my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
- Thread starter
- #21
Wacha wivusemea nafsi yako ww umeona hvyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha wivusemea nafsi yako ww umeona hvyo
Tanzania hakuna handsome wewe acha uongoMy Pacha wangu mbona kama tunafanana kasoro Mimi mweusi sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Ni huo unaoneeka hapo juu kwa pichaMvuto wake ni upi? Kwanza mambo zingine hizi za mademu kupost.
Ungekua handsome kushinda uyo tusingejamba 😁Hanishindi mimi huyo koro
Acha uzushi. Ana girlfriend wake mzunguukimwangalia saaana unaweza hisi kama sio riziki
Wewe umeona kujamba tu?Ungekua handsome kushinda uyo tusingejamba [emoji16]
Umeona kama mimi, anakua kama kajitega kiupande upande, stail za kike kike hivi.ukimwangalia saaana unaweza hisi kama sio riziki
Wanakuwaga nao wakuzugiaAcha uzushi. Ana girlfriend wake mzungu
Mleta mada anabishaUmeona kama mimi, anakua kama kajitega kiupande upande, stail za kike kike hivi.
NdioWewe umeona kujamba tu?
Wivu tu ndo unawasumbua kwa vile nyie hamtazamiki mara 2. Wanaume wa Tanzania wana wivu wakiona handsome tu wanasema gay 🤦♀️Wanakuwaga nao wakuzugia
Uwezi kuona uzuri wake kwasababu mmezoea kuona viwanaume vifupi tuKweli kila mtu na namna anavyoona
Choko ndo nini?Hapo utasikia ni choko
Wewe tu ndo huuoni uzuri wakeUzuri wa mtu uko machoni pa mwonaji
Uko kwenye izo picha zake na ukikutana nae live unaweza ukazimia kwa uzuri wakeDuh uzuri uko wapi hapo?
AnainamishwaChoko ndo nini?
Kwani Michael Scorfield ulitambua kama ni gay hadi alipojitangaza?Wivu tu ndo unawasumbua kwa vile nyie hamtazamiki mara. Wanaume wa Tanzania wana wivu wakiona handsome tu wanasema gay 🤦♀️View attachment 2167092