Religion is the perfect scam. They sell an invisible product that you can only test and verify after you die

Nakubaliana na wewe. Moja ya kitu ninachokipenda kuhusu dini ni mafundisho yake kuhusu dhambi, dini zimesaidia kujenga jamii bora.

Ila kuna vitu siyo dhambi kwakweli.

Kama ile ya kupiga papuchi kweli wanaiwekaje inakuwa sehemu ya dhambi.
 
Mungu ni mmoja imani ndio tofauti halafu bila dini hii dunia ingekuwaje unadhani watu wangeishi kama wanyama wangeuwana wangedhulimiana yaani dunia isingekuwa sehemu Salama kuishi.
 
Preaching is not acceptable. Understand that we are still testing the entire concept of the existence of God as it contradicts itself.

Back to post #183

Answer it
Testing God?Can a vessel test a porter?Really?It is so ridiculous.No further comment.
 
I think you've finished preaching, now please answer my question
Huna swali la mimi kujibu,yote yanatokana na kiburi cha uzima(pride of life) na unfortunately siko tayari ku-address issues pertaining to pride of life.
 
Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Ni wafisadi, na wametenda mambo ya kuchukiza, Hakuna atendaye mema.zaburi 53:1
 

Mit 27:22 SUV​

Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano; Upumbavu wake hautamtoka.
 
Ndugu mungu yupo,angalia Imani za Africa kabla ya kja wazungu ama warabu ,Imani hiyo ilikuwa inamwelekea muumba!kitu kikubwa ambacho binadam anacho tangu enzi na enzi ni Imani juu ya ukuu ulio na nguvu zaidi katika kuamua mambo ambayo binadamu hawezi so supernatural creature is there to stay
 
Kingunge alikuwa na msimano ila kwa kuwa akili za kiafrika zinawatosha wenyewe, mwisho ailipamic na kumkiri Yesu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…