Wacha kujifanya we una undugu na huyu jamaa wakati hapo nyuma umemtukana!
Mi nilisha wauliza hapo nyuma!
Kila siku mnampokea yesu! HIVI HUWA ANAKUJA KUTOKA WAPI??
AISEE MNATUCHANGANYA NYIE!!?
Welcome to Allahic Paradise:We dont work so hard and plan to go to heaven!
But galatians do!
We plan to go ABOVE HEAVENS!!
A PLACE CALLED "PARADISE"Insha Allah!!
Si unaona!?!
Umekubali mwenyewe kuwa DINI YAKO HAINA MSAADA WOWOTE NA WEWE!
sasa umelazimishwa kuabudu hayo masanamu ambayo hata yesu alipiga marufuku??
Okay haina tabu tunakubalianaoh Mjasiria, if you're a bible beleiver and unajua its contradictory then you're very lucky. For sure wengi hawajui. And so tunakubaliana the bible is NOT inerrant nor infallible as its claimed.
Simkubali.
Kwanza kwasababu as nilivyotoa mfano, genealogy ya biblia is very clear. Ukihesabu hata miaka ya wale waliodaiwa kuishi miaka 900, haizidi miaka 6000 iliyopita. So kama mungu wa biblia anadai alianza adam mpaka Abraham mpaka daudi mpaka yesu wakati tunajua watu walikuwepo zamani saaana kuliko hao, nimwaminije? Biblia ikisomwa kama historia na story ya Wayahudi ndo italeta maana, lakini si wanadamu wote.
Pili, I hope Unajua jinsi vitabu vya biblia vilivyokusanywa na kwa malengo yapi (hence accounting for the numerous contradictions). Yani story zingine ziliandikwa waay before zile za biblia (kama gharika, Abraham kujaribiwa kuua mwanaye, Adam n Eve), kwanini nione biblia nzima matukio halisi badala ya one of man's great works a fiction?
Tatu, contradictions zenyewe. Niamini kipi? Yeye msimamo wake ni kwenye kuua tu wakati vingine anasuasua.
Nne,, sifa zake. Nilifikiri mungu Ana ukuu flani. Sasa kama mungu alifanya mambo ambayo ukifanya saa hivi, utashitakiwa na haki za binadamu na kufungwa, tukubali either mungu naye hujifunza na makosa! Au yale aliyodaiwa kufanya ni alisingiziwa, sio yeye, ni wanadamu kwa kisingizio wanaongozwa na mungu. Mfano nilimwambia eiyer, alikubali utumwa, alikubali ubakaji, alikubali uuaji wa watoto na wanyama wasio na hatia. Heck! Hata wanaume wasio na hatia. Eti nchi ya ahadi! Ambayo hadi leo ndo kisingizio cha migogoro isiyoisha kule mashariki ya kati.ona hata wanawake wasivyo na thamani kwa mungu huyo. Eti 'go conquer the nations and save the virgins for yourswlf". Mxiuu. That and many more.
Halafu nani aliyekwambia wayahudi wanaamini biblia??!!!!! Fuatilie tena vizuri kuhusu hili suala ili uwafahamu vizuri. Kwa kifupi tu ni kuwa wayahudi wana kitabu kinaitwa Taurati (i.e. Torah), hiki ndicho wanakiamini na kukifuata. Na kuna tofauti kubwa kati ya Tora na Biblia. Kwa hiyo achana na mawazo kuwa biblia ni kitabu cha wayahudi.Tano, mtu akiamua kujisomea history ya wanadamu, Wayahudi is such a small part, nothing special. Si wao pekeyao walipigana vita in the name of god na kushinda. Si wao pekeyao waliofikiri 'they are the chosen ones'.
they are lucky to have stood out above the rest.So what's so special mpaka mungu wao akuzwe kuliko wengine?? If any thing natamani Hinduism ndo ingesimama.
Kukujaribu unamaanisha nini??!! Pili hapa tunarudi pale pale kuwa wewe unataka M'mungu afanye vile unavyotaka wewe, nilikuuliza kule juu, wewe unadhani ni nani hadi umpangie Mungu?Mwisho kwanini ananijaribu nimkubali kwa imani? Kwanini amekutokea wewe akakwambia niamini ndo niishi? Kwanini sio mimi? Na kama inanibidi niamini anayenifwata, nitakubali wangapi? Kila mtu ana kila namna ya uthibitisho wake. Mwishowe naadhibiwa kwa kuchagua the wrong god. Hivi huyu ananipenda kweli!!!!!
Hapo kwenye hilo bandiko umeona wapi "muslim women" au ni viroba??!!Fewer Seats for Muslim Women in Allah's Paradise
Islamic Scriptures inform us that most Muslim women will go to hell.
The Quran:
Sura (37:22-23) "Those who "did wrong" will go to hell, and their wives will go to hell with them (no matter how they behaved)."
From Hadith: Bukhari (2:28) - Women comprise the majority of Hell's occupants. This is important because the only women in heaven ever mentioned by Muhammad are the virgins who serve the sexual desires of men. (A weak Hadith, Kanz al-`ummal, 22:10, even suggests that 99% of women go to Hell).
"Narrated Ibn 'Abbas: The Prophet said:
"I was shown the Hell-fire and that the majority of its dwellers were women ....." It was asked, "Do they disbelieve in Allah?" (or are they ungrateful to Allah?) He replied, "They are ungrateful to their husbands and are ungrateful for the favors and the good (charitable deeds) done to them. If you have always been good (benevolent) to one of them and then she sees something in you (not of her liking), she will say, 'I have never received any good from you."
"Among the inmates of Heaven women will be the minority" (Sahih Muslim 36: 6600)
"I (Mohammed) have seen that the majority of the dwellers of Hell-Fire were women...[because] they are ungrateful to their husbands and they are deficient in intelligence" (Sahih Bukhari: 2:18:161; 7:62:125, ).
Ishaq: 185 " In hell I saw women hanging by their breasts. They had fathered bastards."
Narrated 'Abdullah bin Abbas:
.The Prophet replied, "I saw Paradise and stretched my hands towards a bunch (of its fruits) and had I taken it, you would have eaten from it as long as the world remains. I also saw the Hell-fire and I had never seen such a horrible sight. I saw that most of the inhabitants were women." The people asked, "O Allah's Apostle! Why is it so?" The Prophet replied, "Because of their ungratefulness." It was asked whether they are ungrateful to Allah. The Prophet said, "They are ungrateful to their companions of life (husbands) and ungrateful to good deeds. If you are benevolent to one of them throughout the life and if she sees anything (undesirable) in you, she will say, 'I have never had any good from you.'
Who do you think Allah was talking to? VIROBA or Your Breathless Prophet?Hapo kwenye hilo bandiko umeona wapi "muslim women" au ni viroba??!!
Will Christians enter Paradise or go to Hell? Sura 2:62 and 5:69 say "Yes", Sura 5:72 (just 3 verses later) and 3:85 say "No".
Fewer Seats for Muslim Women in Allah's Paradise
Islamic Scriptures inform us that most Muslim women will go to hell.
The Quran:
Sura (37:22-23) Those who "did wrong" will go to hell, and their wives will go to hell with them (no matter how they behaved).
From Hadith: Bukhari (2:28) - Women comprise the majority of Hell's occupants. This is important because the only women in heaven ever mentioned by Muhammad are the virgins who serve the sexual desires of men. (A weak Hadith, Kanz al-`ummal, 22:10, even suggests that 99% of women go to Hell).
Narrated Ibn 'Abbas: The Prophet said:
"I was shown the Hell-fire and that the majority of its dwellers were women ....." It was asked, "Do they disbelieve in Allah?" (or are they ungrateful to Allah?) He replied, "They are ungrateful to their husbands and are ungrateful for the favors and the good (charitable deeds) done to them. If you have always been good (benevolent) to one of them and then she sees something in you (not of her liking), she will say, 'I have never received any good from you."
"Among the inmates of Heaven women will be the minority" (Sahih Muslim 36: 6600)
"I (Mohammed) have seen that the majority of the dwellers of Hell-Fire were women...[because] they are ungrateful to their husbands and they are deficient in intelligence" (Sahih Bukhari: 2:18:161; 7:62:125, ).
Ishaq: 185 In hell I saw women hanging by their breasts. They had fathered bastards.
Narrated 'Abdullah bin Abbas:
.The Prophet replied, "I saw Paradise and stretched my hands towards a bunch (of its fruits) and had I taken it, you would have eaten from it as long as the world remains. I also saw the Hell-fire and I had never seen such a horrible sight. I saw that most of the inhabitants were women." The people asked, "O Allah's Apostle! Why is it so?" The Prophet replied, "Because of their ungratefulness." It was asked whether they are ungrateful to Allah. The Prophet said, "They are ungrateful to their companions of life (husbands) and ungrateful to good deeds. If you are benevolent to one of them throughout the life and if she sees anything (undesirable) in you, she will say, 'I have never had any good from you.'
Dogma fallacy. Yaack, Huwa hawalazimishi mambo. Bring facts that Christianity is a religion.
Eiyer mimi na wewe tulikuwa tunaongelea maovu ya mungu wa Waisraeli, mbona umekuja huku? Anyways.....
Na mimi nakujibu your first Q kwa swali,u as a Christian, unajuaje Allah doesn't exist?
Contradictions:-
Yohana 3:13-hakuna aliyepanda kuingia mbinguni ila yule aliyeshuka kutoka mbunguni, mwana wa binadamu
2 Wafalme 2:11-na Eliya akaanza kupanda katika ile dhoruba ya upepo kuelekea mbimguni
Yakobo 1:13-mtu akiwa chini ya jaribu asiseme mungu ananijaribu..kwamaana mungu hawezi kujaribiwa wala yeye mwenyewe hamjaribu yeyote
Mwanzo 22:1-baada ya mambo hayo,mungu wa kweli akamjaribu Abraham.....
Rejea jibu langu la swali lako la pili!Kutoka 20:4-usijifanyie sanamu ya kuchongwa wala umbo lililo kama kitu chochote kilicho juu mbinguni wala........
Kutoka 25:18-20-nawe utafanya makerubi wawili wa dhahabu...........
Kwenye haya maswali yako kuna utata2 Samweli24:1- Again the anger of the LORD burned against Israel, and he incited David against them, saying, "Go and take a census of Israel and Judah
1 Nyakati 21:1- na shetani akasimama kushindana na Iarael, akachochea Daudi ahesabu Israeli.
*nimeandika kwa English kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu
1Wafalme 15:33-katika mwaka wa tatu wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya akawa mfalme juu ya Israeli yote kule Tirsa kwa miaka 24
(kwahiyo Baasha alikufa mwaka wa 27 wa utawala wa Asa)
2Nyakati 16:1- katika mwaka wa 36 wa utawala ws Asa, Baasha mfalme wa Israeli alikuja kupigana ma Yuda............
bubbs biblia inaeleweka kama utataka kuielewaZaburi 58:10- Mwadilifu atashangilia kwasababu ameona kisasi. Ataosha miguu yake katika damu ya waouvu
Methali 24:17- adui yako anapoanguka usishangilie, naye anapokwazwa, moyo wako usiwe na shangwe.
Rejea jibu langu la swali lako la pili!1 Nyakati 21:11,12-basi Gadi akaja akaingia kwa Daudi, akamwambia: "Yehoca amesema hivi, 'jichagulie moja,; kama kuwe na njaa kwa miaka mitatu, au miezi mitatu wapinzani wako wakufagilie mbali, na upanga wa adui zako ukufikie........
2Samweli 24:13- basi Gadi akaingia kwa Daudi akamwambia: "je njaa ikujie katika nchi yako kwa miaka saba, au miezi mitatu ya wewe kukimbia mbele ya adui zako......
Mathayo 27:5- basi akatupa vile vipande vya fedha hekaluni akaondoka, akaenda zake kijinyonga
Matendo 1:18-kwa hiyo mtu huyo alinunua shamba kwa mshahara wa ukosefu wa uadilifu, akaanguka kichwa kwanza, akapasuka kwa kelele katikati ya matumbo yake yote yakamwagika nje.
:wave:
Eiyer mimi na wewe tulikuwa tunaongelea maovu ya mungu wa Waisraeli, mbona umekuja huku? Anyways.....
Na mimi nakujibu your first Q kwa swali,u as a Christian, unajuaje Allah doesn't exist?
Contradictions:-
Yohana 3:13-hakuna aliyepanda kuingia mbinguni ila yule aliyeshuka kutoka mbunguni, mwana wa binadamu
2 Wafalme 2:11-na Eliya akaanza kupanda katika ile dhoruba ya upepo kuelekea mbimguni
Yakobo 1:13-mtu akiwa chini ya jaribu asiseme mungu ananijaribu..kwamaana mungu hawezi kujaribiwa wala yeye mwenyewe hamjaribu yeyote
Mwanzo 22:1-baada ya mambo hayo,mungu wa kweli akamjaribu Abraham.....
Rejea jibu langu la swali lako la pili!Kutoka 20:4-usijifanyie sanamu ya kuchongwa wala umbo lililo kama kitu chochote kilicho juu mbinguni wala........
Kutoka 25:18-20-nawe utafanya makerubi wawili wa dhahabu...........
Kwenye haya maswali yako kuna utata2 Samweli24:1- Again the anger of the LORD burned against Israel, and he incited David against them, saying, "Go and take a census of Israel and Judah
1 Nyakati 21:1- na shetani akasimama kushindana na Iarael, akachochea Daudi ahesabu Israeli.
*nimeandika kwa English kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu
1Wafalme 15:33-katika mwaka wa tatu wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya akawa mfalme juu ya Israeli yote kule Tirsa kwa miaka 24
(kwahiyo Baasha alikufa mwaka wa 27 wa utawala wa Asa)
2Nyakati 16:1- katika mwaka wa 36 wa utawala ws Asa, Baasha mfalme wa Israeli alikuja kupigana ma Yuda............
bubbs biblia inaeleweka kama utataka kuielewaZaburi 58:10- Mwadilifu atashangilia kwasababu ameona kisasi. Ataosha miguu yake katika damu ya waouvu
Methali 24:17- adui yako anapoanguka usishangilie, naye anapokwazwa, moyo wako usiwe na shangwe.
Rejea jibu langu la swali lako la pili!1 Nyakati 21:11,12-basi Gadi akaja akaingia kwa Daudi, akamwambia: "Yehoca amesema hivi, 'jichagulie moja,; kama kuwe na njaa kwa miaka mitatu, au miezi mitatu wapinzani wako wakufagilie mbali, na upanga wa adui zako ukufikie........
2Samweli 24:13- basi Gadi akaingia kwa Daudi akamwambia: "je njaa ikujie katika nchi yako kwa miaka saba, au miezi mitatu ya wewe kukimbia mbele ya adui zako......
Mathayo 27:5- basi akatupa vile vipande vya fedha hekaluni akaondoka, akaenda zake kijinyonga
Matendo 1:18-kwa hiyo mtu huyo alinunua shamba kwa mshahara wa ukosefu wa uadilifu, akaanguka kichwa kwanza, akapasuka kwa kelele katikati ya matumbo yake yote yakamwagika nje.
:wave:
Halafu nani aliyekwambia wayahudi wanaamini biblia??!!!!! Fuatilie tena vizuri kuhusu hili suala ili uwafahamu vizuri. Kwa kifupi tu ni kuwa wayahudi wana kitabu kinaitwa Taurati (i.e. Torah), hiki ndicho wanakiamini na kukifuata. Na kuna tofauti kubwa kati ya Tora na Biblia. Kwa hiyo achana na mawazo kuwa biblia ni kitabu cha wayahudi.
Sura (37:22-23) "Those who "did wrong" will go to hell, and their wives will go to hell with them (no matter how they behaved)."
Hapo kwenye hilo bandiko umeona wapi "muslim women" au ni viroba??!!