Reli ya standard gauge ya Rwanda na Tanzania ni kaburi la uchumi wa Tanzania

Hasira za nini jamaa. Ukikosa hoja unaleta hasira. Hizo reli kweli ni za zamani na hazifai kabisa. Ndiyo maana zinajengwa za kisasa.

Mbona huongelei nchi za ulaya zaidi kusafisha mizigo kwa reli na Bandari.
 
Hasira za nini jamaa. Ukikosa hoja unaleta hasira. Hizo reli kweli ni za zamani na hazifai kabisa. Ndiyo maana zinajengwa za kisasa.

Mbona huongelei nchi za ulaya zaidi kusafisha mizigo kwa reli na Bandari.
Ulaya bado si level yetu kujadili yao.Malengo yao tofauti na yetu na wako kimkakati zaidi compared na huku kuliko jaa ubabaishaji.
 
Namaanisha kwamba mapungufu uliyonayo katika tafsili ya uchumi hayataonekana ukipimwa mkojo bali haja kubwa.

Hivyo tu umeogopa. Wewe ni mvulana siyo mwanamme.
Matusi kama hayo ni mazuri kwako mtoaji ila kwa mimi uliyeniambia hivyo siwezi kukurudishia katu.
Sina uoga najiamini mwenyewe lakini kuheshimiana ni bora sana.
 
Matusi kama hayo ni mazuri kwako mtoaji ila kwa mimi uliyeniambia hivyo siwezi kukurudishia katu.
Sina uoga najiamini mwenyewe lakini kuheshimiana ni bora sana.
Hakuna tusi hapo mkuu ni maoni tu. Sawa ngoja tuutafute usingize. Naingia katika sara ya usiku tayari kwa kulala. Usiku mwema.
 
Watakuelewa baada ya miaka 5.

Hata kama umekosea kuchambua kuhusu manufaa ya kiuchumi ya SGR hiyo lakini hoja yako kuhusu Kagame kutuvuruga siku zijazo iko wazi wala haihitaji mtu kuwa TISS/MI kuielewa.

Pole Tanzania.
 
Mzee inabidi ukapimwe IQ yako si bure, Nakufananisha na Nabii Tito....
Bora useme...Kuna watu wanachekesha sana....wanajifungia kwenye makabati halafu wanaandika andika kama hii thread. Hata haieleweki. Rwanda ni kubwa kuliko PK...Tanzania ni kubwa kuliko yoyote awaye. Tunaanzaje kupanga mambo kama ndio mwisho wa dunia? Wajukuu zetu watatucheka
 
Tatizo hesabu zenu mnazipigia pafupi sana. Hoja si kujenga reli kwaajili ya rwanda, Tanzania ni nchi kubwa sana. Reli ya kati ikikamilika wakulima wa kigoma, kagera, mwanza, tabora watanufaika sana na huu usafiri kutoa mazao yao huko waliko na kwenda bandarini kwaajili ya export. Magufuli hajengi reli kwaajili ya wanyarwanda...ila anajenga kwaajili ya watanzania hasa wale wakulima wachini wanaoshindwa kukodi semi trailler kuleta mahindi Dar es salaam.
 
Huhurumii hata barabara zetu kuharibika ndani ya muda mfupi kutoka na mizigo kusafirishwa kwa barabara. Hutuhurumia sisi mtu kutumia siku mbili hadi tatu kutoka Kigoma kuja Dar es Salaam. huwahurumii watanzania kushindwa kusafirisha mizigo yako kwa wakati kutokana na ukosefu wa miundombinu muhimu naya haraka?
 
Watu kama nyinyi ndio mnaokaa kijiweni na kushabikia kilimo cha matikiti kinalipa kweli bila kuangalia factor nyingine,

kwahiyo ukijenga reli tu ndio tayari umeshapata faida, ebu angalia mizigo mingapi inaenda huko kijijini Rwanda badala ya Kongo na Zambia, Malawi nk.

Kwanza Rwanda fuso moja tu linawatosha wale, hii reli utachukua miaka mingi sana kurudisha faida, na kwa taarifa yako kagame akiondoka madarakani wanyarwanda wataendelea kutumia bandari ya Mombasa
 
Watu wengi wanatoa maoni kwa chuki za viongozi, ebu angalia Rwanda inapakana na Kongo, upande wa Goma, kitendo cha ujenzi wa Reli ni faida kubwa si kwakizazi hiki tu kwa faida kwa bara zima la Africa tusiwe na mawazo wa ya kikokoni lazima bara letu litakuja kuwa Moja hata isipotokea kwa karne hii, mipaka iliwekwa na wakoloni hata mawazo yetu ni yakikoloni, tubadilike jamani
 
Tatizo la wa tz hatuna maono ya mbali.mmoja wapo ww.ungejua huyu mleta hii mada huku anacho ki focus usingemjibu upupuu huu hapa.
 

Mkuu, nafikiri ungetoa sababu/faida za kuijenga hiyo reli.
.
.
Tutanufaikaje kama nchi?Na tusipojenga tutakosa nn?
 
Wapinzani wa awamu hii wameshikwa pabaya wamekuwa machizi wanaandika hoja nyepesi sana.
 
Mkuu mbona hisia tu na kwenda rwanda hakuna usafiri wa maji na barabara ni garama kusafirisha mzigo kuliko reli.
Not: kenya wana bandari yao kwahiyo na rwanda ni nchi ambayo haina bahari na ninaafuu kupitishia mzigo tz kuliko sehemu nyingine.
 
Ndugu yangu unahitaji ukae ufikilie kwa makini, sidhani kama umejipa muda kabla ya kufikia MUONO finyu kama huu!!!.
Hata bila ya lengo la kukamata mizigo yote ya Rwanda, Burundi na DRC lakini Nikel iliyoko Kabanga inatosha kujustify ujenzi wa Reli hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…