Rekodi yangu bora kimasomo haijaniwezesha kupata ajira. Naathirika Kisaikolojia

Daaaaah[emoji24]
 
Sometimes maisha inabidi ugawanye kwa njia fupi maana ukilazimisha kwa njia ndefu utaishia kuzurura tu mtaani
 
Usikate Tamaa hata Mimi Nina record Kama yako, tofauti me ni upande wa arts, licha ya ufaulu mkubwa chuo nikasoma ualimu mwaka wa tatu sasa sijui cha jufanya nimepiga Boda nknikachoka nimefanya kadi za ujenzi nkaachoka nikaenda Veta mwaka Jan welding nkamaliza napiga kazi sipati nitakacho ilaa sikati tamaa ipo Siku bado miaka 26 inatia huzuni
 
Utatoka mkuu ulituma hizi ajira za karibuni.
 
Sio kipindi zinaanza rasmi. Lakini ilikuwa ni kipindi ambacho bado shule za kata zinapewa kipaumbele sana. Mwaka 2010 ( Std 7)
Mm mwenyewe kama wewe 2010 std 7, 2014 4m 4, 2017 4m 6, 2018 self study in computer studies, 2019 DIT went home for health issues, 2021 totally left at DIT with NTA level 4 in mechanical engineering from 2021 to date worked as tutor, farming labour, construction worker, government worker, factory worker, internet entrepreneur and small business. Sema wewe ulichelewa kuelewa kua elimu ya tanzania ni utapeli haendani na mazingira hafu ufaulu mkumbwa Hauna Cha kufanya mbele ya maisha magumu
 
Hii ni Point kubwa sana umeongea si kwa mtoa mada tuu bali kwa jamii nzima itakayosoma. Ni muhimu sana kupunguza ubinafsi na kujua kwamba hapa Duniani kila mtu yuko na umuhimu wake, kuna mahali mtu fulani anafit vizuri kuliko wengine hivyo yatupasa kushirikiana sanaa na kuheshimiana.
Big Up Chief.
 
Pole sana mkuu hayana Muongozo.
 
Hongera, ingawa walimu nao wanakula jeramba.
 
Nakumbuka uzi wako uliosema unataka mtoto wako aishie form4
 
Una mpaka welding unalia njaa?
 
Pole sana mkuu, wako wengi. Kuna mmoja ana ufaulu mkubwa sana zaidi yako, Olevel div 1 ya 9, Advance div 1 ya 4, akaingia top 20 wanafunzi bora kitaifa, Chuo akasoma petroleum, mpaka sasa hana ajira rasmi.
Huyu namjua ni Rafiki yangu sana .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…