Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Angalia hizo zilizokolezwa wino mwenkundu.

Oh, and I forgot. Umesema kusikia mungu huyo hadi niwe na masikio.
Typical of religious ----.

Umesema matatizo najitakia mwenyewe alafu naomba msaada! Mh.

Watu wanaozaliwa na ulemavu walijitakia?
Watu wanapopata magonjwa hata baada ya kujitahidi kukwepa walijitakia?
Watu wanaokufa vifo vya kikatili walijitakia?
Vitoto vizaliwavyo kwenye umaskini uliokithiri au vitani walijitakia.
Vipi mtu kama mama yangu who is the politest woman I know of, who is such a faithful and zelous Christian but happens to be stuck in an abusive marriage for decades? Naye kajitakia?

Hivi una umri gani we kiumbe!!!! Throughout I've been assuming your older than I and its such a shame!!!!!
 
What the fok.....is it the system that automaticaly edited my post or ni mods?

I was being insulted throughout and a simple "----" is edited.upuuzi.
 

Unajifanya mwanasayansi lakini unaandika pumba ambazo zinaonyesha hata kutafakari kidogo hutaki. Ndio,na maana ya kuwa uwe na masikio ni kwamba uwe na uwezo wa kusikia,kama Lugha anayosikilizisha Mungu huna uelewa kwayo utasikiaje ?

Watu wanaozaliwa na ulemavu ? mwanasayansi hujui kinachosababisha watu wazaliwe na ulimavu hata wataka kumuwajibisha Mungu,Shame on you, au hujaambiwa tafiti zimethibitisha kuwa wanawake wengi wanakula milo isiyo kamili na ndicho chanzo cha kukosa baadhi ya virutubisho muhimu kwa kiumbe tumboni na kupelea kuzaliwa watoto wenye ulemavu...WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA...by GOD. Mungu wetu anatutaka tutafute maarifa tuwe nayo ili tusiangamie...Mazu.zu hasa Maatheist hamuwezi elewa ukweli huu wa Mungu wetu,maana kwa ujuha wenu mnadhani watu wa Mungu tunatakiwa kuishi kama hayawani wengine.

Vyanzo vya magonjwa vinajulikana,ni aibu kwa mtu anayejinasibu kuwa anapenda sayansi kumsingizia Mungu kwa vitu ambavyo Sayansi inathibitisha kwamba ni matokeo ya shughuli za kibinadam,makemikali yanayoleta uchafuzi wa hali ya hewa yanawajibika kwa magonjwa mengi sana,ajabu mwanasayansi Atheist wa Jf hujui wamtwisha Mungu lawama,Hakika watu wa Mungu mnaangamia kwa kukosa maarifa,mmebaki kukaririshwa tu.

Vifo vya kikatili ndiyo vifo gani zuz.u wewe, watu kumwagiwa tindikali,watu kuteswa mabwepande na kuuwa,majambazi kuuwa watu,magaidi kuuwa watu,ajali kuuwa watu,sumu/chemikali zilizotengenezwa na wanadamu/wanasayansi kuuwa watu Atheist wamtwisha Mungu lawama ! Majangaaa...

Pumba.vu,nini maana ya kuzaliwa kwenye umasikini uliokithiri ? ulitaka Mungu aje alime, avune,awapikie,awapakulie ndio ujue Mungu yupo, hata kukuita zu.zu ni kuku-under rate tu...

Mungu anahusikaje kumchagulia mama yako Mume, very bogus,kumbe umerithi matatizo ya baBA yako anavyoishi na Mama yako i.e Baba yako ndiyo yamekuacha na msongo hadi kujifariji kwa kuamini Mungu hayupo !!! wewe kichwani kweupeeee...abussive marriage ya mama yako Mungu anahusika vipi zu.zu wewe, toa wapi umefundishwa Mungu kuagiza wanawake waishi kwenye abuissive marriege ? mbona mama yangu anakula bata (yeye sio Mwanamke) na mbona mke wangu anakula bata yeye sio mwanamke, na huyo wako anashida kweli,kama kichwa chenyewe ndo hiki,like father like son. Shukuru mama yako ni zealous christian ndiyo akakuzaa wewe ambaye badala ya kuwa teja sijui Mungu ameedit DNA ili usiathiriwe sana na genes za baba yako na unaishi umesoma hata waweza kujiunga na kuchangia JF, shukuru mama yako kuwa nuruni ndiyo wokovu wako,kwa ujuha tu hujui hayo.

Umri wangu umeenda, shule nimeenda na maisha nayafaidi katika ajira na katika mambo yangu binafsi,huku nikiwa Mfuasi mwaminifu wa Yesu Kristo. Zinduka zuz.u wewe
 

Thanks, full browm zu.zu...
 

mungu wako kuwa Best DECEIVER ni tusi au sifa. mtu unayeamini mungu anaweza kuwa best deceiver, utakuwa mzima kweli ? no wonder unafundishwa kweli unaona ni matusi,biblia imeandika shetani ni baba wa uwongo na muuwaji tangu zamani, na mungu wenu ni mbora wa waongo,atakuwa nani kama sie Shetani ?

sina kanisa,Yesu Kristo pekee ndiye mwenye kanisa,ama hayo uliyoandika yanaonyesha wewe ni binadmu kamili mwenye utashi ni shetani tu,kakupiga muhuri ili usiijue kweli,ndiyo maana ukweli wauti matusi,na ni bahati njema kuwa hata wale ambao walidhani Allah ni Mungu wajue kuwa sio Mungu bali ni BABA WA UWONGO NA MUUWAJI TANGU ZAMANI. Ukiishi nyumba ya vioo usirushe mawe, Best deceiver follower take note
 

Wapumba.vu watu wa ajabu sana, Walibersali ni zao la Atheism, hii imetokana ni moral issue,kitu ambacho ni janga lililoenezwa na ninyi Atheist,masikini hujui... kuna wapumb.avu wengine ambao wangependa kutenda kadri ya Maatheist huku wakitaka waendelee kuwa wa Yesu Kristo ndiyo hao wanaojitokeza na ku edit Biblia ili wawe na ile itakayo wa accomodate na matedno yao ya Kiatheist.

Wewe ni mjanja, kupitia andiko la JF umegundua mtawala mbovu.Una haki ya kuwa Atheist.
 
Wapumba.vu watu wa ajabu sana, .

Mlevi alipita mtoni akaona watu wanabatizwa akajua kuna kitu wanatafuta kwa vile mchungaji anawazamisha na kuwatoa kwny maji, mlevi nae akapanga folen, ilipofika zamu yake mchungaji akamzamisha hlf akamtoa,akamuuliza umempokea Yesu? Akajibu bado, akamzamisha tena hlf akamtoa akamuuliza jee umempokea Yesu? Akajibu bado, mara ya tatu akamuuliza tena jee umempokea Yesu? Mlevi akajibu "Mchungaji unauhakika alizama maeneo haya au tunahangaishana???? 😆😀😀

Teh teh teh teh!

JE ! WEWE MWENYE BUSARA UMESHAMPOKEA Yesu??
 

Utakuwa taahira wewe, alikwambia ukiandika kiinglish ndiyo kinaweka uzito nani kama sio uzu.zu tu ? unasema mara ya mwisho kunijibu,bala hata aibu unaandika upuu.zi kujaza server za JF,nimekutumia barua ya maombi kunijibu. KALALE UKUE.

Sayansi ni ya Maatheist wapi umesema,hilo ni tatizo la ugumu wa kuelewa na wepesi wa kusahau...mko bize na kesho wakati sis tuko bize na Mungu, ubize na kesho ni wa kitu gani kama sio kujifanya mnajikita kwenye tafiti ili kuisadia dunia wakati sisi hatujishughulishi zaidi ya makanisani ? hujui ulichomaanisha kiundani eeh
 

taahira kweli, unajiotekenye mwenyewe na kucheka mwenyewe... wahi mirembe hospital
 
Hata enzi za Yesu yote haya yalikuwepo..so sishangai fuateni mkumbo ila siku ikifika nayo i karibu kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe!
 
Soma tena hili bandiko lako utagundua kwamba, hutaki kuamini uwepo wa Mungu kwa kuwa hafanyi vile unavyotaka wewe. Sasa jiulize unadhani wewe nani hadi umuelekeze huyo Muumba jinsi ya kufanya mambo yake?

Sasa nini maana ya "hufanyi vile unavyotaka wewe?"

And swali lako la mwisho, itakuwa rahisi ukinijibu ni mungu gani unamuongelea.....specifically.
 

Kumbe ni Mkristo! What do you think your attitude reflects about your faith/god?

Labda kwasababu huna kanisa, ungetafuta hata moja likakusaidie jinsi ya kuact kama mkristo. Kukaa chumbani pekeyako na kutumia hekima za peke yako Labda ndo kinachokuangusha.
 
Hata enzi za Yesu yote haya yalikuwepo..so sishangai fuateni mkumbo ila siku ikifika nayo i karibu kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe!

Sasa nyie mbona mnatichanganya!!?
Mara mseme YESU KAFA KWA AJILI YA DHAMBI ZETU WOTE!

Halafu leo unasema "KILA MTU ATABEBA MSALABA WAKE MWENYEWE!

SASA TUSHIKE LIPI??
Hebu mparokia wa kkkkt Eiyer uje utusaidie hapa!
Je! Yesu alikufa ili wewe upone? Au alikufa na nyie kivyenuvyenu!!
 
Last edited by a moderator:

Huyo mungu ana akili timamu kweli? wewe unaweza kumwacha simba ajaribu kuwala wanao?:Cry:
 

Hapo kwenye nyekundu naomba unikumbushe hiyo mistari inapatikana wapi nikajisomee mkuu! Mungu aliumba mtu kwa mfano wake mwenyewe, kwa maana hiyo mwanadamu yuko kamilifu kabisa kwa sababu mungu alijiangalizia yeye mwenyewe, sasa huyo shetani anaruhusiwa vipi kuhoji achilia mbali kujaribu kiumbe ambacho kinafanana na muumba wake?
 

Hahahaaha, Eti Mungu alimruhusu shetani aje kuwarubuni wanadamu, kisha baadaye akaona kweli shetani anafanikiwa kumrubuni kiumbe aliyemuumba kwa mfano wake, ikabidi amtume mwanaye yesu aje awafie wanadamu!..hizi stori hata unywe viroba vya kutosha hauwezi kusadiki, sijui hawa watu wanaoamini wana akili zao timamu ama la!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…