Rekodi yako ya muda mfupi sana wa safari kuendesha gari (private drive)

Makongo juu (enzi za makorongo barabara mbovu to Kijichi 30min) saa tano usiku
 
Mm rekod yangu ilikua hapa hapa mjini japo ilikua ni usiku...nilitoka tabata Hadi buza kwa dakika 9.... Na hyo ndo ilikua Mara ya kwanza kukimbiza gar hovyo bila kuwa na sababu za msingi
 
Uyole saa sita mchana ubungo shelly saa tatu usiku,gari ni coaster 12H-T kwangu ni muda mfupi hasa ukiangalia na gari lenyewe kwa kweli kumbukumbu hii sitasahau!
 
Ulitumia njia ipi kwenda kibada kwa dakk 20 maana ni kipengele! [emoji28] Na muda gani njia ilikuwa wazi hivyo!

Maana pale pa kulipia tickets darajani lazma ungekula dakika 2! Sina shaka hukufuata taa mkuu!
Gari ilikuwa na mbawa kama mbayuwayu
 
Nilitoka Moro to Dom (259km) kwa masaa 2 na nusu halafu jioni jioni hivi, nilikuwa na kitu cha Nissan Dualis. Weee weeee hiki kigari ni noma kinanyanyuka balaa haga ukitembelea Manual.
 
Kumbe jf wengi wenu mna magari alafu zikija nyuzi za majobless na wasio na ajira na ninyi mnachangia kulalamika[emoji23][emoji23]..SIJAPENDA KWAKWELI
 
Kumbe jf wengi wenu mna magari alafu zikija nyuzi za majobless na wasio na ajira na ninyi mnachangia kulalamika[emoji23][emoji23]..SIJAPENDA KWAKWELI
Gari si inaweza kuwa hata ya kuazima?
 
Hesabu gani umepiga?? Dom mwanza 686km kwa masaa saba ni kama avg ya 98kph

Kuwa na average hio kwa gari ndogo ni mtihani
 
Hizi ni assumptions tu...uhalisia hakuna na wengi wenu mnasema ilikuwa usiku...sasa nashindwa kuelewa kama mlikuwa na akili timamu au pombe ndio ilikuwa leader
 
Mimi
Bukoba-Dsm 18 hrs
Safari ilianza saa 12 asubuhi dsm nimefika saa Sita Usiku.
 
Dar-Shinyanga. Kuondoka saa tano asubuhi, nikaingia saa sita usiku. Niliendesha mwenyewe na gari ilikuwa nisasan Serena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…