Religion is the perfect scam. They sell an invisible product that you can only test and verify after you die

Religion is the perfect scam. They sell an invisible product that you can only test and verify after you die

Siamini uwepo wa miungu ya Wakristo Wala Waislamu

Naamini kwenye mizimu ya kinyiramba na Kiha

Ukiniona Kanisani ujue mama watoto ameniomba nikamsaidie kumuuzia sura kwa mashoga zake kuwa ana mume handsome,mpiga pamba Kali na mcha Mungu

Jina langu ni Yohana,hata sijui Hilo jina linamanisha nini kimzimu,hata sijui mizimu yake ilikuwaje

Huwa najisikia amani na furaha nikiitwa Kilimba,at least I know what the hell it means
Kilimba
 
Sijawahi kuvaa rozari. Na hoja yako imethibitisha nilichokiandika. Unahisi dini yako ndiyo ya kweli na sahihi, kwanini?
The opium of the mass/people. Dini ni utapeli mkubwa uliowahi kutokea Duniani na umehalalishwa kabisa.

Dini ndiyo itamfanya mtu aamini kuna Mungu au asiamini. Tatizo langu kubwa na dini ni kwanini zipo nyingi? Ikiwa wote tumeumbwa na Mungu mmoja iweje watu wagawanyike kimakundi wakijiaminisha Mungu wao ndiyo bora na dini yao ndiyo sahihi.

Mpaka sasa inakadiriwa kuna Miungu zaidi ya 3000 ambayo wanadamu wanaabudu. Dini kuu Duniani ni Ukristo na Uislamu: hiyo tayari ni Miungu miwili.

Jinsi dini zilivyoanzishwa na zilivyoingia Afrika ni jambo la kufikirisha na mtu mwenye akili timamu lazima ajiulize maswali. Je, watu walioishi Africa kabla ya dini, Mungu alifanya nini kuwaokoa watu wake kumjua na wasiangamie? Mungu yeye ni mkuu sana, kwanini ni watu wa jamii chache tu ndiyo walimjua kabla ya wengine? Siyo upendeleo huo?

Najua watapita wafia dini hapa (brainwashed) kuja kuandika kuwa nakufuru 😂 sijali, kwasababu siamini katika imani yoyote ile. Sifungamani na upande wowote.

Nimezaliwa na nimekulia kwenye Ukristo ila niliamua kwa hiari yangu mwenyewe kuachana na imani hiyo na kubaki kama nilivyozaliwa. Kwasasa naamini kwenye Deism (deist) mimi siyo Atheist wala Pagan.

Nakaribisha Atheists na open-minded Theists tujadili zaidi.
Naona siku hizi WAKRISTO mmekua atheists hasa huku nyuma ya keyboards

Anyway

Mna swali lenu hili wenyewe hua mnalipenda sana "how can you be sure of something you don't see & never have",lengo hapa ni kwamba hayupo ALLAH Kwa sababu huna nae na huwezi kumuona

But, "look over there, it's dark and you don't see the men,but with your goggles you see them"

So,if you don't see the men it doesn't mean they're not there, it means it's dark and you have no goggles"

MWENYEZIMUNGU "ALLAH" yupo tangu enzi na enzi,yeye ndio wa kwanza na yeye ndio wa mwisho
 
Sijasema hivyo! Mimi siyo Atheist. Naamini kuna chanzo cha ulimwengu ambaye wengi wanamuita Mungu. Ila mimi najua hakuna akili ya mwanadamu inaweza kujua chanzo cha ulimwengu.

Ukiacha imani ya uwepo wa Mungu bado kuna imani nyingine baada ya kifo. Wapo wanaoamini kuna maisha baada ya kifo (mbingu au kuzimu) na wapo wanaoamini kifo ndiyo mwisho wa kila kitu.

Mimi naamini hakuna mbingu wala kuzimu kama vitabu vya dini vinavyoeleza. Imani yangu haimaanishi mimi nipo sahihi ndiyo maana nikasema ikitokea mbingu au kuzimu ipo basi nitakapoenda nitakutana na aidha Waislamu au Wakristo na ikitokea wote wapo sahihi kwenye imani zao basi na mimi nitakuwa watakapoenda.
Kwahiyo utakua kuzimu ama mbinguni ?😀😀😀
 
Dakika za mwisho maana yake kifo. Hivi siyo vitu vya kijinga ninavyohoji na kifo kipo palepale hakikwepeki hata kwa maombi.

Ninamjua mtu aliyefariki kwa kuondoka hospitali alipokuwa akipatiwa matibabu na kwenda kanisani kufanyiwa maombi. Hali ilipokuwa mbaya wakarudi tena hospitali na ndiyo ikawa mwisho wa safari yake Duniani.

Hakipo kitu kitaweza kunitisha katika hii Dunia.
😀😀😀 Ni tabia ya Lucifer,kutoka na woga
 
Allaah anasema,

Hakika Dini mbele ya Allaah ni Uislamu. [Aal-’Imraan: 19]





Na Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):



الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الْإِسْلَامَ دِينًا ۚ

Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na Nimekutimizieni neema Yangu, na Nimekuridhieni Uislamu uwe Dini yenu. [Al-Maaidah: 3]



Na Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):



وَمَن يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَن يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ ﴿٨٥﴾

Na yeyote anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitokubaliwa kwake; naye katika Aakhirah atakuwa miongoni mwa waliokhasirika [Aal-‘Imraan: 85]
Mimi uwa nawaza nikisia Mtu anasema "Mungu kasema" eti Allah kasema 😁😁😁😁
 
Kukubali uwepo wa Muumbaji wa Ulimwengu na Mungu ni vitu viwili tofauti.

Mungu ni yule anayeongelewa kwenye dini. Wapo wengi, kuna Mungu wa Wakristo, Waislamu n.k. Mungu ni mwenye upendo na mkamilifu lakini bado aliweza kuumba binadamu anaojua fika wataenda motoni. Ukifuatilia haina maana ya yeye kuwapa wanadamu free will halafu watakaobisha uwepo wake waende kuzimu. Ni kama vile Mungu anataka kujionyesha kuwa yeye ndiyo yeye.

Muumbaji wa Ulimwengu ndiyo nadharia yenye mashiko kuliko kuamini Dunia ilitokea tu maana hapa tunaongelea na uumbaji sayari wa nyingine pamoja na Ulimwengu tuliopo, The Milky Way Galaxy.
Kwani huyo Mungu wa hizo dini si ndio huyo huyo anayeaminiwa kuwa ni muumbaji?
 
You cannot dictate terms for God,He is the porter,you are the vessel,take it or live it.

But I know what you are trying to do,you are trying to show that God is evil.God is not evik,He is a loving and rational God,but who does not tolerate unrepentant habitual evil doers, because he has given humanity power over sin,ni kiburi tu.
I think you've finished preaching, now please answer my question
 
You cannot dictate terms for God,He is the porter,you are the vessel,take it or live it.

But I know what you are trying to do,you are trying to show that God is evil.God is not evik,He is a loving and rational God,but who does not tolerate unrepentant habitual evil doers, because he has given humanity power over sin,ni kiburi tu.
Preaching is not acceptable. Understand that we are still testing the entire concept of the existence of God as it contradicts itself.

Back to post #183

Answer it
 
Back
Top Bottom