- Thread starter
- #61
Kumbe ya nani?All the way up ya remy ma??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ya nani?All the way up ya remy ma??
Music is about business, Nick sio Remmy Ma tu, kuna mijibaba mizima kwenye Hip Hop wanasubiri sana, kuanzia Fan base, money mpaka michano. Tuzo ni kitu kinachotolewa kila mwaka kwahiyo sio rahisi kila mara achukue mtu mmoja tu. Boost aliyopata ni sababu kamdiss Nicki na haters wamempa Votes lakini game ni bado ngumu
Fat joeKumbe ya nani?
We uko inlovr na Yale makalio tu.Ktk miaka ya karibuni,hakuna song kali la rap ya female artist kama Anaconda. Ni hatari sana. 'Oh my gosh, look at her butt'
Upo sahihiNick Minaj na ufalme wapi na wapi? Au tuseme Ray Van ameumaliza umalkia wa Diamond
😀😀😀 yale si ya plastic tu kama ya Kim Kardashian?We uko inlovr na Yale makalio tu.
Mi naipenda hii aliyo shirikishwa na august na ile ya meek mill, kitambo kidogo.
Namkubali sana Nick, kwenye swalla ya derulo ndio kaua Kabisaa. De baddest
Ndio uhalisia mkuu.Tatzo unakalili
Yaani unazungumza lil Kim ndo atamuweza nick minaj umesahau kuw huu ni mwaka wa pili tokea remy ma atoke jela na tyari Nicki minaji, maji yapo shingoni.....Remy ni kichwa kingne kile na bado.....shether tu ilimtoa jasho mpk kwnd kuomba msada kwa ghost writer wake akina drake na wizMoment for life! Hiii ngoma nikiiskia mwili huwa unanisisimka hatari. Na ile ya Dance aliyoshirikishwa na Big Sean! Na
Remy ma nyimbo niliyopenda jinsi alivyovunja ni "Together" akiwa na Terror Squad na hii "All the way up" ya fat joe. Yeye kama yeye hana nyimbo ya maana. Labda arudi mwehu Lil Kim ndiye atakayemuweza Nick!
Ile ni dual project hakuna aliyemshirikisha mwenzie aliyeshirikishwa mle ni French Montana tuFat joe
Remy Ma anaweza kuufuata moto huu?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Labda uwashindanishe makalio tu
Who cares kana ya plastic??😀😀😀 yale si ya plastic tu kama ya Kim Kardashian?
[emoji124] [emoji124] We umevutiwa na hiyo diss track, sio muziki wao. Haya, safari njema.Yaani unazungumza lil Kim ndo atamuweza nick minaj umesahau kuw huu ni mwaka wa pili tokea remy ma atoke jela na tyari Nicki minaji, maji yapo shingoni.....Remy ni kichwa kingne kile na bado.....shether tu ilimtoa jasho mpk kwnd kuomba msada kwa ghost writer wake akina drake na wiz
Mi nampenda Nick minaj balaaaaaninayo hii show nick aliuwa vibay
WambieRemy ma nilipomsikia siku ya kwanza nilijua ni mwanaume, Jaman yule dada anachana hadi sijui nimfananishe na nani yaan kwa ufupi ni Rapa mkali sana,
Na wewe kwa kukusaidia tu,,all the way up sio wimbo wa Fat joe sema huyo mtoa uzi hajui tu muziki wa hip hop na wewe pia hujui. Fat joe na remy ma ni kundi linaitwa Terror squad.so ngoma ni ya pamoja,ila Remy ma hanaga ngoma hit za peke yake..ila ni mkali wa Rap kuliko huyo muimbaji wako wa pop Nick minaji,.Acha uzwazwa shetter ni diss song
All the way up ni nyimbo ya fat joh
Nimalizie mimi ndio nimeanzisha post ya kijinga