Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

big up wakubwa, nimekua sina dini kwa muda mrefu, kuna contradictions and fabricated events nyingi sana. nimechoka
 
Wewe una akili nyiingi na sisi wengine hatuna!
Nimeshakwambia huko nyuma kuwa Andiko lako only 10% imebaki kuwa kweli!
90% ni mchakachuo! Na sisi ambao unatuita hatuna akili tunatumia hio 10% tu! Iliyobaki kama ushahidi!
Na moja ya hio mistari ya kweli ni kama huu hapa

1 Tim 2:5 “ Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu;”

Yesu MWANAADAMU!

Wewe nani aliyekupa ruhusa ya kumuita mungu?? Kama sio paulo mnafiki!?

Wewe ni Muislam safi kabisa, na watu kama wewe ndiyo sababu ya watu WA dini kutukanwa, haiwezekani useme Yesu ni Mungu huku uendelee kuwa Muislam, ni sawa na Mkristo akimkiri shetani ambaye ninyi ni Mungu hawezi kuendelea kuwa mfuasi WA Kristo. Islam kwa Bahati mbaya sana hauwezi kusomama pasipo rejea katika maandiko ya Mungu WA kweli toka Biblia, lakini waKristo wamejitosheleza hawahitaji mafundisho ya mungu mwingine awaye Yote , unateseka si mapenzi yako ni ibilisi anatumia kichwa chako kufanya tafiti zake ili awaangamize wanadam, kwa makusudi shetani alianzisha dini yake ili ishinde dini zingine ikiwa ni pamoja na imani juu ya Mungu WA kweli. Usichojua wewe no kwamba shetani au mungu wako hawezi kupambana na Neno la Mungu.
 
Kweli kabisa. You have confirmed the true nature ya mungu wenu.

Jeremiah 4:10 Ah, Lord GOD! surely thou hast greatly deceived this people.

Ni asiye na uelewa wala huruma, ni mkatili, mbabe, and nina wasiwasi na hizo "hekima kuu" zake. Ukiangalia jinsi alivyo- na atakavyoshughulikia mambo (kama ulivyoonyesha hapo juu), mtu unajiuliza what exactly is great about this being.

Usifikiri watu waliamka tu wakaamua hawaamini mungu...kama mungu wenu yupo na anajua kilichowasibu na anataka kuwasaidia angewasaidia. But nani hajui mungu wenu kabaki kutishia moto tu. UJINGA!!!!!

Ifike watu mjishtukie kidogo, watu wazima mnatishiwa vitu vidogo na moto. Kha!!!!
Kaah....! ww balaa jamaa'ngu,hivi nikuulize yale yaliyowapata watu wa Sodoma na Gomora ni hadithi za kutunga au kweli.....?
 
Wewe ni Muislam safi kabisa, na watu kama wewe ndiyo sababu ya watu WA dini kutukanwa, haiwezekani useme Yesu ni Mungu huku uendelee kuwa Muislam, ni sawa na Mkristo akimkiri shetani ambaye ninyi ni Mungu hawezi kuendelea kuwa mfuasi WA Kristo. Islam kwa Bahati mbaya sana hauwezi kusomama pasipo rejea katika maandiko ya Mungu WA kweli toka Biblia, lakini waKristo wamejitosheleza hawahitaji mafundisho ya mungu mwingine awaye Yote , unateseka si mapenzi yako ni ibilisi anatumia kichwa chako kufanya tafiti zake ili awaangamize wanadam, kwa makusudi shetani alianzisha dini yake ili ishinde dini zingine ikiwa ni pamoja na imani juu ya Mungu WA kweli. Usichojua wewe no kwamba shetani au mungu wako hawezi kupambana na Neno la Mungu.
Sasa ndugu kwani hapo ni Kahtaan aliyesma sio Mungu au Biblia,maana yeye kaquote aya,au ndio yaleyale.....?
 
big up wakubwa, nimekua sina dini kwa muda mrefu, kuna contradictions and fabricated events nyingi sana. nimechoka

Kutomtambua Mungu ni Ujinga! Na ukumbuke "Ignorance of law doesnot afford any excuse!"
Akili kumkichwa!
 
Ni nini mwanzo wa maarifa?? Kama sio kumjua Mungu??? Wanasayansi ni wa upande upi hadi waseme hayo??? Ni wa upande wa dini au wasio na dini??? Ukipata jibu changanya na zako.
 
1238769_321522207994524_1713019045_n.jpg
Syrian boy's family killed by Syrian army and then boy himself is cut open for fun. How will Bashar reply to this boy on the Day of Resurrection
Are you an atheist?this act was done by religious people and it only proves that religious people are less intelligent than atheist
 
And put this one too!

1) Murder, rape, and pillage at Jabesh-gilead--(Judges 21:10-24 NLT)----

So they sent twelve thousand warriors to Jabesh-gilead with orders to kill everyone there, including women and children.- "This is what you are to do," they said. "Completely destroy all the males and every woman who is not a virgin."- Among the residents of Jabesh-gilead they found four hundred young virgins who had never slept with a man, and they brought them to the camp at Shiloh in the land of Canaan.--

-- The Israelite assembly sent a peace delegation to the little remnant of Benjamin who were living at the rock of Rimmon.
Then the men of Benjamin returned to their homes, and the four hundred women of Jabesh-gilead who were spared were given to them as wives.- But there were not enough women for all of them.-
The people felt sorry for Benjamin because the LORD had left this gap in the tribes of Israel.-
So the Israelite leaders asked, "How can we find wives for the few who remain, since all the women of the tribe of Benjamin are dead?- There must be heirs for the survivors so that an entire tribe of Israel will not be lost forever.- But we cannot give them our own daughters in marriage because we have sworn with a solemn oath that anyone who does this will fall under God's curse."----
Then they thought of the annual festival of the LORD held in Shiloh, between Lebonah and Bethel, along the east side of the road that goes from Bethel to Shechem.-
They told the men of Benjamin who still needed wives, "Go and hide in the vineyards.- When the women of Shiloh come out for their dances, rush out from the vineyards, and each of you can take one of them home to be your wife!- And when their fathers and brothers come to us in protest, we will tell them, 'Please be understanding.- Let them have your daughters, for we didn't find enough wives for them when we destroyed Jabesh-gilead. And you are not guilty of breaking the vow since you did not give your daughters in marriage to them.'"- So the men of Benjamin did as they were told.
- They kidnapped the women who took part in the celebration and carried them off to the land of their own inheritance.- Then they rebuilt their towns and lived in them.-
So the assembly of Israel departed by tribes and families, and they returned to their own homes.----

Obviously these women were repeatedly raped.- These sick evil people killed and raped an entire town and then wanted more virgins, so they hid beside the road to kidnap and rape some more.-

How can anyone see this as anything but evil?-

But this is what our sweet bible teach us!!
Rape rape rape! Its ok!

What you don't understand about the bible is that is the word of God, but also depicts human actions - their belief systems, customs and norms - and the word of God is intended to purify and change whatever is wrong and turn it into virtues. What you don't understand also is that, whatever is recorded in the bible has a theological lesson. The bible is not a history book, it's meant to make believers understand matters of faith. For instance, the creation of the universe depicts God as molding the earth/mud and making a human being and then breathing into it and then the human being becomes alive. Yet, we know that, whatever God willed it instantly became. "Mungu akasema uwe mwanga na ukawa..." Kwa hiyo, since you are lost in the morphology of the wording, you cannot grasp the message. It's like when reading this metaphor 'the camel is the ship of the desert' - is it meant to be understood that the camel is the ship to the extent that, the desert is the sea or ocean or does it mean that as the camel frequents desert trips so does the ship in the sea or ocean?
 
Pepo yao iko katikati ya miguu ya wanawake. Tenda haki ukaipate hiyo pepo huko akhera. Maana utakuwa nao sabinit huku wewe ukiwa na nguvu za wanaume mia.

Jitahidi shika maamrisho ya dini ILI ukaifaidi hiyo pepo.

LAKINI,ukiwa mwanamke haijawekwa wazi kama nawe pepo yako iko katikati ya miguu ya wanaume.
 
Pepo yao iko katikati ya miguu ya wanawake. Tenda haki ukaipate hiyo pepo huko akhera. Maana utakuwa nao sabinit huku wewe ukiwa na nguvu za wanaume mia.

Jitahidi shika maamrisho ya dini ILI ukaifaidi hiyo pepo.

LAKINI,ukiwa mwanamke haijawekwa wazi kama nawe pepo yako iko katikati ya miguu ya wanaume.

Na wale wenye imani ya kizungu pepo yao iko migongoni mwa wanamme wenzao!
Wao na ULIBERALI ni km WAMASAI na Ng'ombe.
 
Back
Top Bottom