Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
- Thread starter
- #21
Mlima umeng'okaWamesummarize, hamna mlima wala bibi na bwana😂😂
Bibi na Bwana washaachana
🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlima umeng'okaWamesummarize, hamna mlima wala bibi na bwana😂😂
People are so nutty!, honestly hii ndio leo naiona!.Kama wamebadili nembo wangetoa taarifa. Je Pascal Mayalla na bagamoyo kuna mabadiliko yoyote ya nembo ya "bibi na bwana"?
Duh!Wakati wa jiwe, serikali ilikuwa ni ubongo wa jiwe. Kila neno alilotamka ilikuwa ndiyo katiba
Wewe ni senior hebu kafatilie. Labda nembo imebadilishwa.People are so nutty!, honestly hii ndio leo naiona!.
P
Duh! Kumbe ni tunu kabisa.Nembo ya taifa ni miongoni mwa tunu za taifa; hata kama ni suala la rebranding utaratibu sahihi ukitakiwa uzingatiwe.
Kuna haja ya kutunga sheria ya kulinda tunu hizi kuepusha wenye mamlaka kujifanyia wapendavyo! Ikiwezekana iwe suala la kikatiba kama ambavyo Rasimi ya Warioba inapendekeza.
Ndivyo inavyoonekanaHizi ni nembo rasmi, kama kuna mabadiliko yoyote ya nembo inabidi watangaze.
Kwa hiyo bibi na bwana wameachana? Na mlima Kilimanjaro umeng'oka?
🤣Ndivyo inavyoonekana
Kwa vile kuna bendera ya taifa na bendera ya rais, labda pia kuna nembo ya taifa na nembo ya rais!.Wewe ni senior hebu kafatilie. Labda nembo imebadilishwa.
Au Mlima umeng'oka na Bibi na Bwana washaachana siku nyingi sana.
Ngoja tusikilizie ufafanuzi juu ya nembo. Labda zimebadilishwa. Au bibi na bwana wameachana siku nyingi sanaNalandana na wewe tunahitaji ufananuzi kutoka Ikulu kama kuna Mabadiliko
Labda, ngoja wataalam walete ufafanuzi.Kwa vile kuna bendera ya taifa na bendera ya rais, labda pia kuna nembo ya taifa na nembo ya rais!.
P
🤣giver na mpiga mizinga
Hio kwenye Podium ya Ikulu ni Nembo ya Ikulu mzee sio Nembo ya Taifa unakwama wapi ?Nawasilisha
Jobless
Akilindogosana
🤣 🤣 🤣 🤣 noma sana aiseeBwana kaona mizinga ni mingi
🤣🤣 🤣 🤣 🤣 noma sana aisee
Naona kama upo sahihi. Maana kwenye bendera ya Rais. Bibi na Bwana washaachana na mlima haupo.Hio kwenye Podium ya Ikulu ni Nembo ya Ikulu mzee sio Nembo ya Taifa unakwama wapi ?
Kwa vile kuna bendera ya taifa na bendera ya rais, labda pia kuna nembo ya taifa na nembo ya rais!.
P
Wakuu siku za karibuni nimeona kuna kukosewa kwa nembo ya "bibi na bwana" ile niliyoisoma kwenye maarifa ya jamii. Au labda siku hizi imebadilishwa?
Hii ndio inayotambulika
View attachment 2636923
Je hizi ni zipi? Au imebadilishwa? Angalia zaidi "bibi na bwana"
View attachment 2636927👆🏾👆🏾 hiyo kwenye jukwaa ni ipi?
Angalia "bibi na bwana" za hapo chini zilivyo
View attachment 2636927View attachment 2636929View attachment 2636930View attachment 2636931View attachment 2636932View attachment 2636933
Nafahamu hii ndio sahihi 👇🏿
View attachment 2636935
Nawasilisha
Jobless
Akilindogosana