Rekodi yangu bora kimasomo haijaniwezesha kupata ajira. Naathirika Kisaikolojia

Rekodi yangu bora kimasomo haijaniwezesha kupata ajira. Naathirika Kisaikolojia

Sina hapana ni mtakatifu kwenye



Mkuu umenigusa sana mimi mtaa ninao ish wengi ninawazidi uwezo. Wachonizidi ni uzee tu, Na umr Kila mara napigwa vizinga🤣natamani Ata nihame mtaa maana nahitaji watu waliofanikiwa ili nijifunze zaidi najiona bado sana level ninayoitaka

Nakunukuu"ili ufanikiwe unahitaji kukaa na waliofanikiwa zaidi"
Matokeo ya jitihada za mtu ya nategemea zaidi volume ya watu ulionao(network) KMkhalid ish humo.
Nilikuwa mbinafsi, sikatai. Ama "anti-social" naweza jiita hivyo, japo sikuchukiq wengine. Nilikuwa mpole tu na kujitenga tenga mwenyewe, tangu nikiwa mdogo mpaka utu uzima, pale chuoni. Ni hulka niliyokuwa nayo ama tabia ya ngozini. Lakini nakiri imeniathiri kijamii, nikashindwa kuwa na jumuiya ya watu kwenye mtandao wangu wa watu. Ndicho nachojaribu kukiweka sawa hivi sasa. Ili nitoke kwenye hii hali.
 
K
wakati namaliza chuo nilikuwa na rafiki yangu mmoja alisoma Minning engineering huku mimi nasoma computer engineering miaka ya 2000 mwishoni
kuna mzee mmoja aliniambia kwenye kutafuta kama huna connection basi hakikisha uwe kwenye eneo sahihi
natamani kujua uko wap

ila kama plan yako ni migodini anza na ma contractor wadogo migodini(dar) pasahau kwa muda nenda kahama,shy,geita,mara

wakati namaliza chuo nilikuwa na rafiki yangu mmoja alisoma Minning engineering huku mimi nasoma computer engineering miaka ya 2000 mwishoni
kuna mzee mmoja aliniambia kwenye kutafuta kama huna connection basi hakikisha uwe kwenye eneo sahihi
natamani kujua uko wap

ila kama plan yako ni migodini anza na ma contractor wadogo migodini(dar) pasahau kwa muda nenda kahama,shy,geita,mara
Kwa sasa nipo na civil contractor. Hawana kazi nyingi na za mara kwa mara. Kazi husimama hasa baada ya malipo ya serikali kusuasua. Sio mahali pa kutegemea.
 
K
wakati namaliza chuo nilikuwa na rafiki yangu mmoja alisoma Minning engineering huku mimi nasoma computer engineering miaka ya 2000 mwishoni
kuna mzee mmoja aliniambia kwenye kutafuta kama huna connection basi hakikisha uwe kwenye eneo sahihi
natamani kujua uko wap

ila kama plan yako ni migodini anza na ma contractor wadogo migodini(dar) pasahau kwa muda nenda kahama,shy,geita,mara

wakati namaliza chuo nilikuwa na rafiki yangu mmoja alisoma Minning engineering huku mimi nasoma computer engineering miaka ya 2000 mwishoni
kuna mzee mmoja aliniambia kwenye kutafuta kama huna connection basi hakikisha uwe kwenye eneo sahihi
natamani kujua uko wap

ila kama plan yako ni migodini anza na ma contractor wadogo migodini(dar) pasahau kwa muda nenda kahama,shy,geita,mara
Kwa sasa nipo na civil contractor. Hawana kazi nyingi na za mara kwa mara. Kazi husimama hasa baada ya malipo ya serikali kusuasua. Sio mahali pa kutegemea
Sawa ina maana umemaliza na miaka 24 usiwaze mkuu kimsingi una viungo vyote kamili Usijali nimeeleza juu asilimia kubwa wanaomaliza hivi karibuni kupata kazi inachukua 1-5 kwahyo "changamoto itumie kama fursa" ipo siku utafanikiwa

Mimi nipo geita kuna fursa nyingi mgodini Geita gold mine zinatoka Ila mchawi sasa atleast uwe Ata leseni ya udereva(buses, manual cars like land cruiser, HAice, Hilux hizi ndo aina na magari zinazotumika huko unaweza ukaanza kama dereva wa boss then Mungu s athumani ukapata pande) ku-operate machine huwezi kosa fani yoyote mule


Mwisho watu wengi wameshauri mengi mazuri, sasa muhimu ni wewe kufanya maamuzi yako sahihi. Maana wahenga walisema "kelele nyingi humtoa mtu kwenye focus"

Mungu akubariki, Sali sana, Amka mapema, ujifunze zaidi elimu kitaa haina mwisho. Cheti cha mtaani tunapewa siku tukifa.
Ahsante sana ndugu. Leseni ya udereva ninayo pia. Hizo websites za hiyo migodi, nakesha humo siku nzima wiki hadi wiki.
 
japo tayari umeshasoma ila ulibug sana kusoma engineering geology,

vp akina lupogo hawakukukamata, kessy, mshiu et al, ulitoboa miaka yote bila sup.
Umenikumbusha mbali akina elisante mshiu

Alafu jamaa asipanick mbona rekodi yake ya kawaida wapo waliotoka primary miaka ile ya shule za kata kuanzishwa na akapangiwa iyunga tech na ufaulu mzuri sana advance lakn yupo mtaani

Mm niliajiliwa nikiwa na miaka 32 ni asikate tamaa tu
 
Habari wana jukwaa. Kwa kweli hivi sasa bila connection ni ngumu kupata kazi, vinginevyo Mungu aingilie kati. Binafsi kwa neema ya M/Mungu nimefanikiwa kuwa nahistoria ya kufanya vizuri darasani, na kuwa mwanafunzi bora kuanzia nilipokuwa shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Historia yangu kwa ufupi ipo hivi.

Primary

Ufaulu mzuri nikapangiwa kwenda sekondari, japo ni ya kata, wakati huu ndo shule za kata zimeanzishwa kwa wingi, hivyo hata wenye ufaulu mzuri walipelekwa shule hizi ili kufidia gap la wanafunzi

Sekondari

Nilifanya vizuri sana. Nimekuwa mwanafunzi namba moja darasani tangu kidato cha kwanza mpaka cha nne na nikafanikiwa kuzawadia cheti cha mwanafunzi bora na uongozi baada ya kufanya vizuri kwa miaka yote minne ya sekondari.

Nikafaulu kwa ufaulu wa daraja la kwanza, nikiwa mwanafunzi pekee darasa nzima la wanafunzi 138 mwenye daraja la kwanza na nikapangiwa kwenda Advance kwa mchepuo wa PCM (Physics, Chemistry, Advance Math)

Advance

Hapa napo sikukaa kizembe, katika darasa la wanafunzi 38, kidato cha tano na cha sita vyote nilikuwa mwanafunzi namba moja ama namba mbili kwenye mitihani ya terms na kikanda. Katika wanafunzi 38 wa PCM, wanafunzi 2 pekee tukafanikiwa kupata Div I. Hivyo moja kwa moja tukapangiwa chuo kikuu, na wote tulikwenda chuo kimoja, UDSM (University of Dar Es Salaam)

Chuo Kikuu.

Nikasomea program ya engineering (Engieering Geology), ni program ya miaka minne. Kwa ufupi hapa shule ilikuwa ngumu sana, ukijumlisha na changamoto za kifedha, lakini historia ya nyuma ya shule ilinibeba nikapata mkopo wa serikali 100%. Chuoni tulianza wanafunzi 14, lakini tuliobahatika kumaliza mpaka mwaka wa mwisho ni wanafunzi 6, na katika hao sita, ni mimi pekee nilifanikiwa kufaulu kwa kiwango cha juu kidogo ukilinganisha na wenzangu cha Second class honors, Upper division ambacho na hakika si kiwango haba kutokana na ugumu wa program husika.

Hio ndo historia yangu ya shule kwa ufupi sana, nimeelezea matokeo tuu, sijaelezea matukio. Lakini nasikitika kuona kwamba rekodi hio haijawa na mchango chanya kuniwezesha kupata kazi. Mpaka sasa kijana natangatanga, hapa na pale. Nipo wazi kufanya kazi kwenye migodi ya uchimbaji, kampuni za ujenzi wa majengo na barabara. Na kwa sasa nina leseni ya ulipuaji (blasting licence for both Open pit & Underground mining)
Hahah! Ama hakika kupata kazi zama hizi connection... Wakuu nipeni CONNECTION!! Umri ni miaka 27.
Mwanangu alipomaliza sekondari na kuchaguliwa kwenda High School nilimwambia aache ujinga huo nikamfungulia duka la jumla Leo mwaka wa tano kajenga ana gari mke na watoto wawili na hua mara moja moja hunipa Hela ya ''ugoro''😁
Kazi ya kuajiriwa utaipata ndotoni kama huna ndugu waziri.
 
Mimi pia shuleni nilikuwa nafaulu na sifa yangu nyingine nilikuwa muombaji nakumbuka nilishawahi hadi kumuombea mkuu wa shule alipopagawa na pepo lakini yote hayo hewa tu sina ajira hadi sasa
Aiseee Jf sihami kabisa…japo huu ni uzi wa huzuni lakini hii comment imenichekesha sana aiseeeee
 
Wewe jobless si ulikuwa unalia lia humu mwaka juzi hapa ,unalilia ajira za serikali wewe Kenge ?
Leo hii wewe ndio wa kumuuliza mwenzako hivi ?
Au nikuroge ufukuzwe hako kakibarua kako.urudi kitaa huku uonje joto ya jiwe uanze kuokota Makopo kama chizi ?šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†
Duuu noma sana Jf
 
Ndiyo maana mi mtoto wangu nimempangia asome mwisho form 4 then peleka SUA akasomee KILIMO NA UFUGAJI then akiwa anaingia Degree namuanzishia duka la pembejeo akimaliza nauza viwanja viwili namfundisha kufuata madawa ya mifugo na shambani KENYA NA CHINA likiwa pumbafu shauri lake nahamia kwa mdogo ake.
KAMA UMEPENDA HUU MPANGO WANGU GONGA LIKE TWENDE WOTE
Kaa ukijua watoto wa siku izi hawapendi kupangiwa pangiwa mambo! Unaweza kuwa unamhangaikia kwa yote hayo lakini yeye akawa na interest ya kuwa producer wa muziki
 
Habari wana jukwaa. Kwa kweli hivi sasa bila connection ni ngumu kupata kazi, vinginevyo Mungu aingilie kati. Binafsi kwa neema ya M/Mungu nimefanikiwa kuwa nahistoria ya kufanya vizuri darasani, na kuwa mwanafunzi bora kuanzia nilipokuwa shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Historia yangu kwa ufupi ipo hivi.

Primary

Ufaulu mzuri nikapangiwa kwenda sekondari, japo ni ya kata, wakati huu ndo shule za kata zimeanzishwa kwa wingi, hivyo hata wenye ufaulu mzuri walipelekwa shule hizi ili kufidia gap la wanafunzi

Sekondari

Nilifanya vizuri sana. Nimekuwa mwanafunzi namba moja darasani tangu kidato cha kwanza mpaka cha nne na nikafanikiwa kuzawadia cheti cha mwanafunzi bora na uongozi baada ya kufanya vizuri kwa miaka yote minne ya sekondari.

Nikafaulu kwa ufaulu wa daraja la kwanza, nikiwa mwanafunzi pekee darasa nzima la wanafunzi 138 mwenye daraja la kwanza na nikapangiwa kwenda Advance kwa mchepuo wa PCM (Physics, Chemistry, Advance Math)

Advance

Hapa napo sikukaa kizembe, katika darasa la wanafunzi 38, kidato cha tano na cha sita vyote nilikuwa mwanafunzi namba moja ama namba mbili kwenye mitihani ya terms na kikanda. Katika wanafunzi 38 wa PCM, wanafunzi 2 pekee tukafanikiwa kupata Div I. Hivyo moja kwa moja tukapangiwa chuo kikuu, na wote tulikwenda chuo kimoja, UDSM (University of Dar Es Salaam)

Chuo Kikuu.

Nikasomea program ya engineering (Engieering Geology), ni program ya miaka minne. Kwa ufupi hapa shule ilikuwa ngumu sana, ukijumlisha na changamoto za kifedha, lakini historia ya nyuma ya shule ilinibeba nikapata mkopo wa serikali 100%. Chuoni tulianza wanafunzi 14, lakini tuliobahatika kumaliza mpaka mwaka wa mwisho ni wanafunzi 6, na katika hao sita, ni mimi pekee nilifanikiwa kufaulu kwa kiwango cha juu kidogo ukilinganisha na wenzangu cha Second class honors, Upper division ambacho na hakika si kiwango haba kutokana na ugumu wa program husika.

Hio ndo historia yangu ya shule kwa ufupi sana, nimeelezea matokeo tuu, sijaelezea matukio. Lakini nasikitika kuona kwamba rekodi hio haijawa na mchango chanya kuniwezesha kupata kazi. Mpaka sasa kijana natangatanga, hapa na pale. Nipo wazi kufanya kazi kwenye migodi ya uchimbaji, kampuni za ujenzi wa majengo na barabara. Na kwa sasa nina leseni ya ulipuaji (blasting licence for both Open pit & Underground mining)
Hahah! Ama hakika kupata kazi zama hizi connection... Wakuu nipeni CONNECTION!! Umri ni miaka 27.
Utakuwa kipanga wa wastani, ila utafanikiwa tu dogo. Never give up.
 
Habari wana jukwaa. Kwa kweli hivi sasa bila connection ni ngumu kupata kazi, vinginevyo Mungu aingilie kati. Binafsi kwa neema ya M/Mungu nimefanikiwa kuwa nahistoria ya kufanya vizuri darasani, na kuwa mwanafunzi bora kuanzia nilipokuwa shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Historia yangu kwa ufupi ipo hivi.

Primary

Ufaulu mzuri nikapangiwa kwenda sekondari, japo ni ya kata, wakati huu ndo shule za kata zimeanzishwa kwa wingi, hivyo hata wenye ufaulu mzuri walipelekwa shule hizi ili kufidia gap la wanafunzi

Sekondari

Nilifanya vizuri sana. Nimekuwa mwanafunzi namba moja darasani tangu kidato cha kwanza mpaka cha nne na nikafanikiwa kuzawadia cheti cha mwanafunzi bora na uongozi baada ya kufanya vizuri kwa miaka yote minne ya sekondari.

Nikafaulu kwa ufaulu wa daraja la kwanza, nikiwa mwanafunzi pekee darasa nzima la wanafunzi 138 mwenye daraja la kwanza na nikapangiwa kwenda Advance kwa mchepuo wa PCM (Physics, Chemistry, Advance Math)

Advance

Hapa napo sikukaa kizembe, katika darasa la wanafunzi 38, kidato cha tano na cha sita vyote nilikuwa mwanafunzi namba moja ama namba mbili kwenye mitihani ya terms na kikanda. Katika wanafunzi 38 wa PCM, wanafunzi 2 pekee tukafanikiwa kupata Div I. Hivyo moja kwa moja tukapangiwa chuo kikuu, na wote tulikwenda chuo kimoja, UDSM (University of Dar Es Salaam)

Chuo Kikuu.

Nikasomea program ya engineering (Engieering Geology), ni program ya miaka minne. Kwa ufupi hapa shule ilikuwa ngumu sana, ukijumlisha na changamoto za kifedha, lakini historia ya nyuma ya shule ilinibeba nikapata mkopo wa serikali 100%. Chuoni tulianza wanafunzi 14, lakini tuliobahatika kumaliza mpaka mwaka wa mwisho ni wanafunzi 6, na katika hao sita, ni mimi pekee nilifanikiwa kufaulu kwa kiwango cha juu kidogo ukilinganisha na wenzangu cha Second class honors, Upper division ambacho na hakika si kiwango haba kutokana na ugumu wa program husika.

Hio ndo historia yangu ya shule kwa ufupi sana, nimeelezea matokeo tuu, sijaelezea matukio. Lakini nasikitika kuona kwamba rekodi hio haijawa na mchango chanya kuniwezesha kupata kazi. Mpaka sasa kijana natangatanga, hapa na pale. Nipo wazi kufanya kazi kwenye migodi ya uchimbaji, kampuni za ujenzi wa majengo na barabara. Na kwa sasa nina leseni ya ulipuaji (blasting licence for both Open pit & Underground mining)
Hahah! Ama hakika kupata kazi zama hizi connection... Wakuu nipeni CONNECTION!! Umri ni miaka 27.
Duuuh ila ndo maana tunatofautiana, kwa hizo akili kama kweli zimo basi ondoa fikra za kuajiriwa, ingia chimbo jiajiri kwa sasa ajira ni kujuana tu, vilaza kibao wapo maofisini sio kwamba wana uwezo, lahasha wana connection

Mie nlikua na track nzuri nadhan zaidi hata yako lkn nikaona education was too simple and easy, so I left and went to seek something more challenging

Go employ yourself mzee
 
ELIMU sio vyeti (makaratasi) ELIMU ni maarifa /nyezo muhimu kukuwezesha kupambana na your environment na kupata matokeo chanya.

Mimi kwangu ELIMU inabakia kua confidence/ Sina excuse kulaumu kujilaumu au kulaumu nimesoma au sijasoma.

Leo hii nikiamua kuuza genge ntauza kwa utalaam wa Hali ya juu/ nikiamua kuuza maandazi na vitafunio ntajibrand na kuuza kwa kiwango cha juu.

Ukingojea ajira za serikali kwa wakati huu OMBA uwe na bahati sanaaa ama connection pesa ipo mtaani ingia street anza harakati mdogo mdogo kua guru kwenye industry utakayo amua jipe muda fanya mambo with time utakua somewhere na huto taka hizi ajira Tena .

NB.
ELIMU ni kile KINACHO BAKIA KICHWANI BAADA YA KUMALIZA KUJIFUNZA [emoji310]
Wewe ni mimi mtupu... Tangu nipate ujasiri wa kujiajiri from the scratch saizi nakula matunda ya ujasiri wangu na bado nazidi kujibrand zaidi kufika level za juu. Vyeti vipo tu kabatini vinasubiri panya mwenye uchu navyo

Kinachoua ndoto za wahitimu wengi ambao kupata kwao ajira ni ngumu ni ule ujasiri wa kuweka vyeti pembeni na kujichanganya mtaani kwa wasiojua kama umesoma

Kijana mwenzangu amka
 
Wewe ni mimi mtupu... Tangu nipate ujasiri wa kujiajiri from the scratch saizi nakula matunda ya ujasiri wangu na bado nazidi kujibrand zaidi kufika level za juu. Vyeti vipo tu kabatini vinasubiri panya mwenye uchu navyo

Kinachoua ndoto za wahitimu wengi ambao kupata kwao ajira ni ngumu ni ule ujasiri wa kuweka vyeti pembeni na kujichanganya mtaani kwa wasiojua kama umesoma

Kijana mwenzangu amka
Hakika mkuu.
 
M

Mkuu! Hali zetu za kifamilia zilitufanya tusibakishe hata senti 1 ya ule mkopo wa baada ya miezi miwili ya kila semister. Kutokana na kwamba ukipokea mkopo ndo huohuo unatuma nyumbani kwa wazazi/ndugu. Nao pia wapate ahueni, utaweza vipi kusave hapo na kufanya biashara. Binafsi ilikuwa ngumu mno kufanya hivyo.
Hapa ulikosea sana sana mkuu hukutakiwa kuonea huruma ndugu kwa kipindi hiki

Binafsi Cv yangu inafanana na yako sema mimi nimekutangulia na nilisomea ualimu target yangu ikiwa nipate šŸ’Æ ya mkopo wa kujikimu kutokana na life ilivyongumu home

Nilipiga GPA nzuri tu ila kwakuwa Boom ndio ilikuwa target yangu nilianza kujishughulisha na biashara nikiwa chuoni na ile pesa ya boom. Mimi kwangu ilikuwa tofauti ndugu hakulamba hata mia japo najua wanateseka kweli

Nilijua sina connection ya kitu ninachosomea japo najua ajira kila mwaka zinatoka. Nashukuru Mungu kabiashara kangu nimesota nako toka namaliza chuo hadi sasa

Ila bado hujachelewa unao muda wa kupambana na kuimarika
 
Back
Top Bottom