Reli ya standard gauge ya Rwanda na Tanzania ni kaburi la uchumi wa Tanzania

Reli ya standard gauge ya Rwanda na Tanzania ni kaburi la uchumi wa Tanzania

Kama unaona Tanzania tutaumia kwa ujenzi wa reli hyo haujalazimishwa kuish, kufa au hama nchi hii, ni hayo tu sina hoja ila nasubir uniambie mimi mjinga au nina uwezo mdogo wa kufikir
 
Hivi pesa ya kuizika kwenye miundo mbinu kama hii ya reli na ile waliyokuwa wanalipwa posho za safari zisizoisha viongozi na rais wa nchi, kipi bora??
 
Kama unaona Tanzania tutaumia kwa ujenzi wa reli hyo haujalazimishwa kuish, kufa au hama nchi hii, ni hayo tu sina hoja ila nasubir uniambie mimi mjinga au nina uwezo mdogo wa kufikir
Usipaniki eleza hay mistari mitatu watu tujue mawazo yako. Sasa hapo utukanwe kwa lip la maana uliloeleza.
 
Kiuhalisia tunatakiwa kuwa na miundombinu bora na ya kisasa inayotuunganisha na nchi zote jirani zinazotuzunguka. Kuboresha miingiliano ya watu na bidhaa.
Naipongeza serikali kwa kuanza kutekeleza miradi ya namna hii.
 
Unajua unapo argue na mtu ndo unajua ana upeo gani. Rwanda,burundi,congo ni land locked country na uganda so reli ya kati ni muhimu sababu ya manufaa makubwa ya kiuchumi kwa tanzania. Kwa sasa mza dar ni masa 24 ndo ufike. Biashara inakuwa ngumu na gharama ni kubwa. Reli ikiwepo ni masaa saba tu.huoni itasereresha uchumi mbele
Dah! Upo vizuri sana, ipo siku mm nikiwa rais ww utakuwa waziru mkuu
 
Another Beta Male kama Henri Kilewo, vipi umeshapewa Pocket money ya weekend na Mammaa? Au umenyimwa hela ya Mtori asubuhi?
Unadhani akili ni sare hadi tuwaze sare wote kama mnavyowaza huko kwenu.Leta hoja siyo udaku.
 
Wewe ndo hujielewi na utajielewa siku ukifa. Wala akili yako ni ndogo haiwezi chochote.
Reli ni mhimu lakini si lazima ijengwe lazima uangalie aspects nyingi. Huko unakojenga reli mizigo haifiki kwa sasa?. Kama inafika kwa njia gani?.

Usinitoe relini kwangu hiyo reli siyo kitu kwa nchi na lengo ingekuwa kufaidika na reli angeanza na ya Zambia ambapo nchi nyingi zinaitumia siyo hako katarafa ka Rwanda.
Una point mkuu sema tu JF imejaa wapiga fegi.
 
Tungelink rukwa na katavi na SGR ingekua jambo la mbolea zaidi ya rwanda... rwanda ni nchi ndogo na haitegemei sana Tz kiuchumi
 
Reli ni nafuu kuliko usafiri wa malori, mfano mzuri ni gharama za kurepea miundo mbinu ya barabara inayoharibika kirahisi kuliko Reli. Bidhaa za kusafirisha ni zile zile Sema zitasafirishwa kwa wingi na kwa urahisi. Pia Kuna nchi jirani na Rwanda, watanufaika pia na hii huduma. Na kama warwanda wakijiongeza wanaweza wakatengeneza bandari kavu ambapo bidhaa zitatolewa Tz na kufikia kwao, halafu wao wakatengeneza miundombinu ya kuwafikishia bidhaa nchi jirani. Au wakaonganisha reli na nchi jirani kuwafikishia bidhaa. Win to Win situation. Sitaki kuongelea ni kwanini uongozi uliopita haukuwa na mahusiano mazuri na huyu Mtu. Kuhusu reli zilizosahaulika ni vizuri zikaangaliwa upya kama kunaweza kufanyia jambo.
 
I won't blame you probably ni uelewa mdogo ukiongezea chuki binafsi.
1: Ujenzi was reli ukikamilika sio mizigo ya Rwanda tu itakayopitishwa,mizigo inayoelekea mashariki ya DRC sanasana Coma pia itatumia reli hii.
2: I wish ungejua revenue zinazotokana na mizigo iendayo Rwanda kupitia Dar, usingeongea upuuzi unaouongea sasa hivi.
3:Chuki zako binafsi dhidi ya Kagame inabidi uzitofautishe na nchi, Rwanda itaendelea kuwa jirani ya Tanzania daima:
4:Umetoa proposal kwamba ingekuwa bora reli hii ingejengwa kuelekea Kenya, kwani zikijengwa mbili kunashida gani? Project kama hizi inahitaji willingness na priority ya nchi husika. Probably Kenya au jirani wengine hawako tayari kwa sasa,are we to wait for them?
Fikra kama hizi ndio zinadidimiza bara letu.
 
Wewe Kumbuka hiyo reli kwa Tz itapita mikoa ya Shinyanga, Geita na Kagera, je wananchi wa mikoa hiyo na mikoa ya jirani hawatafaidika na reli hiyo?
 
Aisee kama haujasoma rudi shule kwa kweli khaa so unamaanisha sisi tunajenga reli sabu ya kagame? Idiotic thinking hii... Hahaha unajua faida za reli kwa nchi? Hivi gharama za usafirishaji wa mizigo Kwa njia ya reli ni sawa na njia ya bara bara? Hahaha nacheka kwa dharau sababu haujielewi...afu sijaona hoja why iwe ndio chanzo cha kuanguka uchumi?
Huyo ni wa kuhurumia mkuu. Achukulie mfano nchi za ulaya na asia ni watengenezeji wakubwa wa maroli, lkn soko kubwa la maroli hayo liko Afrika na si huko yanakotengenezwa je ni kwa nini?

Jibu ni rahisi tu, kusafirisha bidhaa kwa maroli ni expensive than reli na maji. Lkn pia magari makubwa yanaharibu miundominu. Na kuharibika kwa railway na Bandari ni inachukua mda mrefu sana. Chukulia mfano reli zetu. Hivyo kupungua kwa magari makubwa barabarani kutapunguza na uharibifu wa barabara.

Huyu amesoma chuo gani huyu!!!
 
Wewe si wa kupimwa mkojo, yatakiwa ukapomwe kinyesi.
Kumbuka hiyo reli kwa Tz itapita mikoa ya Shinyanga, Geuta na Kagera, je wananchi wa mikoa hiyo na mikoa ya jirani hawatafaidika na reli hiyo?
Usije na vitisho hatumuogopi mtu.Leta hoja.
 
@Mla Panya,
I won't blame you probably ni uelewa mdogo ukiongezea chuki binafsi.
1: Ujenzi was reli ukikamilika sio mizigo ya Rwanda tu itakayopitishwa,mizigo inayoelekea mashariki ya DRC sanasana Coma pia itatumia reli hii.
2: I wish ungejua revenue zinazotokana na mizigo iendayo Rwanda kupitia Dar, usingeongea upuuzi unaouongea sasa hivi.
3:Chuki zako binafsi dhidi ya Kagame inabidi uzitofautishe na nchi, Rwanda itaendelea kuwa jirani ya Tanzania daima:
4:Umetoa proposal kwamba ingekuwa bora reli hii ingejengwa kuelekea Kenya, kwani zikijengwa mbili kunashida gani? Project kama hizi inahitaji willingness na priority ya nchi husika. Probably Kenya au jirani wengine hawako tayari kwa sasa,are we to wait for them?
Fikra kama hizi ndio zinadidimiza bara letu.
Kwanini wote tunaomsema kagame mnatuona tuna chuki naye.Nadhani ni mawazo yenu tu.
Kila mtu ana haki ya kusema hoja yake sasa inaonekana wengine waliumbwa ili kusifia tu.
Unaweza ukawa na hoja nzuri but unapoanza kwa kudharau watu ni tatizo .
 
Usije na vitisho hatumuogopi mtu.Leta hoja.
Hujatishwa mkuu nimeishangaa hoja yako. Nimetoa pia hoja ya kuwa je mikoa ya Tanzania ambayo hiyo reli itapita haitanufaika nayo? Au Kagame atakataa ya kuwa reli hiyo itasafirisha Mizigo ya Rwanda pekee?
 
Huyo ni wa kuhurumia mkuu. Achukulie mfano nchi za ulaya na asia ni watengenezeji wakubwa wa maroli, lkn soko kubwa la maroli hayo liko Afrika na si huko yanakotengenezwa je ni kwa nini?

Jibu ni rahisi tu, kusafirisha bidhaa kwa maroli ni expensive than reli na maji. Lkn pia magari makubwa yanaharibu miundominu. Na kuharibika kwa railway na Bandari ni inachukua mda mrefu sana. Chukulia mfano reli zetu. Hivyo kupungua kwa magari makubwa barabarani kutapunguza na uharibifu wa barabara.

Huyu amesoma chuo gani huyu!!!
Unachoamini wewe siyo sare hadi wote waamini.
Kwani reli hazipo nchini na jiulize zina hali gani .Usilazimishe kuwa navyo vingi angalia vichche ulivyo navyo vina ubora gani.
Acheni unafiki semeni ukweli reli zina hali mbaya ziko taabani leo mnakalia kuona kama tunamchukia kagame.
Tatizo mnataka wote tufuate mawazo ya mtu mmoja bila kuhoji hata ikiwa ni ya hovyo au yanahitaji kurekebishwa.
 
Hujatishwa mkuu nimeishangaa hoja yako. Nimetoa pia hoja ya kuwa je mikoa ya Tanzania ambayo hiyo reli itapita haitanufaika nayo? Au Kagame atakataa ya kuwa reli hiyo itasafirisha Mizigo ya Rwanda pekee?
Unaposema hatusitahili kupimwa mkojo bali kinyesi what do you mean?.
Ktk maisha hakuna atakayesalia duniani wote tutakufa sasa huwezi kushabikia au kutaja jambo ambalo wewe si muumini wake.
Tafakari vema sentensi hiyo.
 
Back
Top Bottom