Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Hoja yako ni dini au imani?dini ni mfumo wa maisha ambao unaish mfn waarbu na wazungu they way wanavyoishi,ila imani ni kuamini/kukubali kwa kutumia hisia na unavyoviona mfn jua na mwezi..siku na na mchana kwamba mungu yupo lakin kwa ushuhuda wa nabii au mtume fulani...mwsho hulazimishw kuamini na acha kupotosha watu.