ndo washazikosa saas==Ahadi hiyo imetolewa na Mlezi wa timu ya vijana Serengeti Boys Dkt.Reginald Mengi pamoja na Kamati ya kuhamasisha ushindi wa timu hiyo inayoongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar, es salaam, Paul Makonda.
Michuano ya vijana ya AFCON inatarajia kuanza April 14, Tanzania ikiwa ni mwenyeji.
Serengeti Boys inahitaji kushinda mechi mbili ili kujikatia tiketi ya kufuzu michuano ya Kombe la Dunia kwa vijana chini ya miaka 17 itakayofanyika nchini Brazil mwaka huu.
View attachment 1069517
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kweli mungu kwenye michezo yote iliyopo duniani akuna ata mchezo mmoja ambao ninaumudu kisawasawa kwamba ningeucheza ningeweza kuliletea sifa taifa? Yani ata draft kweli?
Uchawi? hyo nitabia ya wana CCM.Si umejaliwa uchawi ndugu? Kuwa muwazi bwana
Uchawi? hyo nitabia ya wana CCM.
Itakuwa aisee alipima kina cha maji na fimbo kabla ya kuyakanyaga (kutumbukiza miguu).Nionavyo alishakipima kile kikosi akaona hakiwezi fika popote na ndio maana akatoa ahadi kubwa kiasi kile.
Umeonaeee. Sababu kikawaida ukipiga mahesabu kikosi kizima kile wachezaji zaidi ya 18 halafu kila mmoja umpe 20M na gari ni pesa ndefu mno hiyo ambayo mwisho wa siku kwa usawa huu tungebaki kushangaa tu.Itakuwa aisee alipima kina cha maji na fimbo kabla ya kuyakanyaga (kutumbukiza miguu).
PointHizi ahadi ndio ziliharibu saikolojia ya madogo. Wakawa wanacheza wakiwazia m. 20 miguu inatetemeka akili hazifanyi kazi kisa mpunga. Nashauri hizi ahadi zisirudiwe zinawachanganya watoto hata wanakosa umakini. Mbona wakiwa nje ya nchi hucheza soka nzuri?
Mh..Mengi hana utaalam na soka kiasi cha kuwa na uhakika 100% eti vijana hawapiti..Hata makampuni ya kubeti hayana uhakikaNionavyo alishakipima kile kikosi akaona hakiwezi fika popote na ndio maana akatoa ahadi kubwa kiasi kile.
Ooh. Kuumbe.Mh..Mengi hana utaalam na soka kiasi cha kuwa na uhakika 100% eti vijana hawapiti..Hata makampuni ya kubeti hayana uhakika