Rekebisheni nembo ya Taifa

Rekebisheni nembo ya Taifa

Then they are right, ile ni nembo ya rais.
P
Ok, kwa hiyo hili lilikuwa kosa
B176DC75-453D-49CC-A2E1-6FA5B24B70EC.jpeg
 
achana nayo inakupotezea muda hakuna kilichokosewa hapo nembo zote ni tofaut na zina maana siyo kwamba zimebadilishwa zipo kila siku
 
Ningependa sana kufahamu ni kwa nini kuliwekwa bibi na Bwana kwenye Nembo yetu, kwa nini isiwe hakuna chochote?
Bibi na bwana kuwa nchi hii inajengwa na wanaume na wanwake Kwa umoja.

Pembe za ndovu ni kielelezo Cha mali asili hasa wanyama na mimea

Pamba na karafuu mazao ya biashara karafuu Zanzibar na pamba bara

Bendera ya taifa inawakilisha uhuru wetu

Mawimbi ya bahari inawakilisha vyanzo vya maji ,mito,maziwa na bahari

Ngao na mkuki ni zana za kulinda taifa

Maneno" uhuru na umoja " ni kauli mbia ya muda wote ya kitaifa

Kilelel Cha mlima Kilimanjaro inawakilisha fahari ya kitaifa ,mlima mrefu zaidi afrika

Rangi nyekundu inawakilisha ardhi yenye rutuba

Rangi ya njano inawakilisha madini mengi yaliyopo Tanzania

Jembe na Nyundo ni alama za wafanyakazi (Nyundo) wakulima (jembe)

USSR
 
Aisee somo la uraia ni somo muhimi sana.

Kuna tofauti kubwa kati ya nembo ya taifa na nembo ya raisi. Isiyo na bibi na bwana ni ya raisi ipo pia kwenye bendera yake, kiti, pod na kibao cha gari.

Ila nina lakuongezea kwenye uzi wako kuhusu hizi alama,. Wizara ya elimu inapaswa kuonddoa au kubadili vitabu vinavyosema bendera ya taifa ina rangi ya njano. Hii sio kweli bendera ta Tanzania haina hiyo rangi Njano bali ina rangi ya dhahabu

Pia iweke wazi kuwa kamba inayosimamisha bendera ya taifa ni rangi ya kijani kibichi maana ipo siku tutakutana na manila nyekundu zimesimamisha bendera kwenye mlingoti. 😂😂

Isisahaulike mlingoti ni mweusi

Inasikitisha hii elimu huwezi ipata shuleni kabisa na hata baadhi ya waalimu wa uraia nao hawafahamu haya.

Maelezo mazuri kabisa
 
Duh kumbe kuna nembo ya nchi na nembo ya Rais.


Na ile ni rangi ya bendera ni ya dhahabu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1544][emoji1544][emoji1544].


Leo nimejua sijui. [emoji1787]
Bendera ya rais ina rangi ya kijani na huzungukwa na ushoroba wa njano huku katikati kukiwa na nembo ya taifa inaoneka kwenye gari alilomo rais ,ikulu pia ofisini

Bendera hii huwakilisha nguvu aliyonayo Rais aliyopewa na wananchi wake
kwake

USSR
 
Hiyo nembo ni ya Rais, inapatikana kwenye Bendera yake
 
Bibi na bwana kuwa nchi hii inajengwa na wanaume na wanwake Kwa umoja.

Pembe za ndovu ni kielelezo Cha mali asili hasa wanyama na mimea

Pamba na karafuu mazao ya biashara karafuu Zanzibar na pamba bara

Bendera ya taifa inawakilisha uhuru wetu

Mawimbi ya bahari inawakilisha vyanzo vya maji ,mito,maziwa na bahari

Ngao na mkuki ni zana za kulinda taifa

Maneno" uhuru na umoja " ni kauli mbia ya muda wote ya kitaifa

Kilelel Cha mlima Kilimanjaro inawakilisha fahari ya kitaifa ,mlima mrefu zaidi afrika

Rangi nyekundu inawakilisha ardhi yenye rutuba

Rangi ya njano inawakilisha madini mengi yaliyopo Tanzania

Jembe na Nyundo ni alama za wafanyakazi (Nyundo) wakulima (jembe)

USSR
Nimeielewa hii.
Je mbona nembo ya rais haina vitu vingi?
Yaani hata Bibi na Bwana hawapo. Au inamaanisha viongozi hawawatambui wananchi? Au ndo maana tunateseka.
Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png

Linganisha na hii ya chini
1200px-Flag_of_the_President_of_Tanzania.svg.png



Ukiingalia hili kwa jicho la tatu unaonaje Mshana Jr mzee wa uchambuzi wa picha, Mshana Jr ungefanya uchambuzi wa kina wa nembo kwa jicho la Tatu. Isijekuwa inamaanisha wananchi watutambuliki 🤣🤣 Erythrocyte eti inawezekana ndio maana viongozi hawatujali wananchi. Kumbe tayari nembo ipo 🤣🤣🤣
 
Then they are right, ile ni nembo ya rais.
P
"Pascal Mayalla, tofauti ya matumizi ya nembo hizi mbili ni nini? Wapi Rais anatumia nembo ya taifa na kwa nini na wapi anatumia nembo ya Rais na kwa sababu gani..
Je, wananchi wananufaika nini na mabadiliko ya matumizi ya nembo pale zinapotumika tofauti..pse!
 
Aisee somo la uraia ni somo muhimi sana.

Kuna tofauti kubwa kati ya nembo ya taifa na nembo ya raisi. Isiyo na bibi na bwana ni ya raisi ipo pia kwenye bendera yake, kiti, pod na kibao cha gari.

Ila nina lakuongezea kwenye uzi wako kuhusu hizi alama,. Wizara ya elimu inapaswa kuonddoa au kubadili vitabu vinavyosema bendera ya taifa ina rangi ya njano. Hii sio kweli bendera ta Tanzania haina hiyo rangi Njano bali ina rangi ya dhahabu

Pia iweke wazi kuwa kamba inayosimamisha bendera ya taifa ni rangi ya kijani kibichi maana ipo siku tutakutana na manila nyekundu zimesimamisha bendera kwenye mlingoti. 😂😂

Isisahaulike mlingoti ni mweusi

Inasikitisha hii elimu huwezi ipata shuleni kabisa na hata baadhi ya waalimu wa uraia nao hawafahamu haya.
Hii nchi ina watu wengi sana ambao sio raia halisi ambao wanahudumu maeneo nyeti na wanafanya mambo kihuni sana
 
"Pascal Mayalla, tofauti ya matumizi ya nembo hizi mbili ni nini? Wapi Rais anatumia nembo ya taifa na kwa nini na wapi anatumia nembo ya Rais na kwa sababu gani..
Je, wananchi wananufaika nini na mabadiliko ya matumizi ya nembo pale zinapotumika tofauti..pse!
Kiukweli kuna vitu mimi sivijui, mfano tulipoungana na Zanzibar kuunda serikali ya JMT, tulikuwa na bendera moja ya JMT na wimbo mmoja wa taifa wa JMT, na JMT ina katiba moja ya JMT, inayosema Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye sehemu mbili, Tanzania Bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar na kuielezea Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani. Mwaka 2010 kukafanyika mabadiliko ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 na kuitambulisha Zanzibar kuwa ni nchi, na ni moja ya nchi mbili zilizounda JMT, baadae kukatokea na wimbo wa taifa wa Zanzibar, baadae kukatokea na bendera ya Zanzibar, japo mabadiliko hayo ya katiba ya Zanzibar, katiba ya JMT haiyatambui lakini yapo!. Mpaka sasa bado siijui status ya Zanzibar ni nini?!.

Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete, walikuwa na bendera ya rais yenye nembo ya rais, lakini sikuwahigi kuona any public use ya nembo hiyo, ndio nimejua jana kupitia humu JF!.

Kiukweli kabisa elimu ya uraia inahitajika sana kuliko tunavyo kudhania. Kwa vile mimi ni mwanasheria, nina uhakika asilimia 100% ya 100%, mabadiliko ya katiba ya Zanzibar ni batili!, lakini JMT na katiba ya JMT imeunyamazia ubatili huo kwasababu hautuhusu!.

Ndani ya katiba yetu wenyewe kuna ubatili mwingi tuu unaotuhusu na umenyamaziwa!, hivyo unaweza kukuta hata matumizi ya nembo ya rais kwenye shughuli za Kitaifa badala matumizi ya nembo ya taifa pia ni ubatili!
P
 
Back
Top Bottom