Reli ya Dar-Tanga-Kilimanjaro-Arusha imeanza kujengwa; Dec, 2018 kuanza kazi rasmi, Kenya kuathirika

Reli ya Dar-Tanga-Kilimanjaro-Arusha imeanza kujengwa; Dec, 2018 kuanza kazi rasmi, Kenya kuathirika

Tufanye mambo yetu kwa kuangalia maslahi yetu kama nchi badala ya kuangalia Kenya au Rwanda sijui!
 
kwanza wameshalipalile deni la kukomboa bombadier zetu?
KONOIKE wameshalipwa?
Hiyo reli itakuwa(?) SGR au ni ile ile alioacha mkoloni?
NDOTO ZA AWAMU YA VI-WONDER KILA KITU CHA MOTO.
 
Kama anaikumbuka na reli ya nyumbani; ngoja na mimi nimpe kura yangu panapo na majaliwa! Wenye malori nao sasa watalazimika kutufikishia huduma huku vijijini kwenye matunda yanayoharibika kwa kukosa usafiri wa uhakika. Na nyie halmashauri mjitahidi basi kutuwekea japo changarawe magari yapite vizuri. Hongereni wafanikishaji wa haya.
 
Hivi ni kujengwa ama kuikarabati!!?
Inajulikana kama reli ya kaskazini kama inavyoonekana kwenye ramani ilijengwa miaka ya 1890s na German

View attachment 603832

Mkurugenzi Mkuu wa Rahco asema lengo ni kurudishia opereshen za tren za abiria Dar-Arusha kuanza mwezi Dec 2018 @TanzaniaHistoryView attachment 603828

Kazi ya kurudishia reli ya Tanga-Arusha ikiendelea na hapa ni mbele kidogo ya stesheni ya Korogwe

View attachment 603829

Hii itakua ni pigo kubwa kwa bandari ya Mombasa nchini Kenya hasa ukizingatia baadhi ya Mizigo (michache) ya kaskazini mwa Tanzania ilikua ikipitia Kenya.

View attachment 603830

Ni ukweli usiopingika kwamba Tanzania hii chini ya Magufuli itafika mbali hata zaidi ya tulivyodhani, katika reli zilizokua mfu na hakuna mtu angedhani ingekuja kufanya kazi ni hii, company ya Germany ipo kwenye mpango wa kuiendeleza zaidi hii reli.

View attachment 603827

Safi sana,mambo mazuri.
 
Sukari ya tpc sasa itaanza kusafirishwa na reli bila kusahau soda za cocacola. Magufuli Vivaa

Usiseme Magufuli Vivaa sema ‘Mwl Nyerere wa Pili Vivaa’!!! Kama Majaliwa K Majaliwa angalikuwa kama Edward Moringe Sokoine, nchi ingefika mbali na Dr Magufuli hangekuwa na haja ya kufukuzana na mawaziri au watendaji wazembe kazini!!
 
Hii reli haiwezi kuwa profitable kwa sasa bora nguvu ielekezwe Tanga musoma, yaani mizigo na abiria wepi wa kutoka Arusha au Dar watapanda treni,,huku ni kupoteza pesa labda bdye sana ikijakuwa electric
 
Back
Top Bottom