barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Mawazo ya kijinga sana haya, bado uko kwenye ujima.
Reli lazima iboreshwe iendane na kasi ya sasa. Muda ni muhimu sana zama hizi, hatuwezi poteza masaa karibu 20 kwa siku kisa uko safarini, hayo masaa yatumike ktk uzalishaji shughuli zingine.
Reli lazima iboreshwe iendane na kasi ya sasa. Muda ni muhimu sana zama hizi, hatuwezi poteza masaa karibu 20 kwa siku kisa uko safarini, hayo masaa yatumike ktk uzalishaji shughuli zingine.