Rekodi yako ya muda mfupi sana wa safari kuendesha gari (private drive)

Rekodi yako ya muda mfupi sana wa safari kuendesha gari (private drive)

caboos

Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
14
Reaction score
19
Heshima mbele wadau

Najua hapa kuna manguli wa kutosha na wazee wa kusuka private cars pale wanapofanya safari.
Kuna wazee wa Druti za Dar - Arusha, DOM-DAR, DOM -MBEYA, DAR MWANZA. Wakati tukielekea msimu wa likizo mwezi Disemba.

Share uzoefu wako, ni safari gari umewahi kwenda kwa muda mfupi sana kuliko kawaida mpaka mwenyewe ukashangaa.

Mfano Mimi majuzi nimetoka Dodoma kwenda Mwanzam nilitoka Dodoma saa tisa na nusu alasiri (15.30hrs) na kuingia mwanza saa nne na nusu usiku (22:00hrs) ikiwa ni masaa 7 tu.

Binafsi sikuwahi kuendesha gari ruti hii kwa muda mfupi kama huu. Unaweza share na uzoefu wako.

Nawasilisha wanabodi
 
Heshima mbele wadau

Najua hapa kuna manguli wa kutosha na wazee wa kusuka private cars pale wanapofanya safari.
Kuna wazee wa Druti za Dar - Arusha, DOM-DAR, DOM -MBEYA, DAR MWANZA. Wakati tukielekea msimu wa likizo mwezi Disemba.

Share uzoefu wako, ni safari gari umewahi kwenda kwa muda mfupi sana kuliko kawaida mpaka mwenyewe ukashangaa.

Mfano Mimi majuzi nimetoka Dodoma kwenda Mwanzam nilitoka Dodoma saa tisa na nusu alasiri (15.30hrs) na kuingia mwanza saa nne na nusu usiku (22:00hrs) ikiwa ni masaa 7 tu.

Binafsi sikuwahi kuendesha gari ruti hii kwa muda mfupi kama huu. Unaweza share na uzoefu wako.

Nawasilisha wanabodi
Hio gari uliendeshaje namna hio?
 
Ulitumia njia ipi kwenda kibada kwa dakk 20 maana ni kipengele! 😅 Na muda gani njia ilikuwa wazi hivyo!

Maana pale pa kulipia tickets darajani lazma ungekula dakika 2! Sina shaka hukufuata taa mkuu!
Taa za mandela road naona kama zikerekebiswa vizuri
Wiki iliyopita nilirushusiwa mataa ya taifa , nafika taa za serengeti machinjioni , green, sokota hazikuwa operational, tazara green buguruni, green tabata dampo green , mabibo green nikaja kukuta red ubungo kuchepukia kimara .
Yani kutoka uhasibu hadi ubungo nilitumia dk 11 tu
 
Taa za mandela road naona kama zikerekebiswa vizuri
Wiki iliyopita nilirushusiwa mataa ya taifa , nafika taa za serengeti machinjioni , green, sokota hazikuwa operational, tazara green buguruni, green tabata dampo green , mabibo green nikaja kukuta red ubungo kuchepukia kimara .
Yani kutoka uhasibu hadi ubungo nilitumia dk 11 tu
Hio ya kukuta green ni saa ngapi mzee maana kwenye rush hours lazma ukutane na kamba Tazara pale!
Sijui hata walitumia akili gani kuacha kufanya walichokifanya ubungo kwa pale
Tazara na ile junction ya mbagala/darajani/uhamiaji/tazara
 
Taa za mandela road naona kama zikerekebiswa vizuri
Wiki iliyopita nilirushusiwa mataa ya taifa , nafika taa za serengeti machinjioni , green, sokota hazikuwa operational, tazara green buguruni, green tabata dampo green , mabibo green nikaja kukuta red ubungo kuchepukia kimara .
Yani kutoka uhasibu hadi ubungo nilitumia dk 11 tu
Halafu hizi taa wapunguze waiting time inakera sana yani bora zingesetiwa 15 seconds kila upande!

Imagine taa inahesabu more than 3 minutes kwa upande mmoja ila mwengine sekunde 15 tu! Inaboa sana halafu zifanye kazi in harmony! Ikiwaka green Tazara pale basi waweke timming gari zikifika Taifa napo pawe green watu wanyooshe sio gari zinajikusanya sehemu moja taa ikiwaka gari haziishi!
 
Hio ya kukuta green ni saa ngapi mzee maana kwenye rush hours lazma ukutane na kamba Tazara pale!
Sijui hata walitumia akili gani kuacha kufanya walichokifanya ubungo kwa pale
Tazara na ile junction ya mbagala/darajani/uhamiaji/tazara
Ilikuwa ni saa tano usiku, yani barabara kama ilikuwa yangu vile , kama msafara wa mheshimiwa sana
 
Moro - Dar saa moja na dakika 45 hivi....or little less, zamani kidogo...
 
Ulitumia njia ipi kwenda kibada kwa dakk 20 maana ni kipengele! 😅 Na muda gani njia ilikuwa wazi hivyo!

Maana pale pa kulipia tickets darajani lazma ungekula dakika 2! Sina shaka hukufuata taa mkuu!
Saa sita usiku weekday, nasimama vipi kwenye taa! Mnashangaa 20mins Mcity to Kibada, kuna mtu katembea Bagamoyo-Mwenge chini ya nusu saa nafikiri ilikuwa dakika 22 au 27!
 
Heshima mbele wadau

Najua hapa kuna manguli wa kutosha na wazee wa kusuka private cars pale wanapofanya safari.
Kuna wazee wa Druti za Dar - Arusha, DOM-DAR, DOM -MBEYA, DAR MWANZA. Wakati tukielekea msimu wa likizo mwezi Disemba.

Share uzoefu wako, ni safari gari umewahi kwenda kwa muda mfupi sana kuliko kawaida mpaka mwenyewe ukashangaa.

Mfano Mimi majuzi nimetoka Dodoma kwenda Mwanzam nilitoka Dodoma saa tisa na nusu alasiri (15.30hrs) na kuingia mwanza saa nne na nusu usiku (22:00hrs) ikiwa ni masaa 7 tu.

Binafsi sikuwahi kuendesha gari ruti hii kwa muda mfupi kama huu. Unaweza share na uzoefu wako.

Nawasilisha wanabodi
Dodoma hadi Mwanza ni kama kilmeta 700; sawa na kwenda kms 100 kwa saa ili utumie masaa saba
Inamaana umeendesha klm 120 kwa saa hiyo 20 imekuwa ya kufidia pale ulipo punguza mwendo hivyo ulikuwa kasi sana.
Kukimbiza gari hutegemea hali ya chombo chako/gari, Barabara unayopitia, hali ya hewa/mvua, muda wa kuendesha ( mchana au usiku), unapita mjini au mashambani; na mwisho UNAJITAMBUA au unajitoa ufaham to kuendesha tu kama vile umesha kamilisha siku zako za kuishi
Binafsi sishabikii mtu anayekimbiza gari sana bila sababu za msingi mf: mtu anakimbiza gari kuwahi nyumbani kulala? unakimbiza gari wakati huna issue yeyote ya msingi inakusubiri?
USALAMA KWANZA!
 
Dar to arusha masaa matano nikiwa na subaru impreza sti gc8 ya mwaka 1998.
 
Back
Top Bottom