REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
Inajulikana kama reli ya kaskazini kama inavyoonekana kwenye ramani ilijengwa miaka ya 1890s na German
Mkurugenzi Mkuu wa Rahco asema lengo ni kurudishia opereshen za tren za abiria Dar-Arusha kuanza mwezi Dec 2018 @TanzaniaHistory
Kazi ya kurudishia reli ya Tanga-Arusha ikiendelea na hapa ni mbele kidogo ya stesheni ya Korogwe
Hii itakua ni pigo kubwa kwa bandari ya Mombasa nchini Kenya hasa ukizingatia baadhi ya Mizigo (michache) ya kaskazini mwa Tanzania ilikua ikipitia Kenya.
Ni ukweli usiopingika kwamba Tanzania hii chini ya Magufuli itafika mbali hata zaidi ya tulivyodhani, katika reli zilizokua mfu na hakuna mtu angedhani ingekuja kufanya kazi ni hii, company ya Germany ipo kwenye mpango wa kuiendeleza zaidi hii reli.
Mkurugenzi Mkuu wa Rahco asema lengo ni kurudishia opereshen za tren za abiria Dar-Arusha kuanza mwezi Dec 2018 @TanzaniaHistory
Kazi ya kurudishia reli ya Tanga-Arusha ikiendelea na hapa ni mbele kidogo ya stesheni ya Korogwe
Hii itakua ni pigo kubwa kwa bandari ya Mombasa nchini Kenya hasa ukizingatia baadhi ya Mizigo (michache) ya kaskazini mwa Tanzania ilikua ikipitia Kenya.
Ni ukweli usiopingika kwamba Tanzania hii chini ya Magufuli itafika mbali hata zaidi ya tulivyodhani, katika reli zilizokua mfu na hakuna mtu angedhani ingekuja kufanya kazi ni hii, company ya Germany ipo kwenye mpango wa kuiendeleza zaidi hii reli.