Remy ma aumaliza ufalme wa Nicki minaj

Remy ma aumaliza ufalme wa Nicki minaj

isho_boy

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
2,145
Reaction score
1,892
Baada ya mda mrefu kwa nick minaj kuteka soko la muziki wa rap/hip hop kwa upande wa wanawake naona ufalme wake unaanza kuanguka pole pole baada ya kurudi kwa mkali wa hip hop Remy ma na naona kiti kishafutwa vumbi na kilichobaki ni kwa Remy ma kukaa......Jana Remy ma kwnye tunzo za BET kaudhihirishia umma kuwa Nicki minaj is no longer a queen of rap baada ya kumugalagaza vibaya kwny kipengele cha best female hip hop
 
Ajipange sana aweze kufika level za Nick then atafute njia ya kupanda juu
Nicki minaj ndo ajipange kufika level za Remy ma......mwaka mmoja tu toka Remy ma atoke jera kashaanza kumuhenyesha.......tafakari chukua hatua
 
Baada ya mda mrefu kwa nick minaj kuteka soko la muziki wa rap/hip hop kwa upande wa wanawake naona ufalme wake unaanza kuanguka pole pole baada ya kurudi kwa mkali wa hip hop Remy ma na naona kiti kishafutwa vumbi na kilichobaki ni kwa Remy ma kukaa......Jana Remy ma kwnye tunzo za BET kaudhihirishia umma kuwa Nicki minaj is no longer a queen of rap baada ya kumugalagaza vibaya kwny kipengele cha best female hip hop
Mtoa post kichwa maji kweli... sasa mwanamke anakuwaje mfalme???????
 
Mtoa post kichwa maji kweli... sasa mwanamke anakuwaje mfalme???????
We ndo kichwa maji ufalme ni mpk awe mwanaume unajua maana ya ufalme kweli ww kanjanja......afu sijasema mfalme nimesema ufalme ebu jaribu kuelewa
 
Music is about business, Nick sio Remmy Ma tu, kuna mijibaba mizima kwenye Hip Hop wanasubiri sana, kuanzia Fan base, money mpaka michano. Tuzo ni kitu kinachotolewa kila mwaka kwahiyo sio rahisi kila mara achukue mtu mmoja tu. I can still see the same Nicki in another 5 kama sio 10 years, lakini huyu Ma nampa 25 minutes tu and she wil be the history. Boost aliyopata ni sababu kamdiss Nicki na haters wamempa Votes lakini game ni bado ngumu
 
Back
Top Bottom