Kiparuanda
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,587
- 2,389
Hiyo reli ikfufuka nitaamini kweli Magufuli ni mteule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hiyo hiyo mzigo wako utakua kariakooZile nyanya, vitunguu, karoti, ndizi zangu zitafika dar salama. Je hizo treni zitatumia mda gani kutoka Arusha mpaka Dar? Isikute ni siku 2!!
Popote pale kama ni Tanga au DarSukari ya TPC kusafirishwa ikipelekwa wapi?
Wakishusha bei mkuu vilivyo mkuu utapanda tuuKwa mizigo sawa....but Arusha to Dar kwa kutumia treni ya abiria?? Mmmh
Nyie endeleeni na maendeleo tu,sisi hapa nikuimba tibim na tialala tukipora na kuchoma mali ya watu..tukiamka kutoka haya majanga mtakuwa mbele sana kiuchumiLakini ujue hata Mwanza, Kigoma, Tabora, Dodoma wapo wateja wengi tu.
Kwa mizigo hapa wameula sababu cement za Tanga zitasambazwa na reli hii na mbolea kutoka arusha kuelekea Tanga, and Dar kupelekea kusini
[emoji38]Wewe hujaambiwa uende na chupi yako kwenye mkutano wa Odinga?
Mvumilivu..................Lakini ujue hata Mwanza, Kigoma, Tabora, Dodoma wapo wateja wengi tu.
Kwa mizigo hapa wameula sababu cement za Tanga zitasambazwa na reli hii na mbolea kutoka arusha kuelekea Tanga, and Dar kupelekea kusini
Ya kuniNi ya umeme?
Hata mimiHiyo reli ikfufuka nitaamini kweli Magufuli ni mteule
Nyie vijana wa chadema mpaka 2020 mtakuwa mmenyooka.
Soma kuhusu india na usafirishaji kwa kutumia treniZile nyanya, vitunguu, karoti, ndizi zangu zitafika dar salama. Je hizo treni zitatumia mda gani kutoka Arusha mpaka Dar? Isikute ni siku 2!!
Umecho kiangalia ni muda tu!Zile nyanya, vitunguu, karoti, ndizi zangu zitafika dar salama. Je hizo treni zitatumia mda gani kutoka Arusha mpaka Dar? Isikute ni siku 2!!