GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 4,291
- 5,786
Mzee Mengi amewaahidi vijana Tshs 5,000,000 kwa goli litakalofungwa kwanza. Magoli yamepatikana (manne) kama ya Netball vile, ambayo hayana manufaa kwetu kwani tumefungwa mengi.... Namshauri Mzee Mengi atoe Tshs 5,000, 000 kwa kila mchezaji atakayezuia goli kuingia upande wetu katika mechi zinazofuata.
⚽🥇🏟🇹🇿🇹🇿
⚽🥇🏟🇹🇿🇹🇿