Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwa mujibu wa naniAnaitwa Rege Jean Page ni raia wa Uingereza.
Amezaliwa 1988 ana miaka 34. Ni muigizaji.
Ameigiza muvi na tamthilia nyingi ila tamthilia iliyompa umaarufu ni bridgerton, aligiza kama Duke of Hastings (Simon basset). Inasemekana kuwa Rege ndo James bond anaefuata. Huyu ndo mwanaume handsome na mwenye mvuto kuliko wote duniani.
Tabia hii kaianzisha Erythrocyte na chadema yake! Sasa imeota mizizi. Chama makini duniani, Viongozi wa dunia nzima kumtembelea MBOWE etcKama jina lako lilivyo my name is my name na ndivyo ilivyo Your handsome man is your handsome man sio dunia nzima kila binadamu na view tofaut juu ya mwenzake
Haha.Ukiniona unang'ata lips (aamwah)
Na macho yanayozimika (unaumwa)
Dah.....hata mimi madem zangu wote wananiita handsome 🤣🤣🤣🤣🤣🤭Duniani hakuna mwanaume handsome wala shape Munje wanaume wote handsome ingekua ivo Remmy Ongala RIP asingevuta goma la kizungu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona kibabu?Hajamzidi kibabu changu
Mkaldayo MaghayoHuyu hapa pichani ndio mwanaume Handsome kuliko wote duniani..no filters just a natural
Cc Maghayo
View attachment 2167340
Babuuuh mbna huyu n mjukuu mkweo kea hujui wee? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahukimwangalia saaana unaweza hisi kama sio riziki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaaa.Hapo utasikia ni choko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah.Wanakuwaga nao wakuzugia