MANENO YA MTUME KUHUSU KIFO NA KITAKACHO ENDELEA BAADA YA KIFO
MUHAMMAD ANASEMAJE?
Kurani 39:30 inasema kwamba Muhammad, wafuasi wake na watu wengine wote watakufa siku moja.
SWALI--Hivi muhamadi kafa au bado? Ikiwa muhmad kafa maana yake yeye na wafuasi wake na watu wengne wote washakufa siku ambayo yeye alikufa kama quran unavyo sema kwamba yeye na wafuasi wake watakufa siku siku moja(yawezekana hapa tulipo sisi tushakufa mda Sana)[emoji23][emoji23]
Nini kitatokea baada ya hapo Muhammad hana habari! Hana wazo hata kidogo.[emoji28]
Quran 46:9. Muhammad anasema, "Sijui kitakachonipata mimi wala nyinyi wafuasi wangu. Mimi ni Mwonyaji tu na nasema yale yanayoteremshwa."
---------------------
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muhamadi
Hatambui
Hafahamu
Haelewi
Hajui
Hana hata fununu
Hana uwakika
Hana taarifa
Kua nini kitamtokea baada ya kufa [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabikra 70..mito ya pombe..vyakula vitamu vya peponi au kwenda motoni hajui kama atakutana navyo au laa yeye alikua akisema tu alio kua akitumwa aseme hajui kama vipo au havip na hajui nini kitaendelea baada ya watu kufa [emoji23][emoji23]
Kipenzi cha mungu wenu hakijui kua kitaenda peponi au motoni yani sio yeye tu mpaka wafuasi wake magaid wake hawajui wapi wataenda au nini kitaendelea baada ya wao kufa [emoji23][emoji23]