Reli ya Dar-Tanga-Kilimanjaro-Arusha imeanza kujengwa; Dec, 2018 kuanza kazi rasmi, Kenya kuathirika

Reli ya Dar-Tanga-Kilimanjaro-Arusha imeanza kujengwa; Dec, 2018 kuanza kazi rasmi, Kenya kuathirika

Zile nyanya, vitunguu, karoti, ndizi zangu zitafika dar salama. Je hizo treni zitatumia mda gani kutoka Arusha mpaka Dar? Isikute ni siku 2!!

Usiogope mkuu. Ukiondoka saa 12 jioni unaingia dar saa 12 asubuhi. Labda usimamishwe Pugu kwa masaa 2 tu ukiingoja ya Moro iunganishwe kuelekea dar. Ukicheleweshwa saana saa 2 asubuhi unashuka pale stesheni
 
Wangejenga Standard gauge ...but kama ni mizigo wakarabati tuu....
 
Sukari ya tpc sasa itaanza kusafirishwa na reli bila kusahau soda za cocacola. Magufuli Vivaa
sukari yenyew ipo? hapo moshi mjini tu haipatikani iyo yakusafirisha labda itoke bandarini
 
Lengo ni kufufua treni ya abiria kulingana na maelezo, watakaothirika ni wale wafanyabiashara za usafirishaji na wala sio kenya
Sure! Wamilki wa mabasi na malori ndio wahujumu wakubwa wa reli zetu.
 
Tusipoitambua thamani ya Magufuli wakati huu, ipo siku tutajutia.
Magufuli ni kiongozi ambaye watanzania hatutakuja kumpata mwingine kama huyu, haya mambo Magufuli anayoyafanya ni Mungu tu ndio anaweza kuyafanya sababu Tanzania tulishafika point tukaona hakuna matumaini ya kuendelea tena.
 
Sio lazima kila sehemu standard gauge ijengwe nchi za asia kuna miji hutumia narrow gauge na treni nyingne hufika mpka speed ya 200km/hr ..issue ni kutafuta vichwa na mabehewa yanayoweza kufika hata 100km/hr ..A trip to arusha will be 8-9hrs only at max
695f2318db0eb14f23c63066c0086789.jpg
 
Hii safi sana mkuu,reli hii ilikuwa imesaulika kabisa.Itasaidia kuokoa barabara na mizigo mizito kama cement kutoka tanga itakuwa inasafirishwa kwa njia hiyo.Kipande cha mombo kuelekea mazinde na hedaru mpaka mwanga kimeharibika vibaya.Madaraja,tuta,vimearibiwa sana na mvua naona.Tuta itabidi liimarishwe sana sehemu hizo na kurudishia kokoto ili kuifanya iwe imara.Hongera Kadogosa na timu yako chapeni kazi.
 
Mbona musoma mh, magufuli umepasahau kwann hiyo meli isiunganishwe na musoma angalau mji uchangamke kwani musoma nikama kakisiwa hakuna barabara nyingi zinazoingia ni moja tu ya musoma mwanza basi, kwani hapo nyuma tulisikia kua hiyo reli itafika hadi musoma tukaona watalaam wanakuja kufanya valuation sijui imefikia wapi pakumbuke musoma ili hii miji ikue
 
Ikiunganisha hii reli hadi musoma tutakukubali sana
 
Back
Top Bottom