Religion is the perfect scam. They sell an invisible product that you can only test and verify after you die

Religion is the perfect scam. They sell an invisible product that you can only test and verify after you die

Na wewe unaamini Israel ndio mtowa roho?

Kasimame kwenye highway weka godoro lala hapo ndio utajuwa Fuso pia ni Israel.
kwa hyo unataka kusema kila anayegongwa na gari anakufa?wangapi wanakufa wakiwa wamelala?
 
IMG-20230824-WA0066.jpg
 
The opium of the mass/people. Dini ni utapeli mkubwa uliowahi kutokea Duniani na umehalalishwa kabisa.

Dini ndiyo itamfanya mtu aamini kuna Mungu au asiamini. Tatizo langu kubwa na dini ni kwanini zipo nyingi? Ikiwa wote tumeumbwa na Mungu mmoja iweje watu wagawanyike kimakundi wakijiaminisha Mungu wao ndiyo bora na dini yao ndiyo sahihi.

Mpaka sasa inakadiriwa kuna Miungu zaidi ya 3000 ambayo wanadamu wanaabudu. Dini kuu Duniani ni Ukristo na Uislamu: hiyo tayari ni Miungu miwili.

Jinsi dini zilivyoanzishwa na zilivyoingia Afrika ni jambo la kufikirisha na mtu mwenye akili timamu lazima ajiulize maswali. Je, watu walioishi Africa kabla ya dini, Mungu alifanya nini kuwaokoa watu wake kumjua na wasiangamie? Mungu yeye ni mkuu sana, kwanini ni watu wa jamii chache tu ndiyo walimjua kabla ya wengine? Siyo upendeleo huo?

Najua watapita wafia dini hapa (brainwashed) kuja kuandika kuwa nakufuru [emoji23] sijali, kwasababu siamini katika imani yoyote ile. Sifungamani na upande wowote.

Nimezaliwa na nimekulia kwenye Ukristo ila niliamua kwa hiari yangu mwenyewe kuachana na imani hiyo na kubaki kama nilivyozaliwa. Kwasasa naamini kwenye Deism (deist) mimi siyo Atheist wala Pagan.

Nakaribisha Atheists na open-minded Theists tujadili zaidi.
Paroko anadai tumchangie finishing Nyumba ya ma Padre
 
Kila mtu ana mtazamo wake na uzoefu wake kwenye masuala ya Dini, wapo Waafrika wanaomini , wapo Wazungu, Waarabu, Wahindi Wachina.nk
nk ambao pia wanaamini na Kutokuamini kama dini ni scam or not, again hiyo inategemea na mtazamo na uzoefu wa mtu Binafsi.....
Hakuna namna ya kuhakiki au ya kujaribu kuthibitisha dini baada ya kifo, walakin, twaweza kutumia njia tofauti za kuelewa na kui_appreciate katika maisha yetu haya na haya ma_Dini yakumbambikizwa na yale tunayojidai kujua!

Kaa kwa Amani.
 
Daah hasa usipoamini ina maana Dunia ilijitengeneza yenyewe na viumbe vyote vilivyopo Duniani hiki kitu hapana aisee...
 
Back
Top Bottom