Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Duh! Je wahusika hawapo? Je Aliyechonga anajua nembo halisi? Watu wooooooooooote hao, hakuna aliyegundua hilo, na maposho makubwa wanayopokea ya mamilioni meengi hakuna aliyegundua? Mpaka mimi jobless ndio nigundue π€£π€£π€£Huu upuuzi ulifanywa kipindi Cha magufuli hata bendera za taifa ziko mbili ile ya blue bahari na pure Blue
Magufuli hakuwa Mungu alikuwa na makosa yake pia
USSR
Wakumbushe warekebishe.
Ilisha letwa humu hasa kuhusu hizo content na maana zake kuwa sasa haionekaniDuh! Je wahusika hawapo? Je Aliyechonga anajua nembo halisi? Watu wooooooooooote hao, hakuna aliyegundua hilo, na maposho makubwa wanayopokea ya mamilioni meengi hakuna aliyegundua? Mpaka mimi jobless ndio nigundue [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inawezekana upo sahihi. Maana maisha yalivyo magumu itakuwa washaachana siku nyingi. Tena wana kesi ya talaka na kugawana mali, nyumba na kiwanja. Huyo bibi ana mwanaume mwingine na bwana ana mke mpya pisi kaliiiii nyeupe halafu ina tako kubwa.Hao bibi na bwana walisha achana mkuu!
Pia pembe halisi za ndovu walisha zigawana baada ya ndoa kuvunjika kila mmoja kachukua yake kapita hivi.
So wako mtaani wanafanya mambo yao.
Duh! Kuna shida mahali. Kama kitu kidogo kama hicho wameshindwa, vipi kuhusu matrillioni ya hela?Ilisha letwa humu hasa kuhusu hizo content na maana zake kuwa sasa haionekani
USSR
Nimeiona mabadiliko haya na ni mazuri sanaWakuu siku za karibuni nimeona kuna kukosewa kwa nembo ya "bibi na bwana" ile niliyoisoma kwenye maarifa ya jamii. Au labda siku hizi imebadilishwa...
Kama wamebadili nembo wangetoa taarifa. Je Pascal Mayalla na bagamoyo kuna mabadiliko yoyote ya nembo ya "bibi na bwana"?Nimeiona mabadiliko haya na ni mazuri sana
Yale masanamu yalikuwa yanaharibu nembo wallah
Kwani hiyo nembo hakuna mtu wa kuifatilia mpaka iwe hivyo?Naenda Chato kutoa adhabu kwenye kaburi la aliyeiharibu nchi
Unahitaji akili ndogo sana kama jina laki kutambua kuwa kuna mabadilikoKama wamebadili nembo wangetoa taarifa. Je Pascal Mayalla na bagamoyo kuna mabadiliko yoyote ya nembo ya "bibi na bwana"?
Hizi ni nembo rasmi, kama kuna mabadiliko yoyote ya nembo inabidi watangaze.Unahitaji akili ndogo sana kama jina laki kutambua kuwa kuna mabadiliko
Haya tazama picha zifutaZo na useme tarifa ilitoka lini walipobdili muonekano toka enzi ya mzee kikwete
View attachment 2637004
View attachment 2637005
View attachment 2637006
Hii ndiyo ya kisasa na yenye mvuto.
View attachment 2637008
Wakati wa jiwe, serikali ilikuwa ni ubongo wa jiwe. Kila neno alilotamka ilikuwa ndiyo katibaKwani hiyo nembo hakuna mtu wa kuifatilia mpaka iwe hivyo?
Au ilibadilishwa?
Ningependa sana kufahamu ni kwa nini kuliwekwa bibi na Bwana kwenye Nembo yetu, kwa nini isiwe hakuna chochote?Huu upuuzi ulifanywa kipindi Cha magufuli hata bendera za taifa ziko mbili ile ya blue bahari na pure Blue
Magufuli hakuwa Mungu alikuwa na makosa yake pia
USSR
Wamesummarize, hamna mlima wala bibi na bwanaππWakuu siku za karibuni nimeona kuna kukosewa kwa nembo ya "bibi na bwana" ile niliyoisoma kwenye maarifa ya jamii. Au labda siku hizi imebadilishwa?
Hii ndio inayotambulika
View attachment 2636923
Je hizi ni zipi? Au imebadilishwa? Angalia zaidi "bibi na bwana"
View attachment 2636927ππΎππΎ hiyo kwenye jukwaa ni ipi?
Angalia "bibi na bwana" za hapo chini zilivyo
View attachment 2636927View attachment 2636929View attachment 2636930View attachment 2636931View attachment 2636932View attachment 2636933
Nafahamu hii ndio sahihi ππΏ
View attachment 2636935
Nawasilisha
Jobless
Akilindogosana
Duh kumbe kuna nembo ya nchi na nembo ya Rais.Aisee somo la uraia ni somo muhimi sana.
Kuna tofauti kubwa kati ya nembo ya taifa na nembo ya raisi. Isiyo na bibi na bwana ni ya raisi ipo pia kwenye bendera yake, kiti, pod na kibao cha gari.
Ila nina lakuongezea kwenye uzi wako kuhusu hizi alama,. Wizara ya elimu inapaswa kuonddoa au kubadili vitabu vinavyosema bendera ya taifa ina rangi ya njano. Hii sio kweli bendera ta Tanzania haina hiyo rangi Njano bali ina rangi ya dhahabu
Pia iweke wazi kuwa kamba inayosimamisha bendera ya taifa ni rangi ya kijani kibichi maana ipo siku tutakutana na manila nyekundu zimesimamisha bendera kwenye mlingoti. ππ
Isisahaulike mlingoti ni mweusi
Inasikitisha hii elimu huwezi ipata shuleni kabisa na hata baadhi ya waalimu wa uraia nao hawafahamu haya.