Regina Daniels(18), Living her best life with her 59 Billionare husband .

Regina Daniels(18), Living her best life with her 59 Billionare husband .

Labda anakidhi mahitaji ya Regina.Unaweza ukawa na msela ana miaka 25 ila huna amani wala raha ya mapenzi.
 
Labda anakidhi mahitaji ya Regina.Unaweza ukawa na msela ana miaka 25 ila huna amani wala raha ya mapenzi.
Juzi kacomment insta kumuwish birthday ex wake. Akasema hajawahi kuwa na rafiki bora wa kiume kama yeye...
 
Anaitwa Regina Daniels alias Regina the Sixth.

Amepewa a.k.a ya Regina the Sixth mara baada ya kuolewa kama mke wa sita na Ned Nwoko ambae ni Mwanasiasa, Mwanasheria na Mfanyabiashara Bilionea nchini Nigeria.


Regina Daniels ambae ni muigizaji katika kiwanda cha movie cha Nollywood huko nchini Nigeria ,amezaliwa tarehe 10 October mwaka 2000 na Ned Nwoko amezaliwa mwaka 1960.

Hii ina maana kuwa Ned Nwoko anamzidi Regina Daniels kwa miaka arobaini.


On the prima facie u can tell that familia ya Regina the Sixth imekubali binti yao mwenye umri wa miaka kumi na nane aolewe kama mke wa sita na mwanaume anaemzidi kwa umri wa miaka arobaini kwa sababu ya umasikini.


Ni umasikini na ufukara wa familia ya Regina the 6th ndio ume wa push kufanya maamuzi kama hayo.

Ned Nwoko asingekuwa Bilionea familia ya Regina isingeweza kumtoa binti yao.


Umasikini ni kitu kibaya sana. Umasikini ni laana.

Jamani tuzitafute pesa. Tusikubali kuwa masikini.

Umasikini ni ukafiri.

Umasikini ni uovu.

Umasikini ni ukosefu na upungufu wa akili kwa sababu pesa na mali zinatafutwa kwa kutumia akili ndio maana mfalme Suleimani alisema " Hekima ya masikini haisikilizwi" kwa sababu huwezi kusema una hekima kama wewe ni maskini. Umasikini na hekima haviwezi ku co exist

Tulikemee pepo ovu la umasikini
True umasikini we acha tu.
 
Acha Ubishi Bwana, We Kizee cha 60, Kisicho na Fedha Utakikubali?
Una uhakika gani kuwa hakijanioa?
Mimi huwa siwaelewi mnahukumu vipi wanawake kuwa wanafata pesa na kusahau sacrifice wanayoifanya katika kufata wanachofata ila hamhukumu mwanamme anayeweka kipaumbele chake fulani katika kumpata mwanamke!
Hicho hicho kipaumbele ndo mapenzi yake yalipo.!
Huyo babu kafata nini kwa Binti mdogo hivyo?Sio ngono?
Ndo mapenzi hayo.
 
Mwanamke anaiva miaka 14 maximum sasa ana udogo gani? 18 ni system tu ya kuzuga zuga watu wapate elimu ila dushe linapenya na anaongeza idadi ya watu dunian vzur. Kaka acha wivu .. ungekuwa wew ungemchomolea huyo mzee kwa lifestyle hiyo?
Mwambiee
 
Staa kutoka kiwanda cha Nollywood , Regina Daniels , Ameshangaza ulimwengu kwa kitendo chake cha kuolewa na Mzee wa miaka 59 , huku yeye akiwa na miaka 18 tu ambayo alitimiza Mwaka jana october. Mrembo huyo mwenye Mvuto wa aina yake, ameolewa akiwa mke wa sita wa Billionare huyo Mr Nokwo.

Unaambiwa Regina anamiliki Mansion za kutosha huko nchini Nigeria kwenye jiji la Abuja, maeneo ya Lekki phase 1, mitaa wanaokaa mabillionea wa kutupwa.

Regina amekua akila bata sehemu mbali mbali duniani na kuishi maisha ya kifahari pengine kuliko staa yeyote Nigeria kwa sasa

Either wanazengo wamekua wakimnanga staa huyo wa film kwa kumwambia kuwa amekosa aibu kuolewa na mtu mwenye rika la babu yake.View attachment 1108216View attachment 1108217View attachment 1108218View attachment 1108219View attachment 1108220
Sio kiwanda jamani bibie hapana
 
Una uhakika gani kuwa hakijanioa?
Mimi huwa siwaelewi mnahukumu vipi wanawake kuwa wanafata pesa na kusahau sacrifice wanayoifanya katika kufata wanachofata ila hamhukumu mwanamme anayeweka kipaumbele chake fulani katika kumpata mwanamke!
Hicho hicho kipaumbele ndo mapenzi yake yalipo.!
Huyo babu kafata nini kwa Binti mdogo hivyo?Sio ngono?
Ndo mapenzi hayo.
Sawa Dada! Inaonyesha wewe ni Muhanga, Ila Ukweli Unao Mwenyewe
 
Sawa Dada! Inaonyesha wewe ni Muhanga, Ila Ukweli Unao Mwenyewe
Usione,ukadhani.
Ila sio sahihi kumhukumu huyo binti mdogo ambaye pengine wala hajajua nguvu ya Mapesa.
Amesacrifice mengi ili awe na huyo mzee,huo ni Upendo pia.
Mtu pekee atakayekupenda kwa dhati bila kutaka 'something in return' be it emotional,phisical or materialistic ni Mzazi wako na ndugu zako ulozaliwa nao kwa sababu hao Mungu keshakuchagulia.
 
Usione,ukadhani.
Ila sio sahihi kumhukumu huyo binti mdogo ambaye pengine wala hajajua nguvu ya Mapesa.
Amesacrifice mengi ili awe na huyo mzee,huo ni Upendo pia.
Mtu pekee atakayekupenda kwa dhati bila kutaka 'something in return' be it emotional,phisical or materialistic ni Mzazi wako na ndugu zako ulozaliwa nao kwa sababu hao Mungu keshakuchagulia.
Sawa! Endelea Kumpenda
 
Una uhakika gani kuwa hakijanioa?
Mimi huwa siwaelewi mnahukumu vipi wanawake kuwa wanafata pesa na kusahau sacrifice wanayoifanya katika kufata wanachofata ila hamhukumu mwanamme anayeweka kipaumbele chake fulani katika kumpata mwanamke!
Hicho hicho kipaumbele ndo mapenzi yake yalipo.!
Huyo babu kafata nini kwa Binti mdogo hivyo?Sio ngono?
Ndo mapenzi hayo.
Kwahiyo babu ameuziwa ngono na hako katoto
 
Back
Top Bottom