwenye mvuto kuliko wote duniani.
Hao Somalia na Ethiopia wengi sura nzuri ila afya mgogoro.Wee kiboko ni Somalia na Ethiopia. Kule kuna dudes watu wana squirt kwa kuwa tazama tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu kweli yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao Somalia na Ethiopia wengi sura nzuri ila afya mgogoro.
Hawana miili ya kiume
Anaitwa Rege Jean Page ni raia wa Uingereza. Amezaliwa 1988 ana miaka 34. Ni muigizaji. Ameigiza muvi na tamthilia nyingi ila tamthilia iliyompa umaarufu ni bridgerton, aligiza kama Duke of Hastings (Simon basset).
Inasemekana kuwa Rege ndiyo James bond anaefuata. Huyu ndo mwanaume handsome na mwenye mvuto kuliko wote duniani.
Vigezo vilivyotumika ni ninAnaitwa Rege Jean Page ni raia wa Uingereza. Amezaliwa 1988 ana miaka 34. Ni muigizaji. Ameigiza muvi na tamthilia nyingi ila tamthilia iliyompa umaarufu ni bridgerton, aligiza kama Duke of Hastings (Simon basset).
Inasemekana kuwa Rege ndiyo James bond anaefuata. Huyu ndo mwanaume handsome na mwenye mvuto kuliko wote duniani.
Kabisa,Afu kweli yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au wakorea...kama sindanoKabisa,
Wako Kama wafilipino.
sura nzur, ila vifupi na vyembamba Kama vijiti [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app