Rekodi za Kibabe: Yanga VS Waarabu mashindano ya CAF

Rekodi za Kibabe: Yanga VS Waarabu mashindano ya CAF

Yanga Tutaenda robo fainali au nusu fainali mwaka huu tunza hii comment kwenye ubongo wako
Labda roboduara fainali na nusuduara fainali lakini robo na nusu fainali ya CAFCL hakuna.

Au mnafikiri kwenda robo na nusu ni kutamka tu kwamba iwe na ikawa kama Mungu alivyokuwa akitamka wakati wa uumbaji?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Kwa background hii nyekundu utakuwa umeitoa kwenye ma group ya makolo je zile dala dala mlizochukua kwa vita na al ahly unazo screen shot
Lakini ukweli ndio huo, kacheki data online. Ulikuwa unakaza lakini, hauvuki.
Ni kama sasa hivi unataka kumtisha Medeama, nao wakiangalia records wali draw Dar, Ghana wakakupiga 3-1.
JAMBO MOJA LA UHAKIKA YANGA INAISHIA MAKUNDI🤣🤣.
 
Back
Top Bottom