Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Mlimani city mpaka Kigamboni(Kibada) dakika 20.
Majira gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlimani city mpaka Kigamboni(Kibada) dakika 20.
MidnightMajira gani?
Gari ilikuwa na mbawa kama mbayuwayuUlitumia njia ipi kwenda kibada kwa dakk 20 maana ni kipengele! [emoji28] Na muda gani njia ilikuwa wazi hivyo!
Maana pale pa kulipia tickets darajani lazma ungekula dakika 2! Sina shaka hukufuata taa mkuu!
☕️Dar to arusha masaa matano nikiwa na subaru impreza sti gc8 ya mwaka 1998.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji477]️
[emoji506][emoji506][emoji506][emoji535][emoji533][emoji477]️
Gari si inaweza kuwa hata ya kuazima?Kumbe jf wengi wenu mna magari alafu zikija nyuzi za majobless na wasio na ajira na ninyi mnachangia kulalamika[emoji23][emoji23]..SIJAPENDA KWAKWELI
Hesabu gani umepiga?? Dom mwanza 686km kwa masaa saba ni kama avg ya 98kphDodonma to Mwanza ni kama kilmeta 700; sawa na kwenda kms 100 kwa saa ili utumie masaa saba
Inamaana umeendesha klm 120 kwa saa hiyo 20 imekuwa ya kufidia pale ulipo punguza mwendo hivyo ulikuwa kasi sana.
Kukimbiza gari hutegemea hali ya chombo chako/gari, Barabara unayopitia, hali ya hewa/mvua, muda wa kuendesha ( mchana au usiku), unapita pita mjini au mashambani; na mwisho UNAJITAMBUA au unajitoa ufaham to kuendesha tu kama vile umesha kamilisha siku zako za kuishi
Binafsi sishabikii mtu anayekimbiza gari sana bila sababu za msingi mf: mtu anakimbiza gari kuwahi nyumbani kulala? unakimbiza gari wakati huna issue yeyote ya msingi inakusubiri?
USALAMA KWANZA!
Ulitumia muda gani kupumzika? Ulikua mwenyewe au mlipokezana? Gari aina gani kama hautajali?Mimi
Bukoba-Dsm 18 hrs
Safari ilianza saa 12 asubuhi dsm nimefika saa Sita Usiku.