Rekebisheni nembo ya Taifa

Rekebisheni nembo ya Taifa

Nembo ya taifa ni miongoni mwa tunu za taifa; hata kama ni suala la rebranding utaratibu sahihi ukitakiwa uzingatiwe.

Kuna haja ya kutunga sheria ya kulinda tunu hizi kuepusha wenye mamlaka kujifanyia wapendavyo! Ikiwezekana iwe suala la kikatiba kama ambavyo Rasimi ya Warioba inapendekeza.
 
Nembo ya taifa ni miongoni mwa tunu za taifa; hata kama ni suala la rebranding utaratibu sahihi ukitakiwa uzingatiwe.

Kuna haja ya kutunga sheria ya kulinda tunu hizi kuepusha wenye mamlaka kujifanyia wapendavyo! Ikiwezekana iwe suala la kikatiba kama ambavyo Rasimi ya Warioba inapendekeza.
Duh! Kumbe ni tunu kabisa.

Labda wameibadilisha?
 
Hio kwenye Podium ya Ikulu ni Nembo ya Ikulu mzee sio Nembo ya Taifa unakwama wapi ?
Naona kama upo sahihi. Maana kwenye bendera ya Rais. Bibi na Bwana washaachana na mlima haupo.

1200px-Flag_of_the_President_of_Tanzania.svg.png



Lakini zamani Marais walitumia ile nembo ya taifa
B176DC75-453D-49CC-A2E1-6FA5B24B70EC.jpeg
 
Wakuu siku za karibuni nimeona kuna kukosewa kwa nembo ya "bibi na bwana" ile niliyoisoma kwenye maarifa ya jamii. Au labda siku hizi imebadilishwa?


Hii ndio inayotambulika
View attachment 2636923




Je hizi ni zipi? Au imebadilishwa? Angalia zaidi "bibi na bwana"
View attachment 2636927👆🏾👆🏾 hiyo kwenye jukwaa ni ipi?

Angalia "bibi na bwana" za hapo chini zilivyo
View attachment 2636927View attachment 2636929View attachment 2636930View attachment 2636931View attachment 2636932View attachment 2636933




Nafahamu hii ndio sahihi 👇🏿
View attachment 2636935


Nawasilisha
Jobless
Akilindogosana

Hii hapa ni nembo ya Rais.
 
Back
Top Bottom